-
Israel yatumia mfumo wa akili mnemba (AI) kufuatilia mitandao ya kijamii ya wanajeshi, ili kuzuia ushahidi wa uhalifu wa kivita
Nov 28, 2025 02:59Jeshi la Israel limezindua mradi mkubwa wa akili mnemba (AI), unaojulikana kama Morpheus, ili kuzuia askari wake kuchapisha ushahidi wa uhalifu wa kivita uliofanyika huko Gaza kwenye mitandao ya kijamii.
-
Hamas yakemea mauaji na mateso ya wafungwa Wapalestina magerezani Israel
Nov 27, 2025 12:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestima (Hamas) imelaani vikali mauaji ya makusudi na mateso ya Wapalestina walioko katika magereza ya kuogofya ya utawala haramu wa Israel, ikiyataja kama “uhalifu kamili wa kivita” na kuitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua madhubuti dhidi ya uhalifu huo.
-
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa kuhusu vita vya Gaza; athari za kutisha za jinai za Israel
Nov 27, 2025 10:17Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imefichua vipengele vipya vya athari za kutisha za vita vya Gaza. Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa vita vya utawala wa Kizayuni huko Gaza vimeunda shimo la kutisha na kwamba ujenzi mpya wa ukanda huu utahitaji kwa uchache dola bilioni 70 na muda wa miongo kadhaa, takwimu zinazodhihirisha wazi kina cha janga hili.
-
Israel yawapokonya simu za Android makamanda wake wa kijeshi
Nov 27, 2025 05:59Jeshi la Israel limeamua kuwapiga marufuku makamanda wake kutumia simu za Android kutokana na usalama mdogo uliomo kwenye simu zinazotumia mifumo hiyo.
-
Rais wa China: Jamii ya kimataifa ichukue hatua kufikia usitishaji vita wa kudumu Gaza
Nov 27, 2025 02:27Rais Xi Jinping wa China ameitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua kufikia usitishaji vita wa kudumu katika Ukanda wa Gaza
-
UNRWA: 90% ya Wapalestina Ghaza wanategemea msaada, wanapitisha siku kwa mlo mmoja
Nov 26, 2025 12:17Shirika la Umoja wa Mataifa la Kutoa Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) limesema, hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza ingali ni ya majanga licha ya kusitishwa mapigano, na kuonya kwamba vizuizi vinavyowekwa na utawala wa kizayuni wa Israel kwa uingizaji wa misaada vinaifanya hali ya eneo hilo isiweze kuboreka.
-
Mvutano mkali ulitawala mazungumzo ya Trump na Bin Salman kuhusu kuanzisha uhusiano na Israel
Nov 26, 2025 11:44Duru zenye taarifa zimedokeza kuwa, mkutano kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman uliofanyika wiki iliyopita katika Ikulu wa White House ulishuhudia mvutano wa dhahiri kwa sababu Trump aliishinikiza Riyadh ijiunge na Mkataba wa Abraham, wa kuanzisha uhusiano rasmi na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Gazeti la Haaretz lamuonya Netanyahu: Israel inaelekea kuporomoka kwa ndani
Nov 26, 2025 03:02Gazeti la Kiebrania la Haaretz limeikosoa serikali ya utawala wa kizayuni wa Israel na waziri mkuu wake Benjamin Netanyahu, likionya kwamba utawala huo unaelekea kuporomoka kwa ndani huku Netanyahu akifanya juu chini ili kuanzisha vita vipya kwa ajili ya eti kuzuia kile gazeti hilo linachokiita "uangamiaji wa Israel".
-
Yemen: Tunasimama na Lebanon na wapiganaji wa muqawama nchini humo
Nov 25, 2025 11:08Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya Ansarullah ya Yemen imesisitiza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa Lebanon dhidi ya uvamizi na uchokozi wa mara kwa mara wa utawala ghasibu wa Kizayuni.
-
Hizbullah ya Lebanon: Muqawama utalipiza kisasi cha mashahidi wake
Nov 25, 2025 11:03Mwanachama mmoja wa ngazi za juu katika Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa harakati hiyo ya muqawama italipiza kisasi cha mashahidi wake na kwamba irada yake kamwe haitadhoofishwa.