-
UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai
Apr 15, 2019 07:48Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, limetoa ombi la dola milioni 1.6 kusaidia watoto takribani milioni 1.5 ambao wameathiriwa vibaya na Kimbunga Idai katika nchi za kusini mwa Afrika ambazo ni Msumbiji, Malawi na Zimbabwe.
-
Kimbunga Idai kimeua watu 268 Zimbabwe, mamia hawajulikani waliko
Apr 04, 2019 02:42Waziri wa habari wa Zimbabwe Bibi Monica Mutsvangwa amesema, watu 268 wamethibitishwa kufariki na mamia ya wengine hawajulikani walipo kufuatia kimbunga Idai kilichoshambulia sehemu ya mashariki ya nchi hiyo katikati ya mwezi uliopita.
-
Waliofariki dunia katika Kimbunga Idai wafika 746, maelfu wapoteza makazi
Mar 30, 2019 16:00Mamia ya maelfu ya watu wanahitaji misaada ya dharura ya chakula, maji na makazi baada ya Kimbunga Idai kusababisha uharibifu mkubwa Msumbiji, Zimbabwe na Malawi.
-
Kimbunga cha Idai chaua zaidi ya watu 100 Zimbabwe na Msumbiji
Mar 18, 2019 07:56Watu zaidi ya 100 wameaga dunia na wengine wengi hawajulikani waliko katika nchi za Msumbiji na Zimbabwe baada ya kimbunga cha tropiki cha Idai kuzikumba nchi hizo za kusini mwa Afrika na kusababisha mafuriko ya gharika na pepo kali.
-
Kimbunga Idai chaua watu 24 Zimbabwe na kusababisha uharibifu mkubwa
Mar 16, 2019 14:40Watu wasiopungua 24 wamepoteza maisha kusini mashairki mwa Zimbabwe huku madaraja yakisombwa na maji baada ya kimbunga Idai kuikumba nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.
-
Zimbabwe yasikitishwa na vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake
Mar 06, 2019 13:51Zimbabwe imeeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Marekani ya kurefusha vikwazo dhidi ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, inayokabiliwa na mgogoro wa kiuchumi.
-
Iran yatuma salamu za rambirambi kwa familia za waliopoteza maisha katika ajali mgodini Zimbabwe
Feb 19, 2019 07:48Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma salama za rambirambi na kutoa mkono wa pole kwa serikali, wananchi na familia za wahanga wa ajali ya mgodini huko Zimbabwe.
-
Miili 24 yatolewa kwenye migodi ya dhahabu nchini Zimbabwe
Feb 17, 2019 08:08Timu ya waokoaji imeopoa maiti 24 kwenye migodi ya dhahabu iliyoporomoka katika mji wa Kadoma, yapata kilomita 145 kusini magharibi mwa mji mkuu wa Zimbabwe, Harare.
-
Rais wa Zimbabwe alaani ukandamizaji maandamano
Jan 22, 2019 14:52Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amelaani vikosi vyake vya usalama kwa kutumia mabavu kukandamiza maandamano ya wananchi waliokuwa wakilalamikia ughali ya maisha.
-
Wafanyakazi wa sekta ya umma Zimbabwe wakataa pendekezo jipya la nyongeza ya mishahara
Jan 19, 2019 15:33Wafanyakazi wa sekta ya umma nchini Zimbabwe wamekataa pendekezo la pili lililotolewa na serikali la nyongeza ya mishahara na kushikilia msimamo wao wa kutaka walipwe mishahara yao kwa kutumia sarafu ya dola ya Marekani.