-
Kukosolewa safari ya Joe Biden Saudi Arabia na katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu
Jul 08, 2022 21:47Mbali na kuwa safari ya Rais Joe Biden wa Marekani huko Saudi Arabia na vilevile katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel imekosolewa sana lakini kile kinachodhihirika zaidi katika ukosoaji huo ni kuwa kufanyika safari hiyo sambaba na siku za kutekelezwa ibada tukufu ya Hija ni jambo ambalo haliwezi kuwa limefanyika hivi hivi bali limepangwa kufikia malengo maalumu.
-
Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah wasimama Arafa
Jul 08, 2022 06:01Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu wanasimama katika uwanja wa Arafa hii leo Ijumaa, kisimamo hicho kikiashiria kilele cha ibada tukufu ya Hijja.
-
Brigedi ya Al-Quds: Walowezi wa Kizayuni hawana budi ila kuondoka Palestina
Jul 08, 2022 03:41Kwa mnasaba wa kuadhimisha mwaka wa 8 wa Vita vya ‘al-Buniyan al-Marsus’, Brigedi ya Quds tawi la kijeshi la harakati ya Jihad Islami huko Palestina imetangaza kuwa itaendeleza njia ya muqawama na mapambano dhidi ya Wazayuni maghasibu na kusisitiza kuwa: Walowezi wa Kizayuni hawana budi ila kuondoka katika ardhi yote ya Palestina.
-
Mkutano wa kihistoria kati ya Haniyah na Abbas baada ya miaka 15
Jul 07, 2022 22:01Ismail Haniyah, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na Mahmoud Abbas, mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, wamekutana baada ya miaka mingi ya uhusiano wa pande mbili kukatika.
-
Ibada ya Hija yaanza katika Mji Mtakatifu wa Makka
Jul 07, 2022 07:58Ibada ya kila mwaka ya Hija imeanza rasmi leo Alhamisi katika mji mtakatifu wa Makka, ikiashiria hatua kubwa kuelekea hali ya kawaida baada ya miaka miwili ya janga la corona ambapo idadi ya Mahujaji ilipunguzwa sana.
-
Rais wa Lebanon: Karibu tutafikia mwafaka na Israel juu ya uainishaji mipaka ya baharini
Jul 07, 2022 06:54Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza kuwa, karibuni hivi suala la uanishaji mipaka ya baharini baina ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel litapatiwa ufumbuzi na kwamba njia hiyo ya utatuzi wa mzozo huo itaridhiwa na pande zote.
-
Uungaji mkono wa wanazuoni wa Bahrain kwa mpango wa Sheikh Isa Qassim; umoja wa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa
Jul 06, 2022 21:52Kwa kuunga mkono taarifa iliyotolewa na Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa kidini, dhidi ya utawala wa Aal Khalifa, wanazuoni wa Bahrain wamesisitiza udharura wa kuwepo umoja miongoni mwa wapinzani wa utawala wa kidikteta wa nchi hiyo.
-
Jihad Islami: Ripoti ya Marekani kuhusu mauaji ya Abu Akleh inaficha uhalifu wa Israel
Jul 06, 2022 04:20Harakati ya Jihad ya Islami ya Palestina imetangaza kuwa, ripoti ya Marekani kuhusu mauaji ya mwandishi wa habari wa al Jazeera, Shireen Abu Akleh ni ya kisiasa na imechapishwa kwa shabaha ya kuuondoa hatiani na kuficha jinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Waziri wa Utamaduni wa Yemen: Mamluki wa Saudia wanaiba athari za kale za Yemen
Jul 06, 2022 04:19Waziri wa Utamaduni wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen ametangaza kwamba mamluki wa Saudi Arabia na washirika wake wanajaribu kupora athari za kale za nchi hiyo.
-
Russia: Mashambulio ya anga ya Israel dhidi ya Syria hayakubaliki hata kidogo
Jul 05, 2022 21:58Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imelaani vikali shambulio la anga lililofanywa hivi karibuni na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria.