Baadhi ya wakati wanyama wanawazidi binadamu kwa wema na ihsani
Apr 23, 2016 02:49 UTC
Licha ya mnyama huyu anayejulikana kwa jina la dubu kuwa na njaa lakini njaa yake haikuwa sababu ya kumwanya ndege huru anayezama, afariki dunia na wala haikuwa sababu kwake kumla