Makala Mchanganyiko
  • Mwaliko wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

    Mwaliko wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

    May 20, 2018 08:20

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni nyote tusikilize kwa pamoja kipindi hiki maalumu ambacho tumekutayarishieni kwa ajili ya mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • "Ghuba ya Uajemi" (Persian Gulf); Jina Litakalobaki Milele Katika Kurasa za Historia

    May 01, 2018 04:05

    Ni matumaini yangu kuwa hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Jumatatu ya tarehe 30 Aprili ilisadifiana na siku ya mwisho ya kuondoka Wareno baada ya kutimuliwa kwenye eneo la maji ya kusini mwa Iran. Kwa mnasaba wa tukio hilo, siku hii inajulikana katika kalenda rasmi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama "Siku ya Taifa ya Ghuba ya Uajemi". Baada ya utangulizi huo mfupi nakuomba sasa ujiweke tayari kusikiliza yale niliyokuandalia kwa mnasaba wa siku hiyo.

  • Imam Mahdi (AF), Mwokozi Muahidiwa

    Imam Mahdi (AF), Mwokozi Muahidiwa

    Apr 30, 2018 06:01

    Siku hizi ni siku za kusherehekea kuzaliwa mwokozi wa ulimwengu, Imam Mahdi (af) ambaye alizaliwa tarehe 15 Shaaban Hijiria. Tunatoa mkono wa pongezi na fanaka kwa Waislamu wote duniani na hasa wapenzi na wafuasi wa Watu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (saw) kwa mnasaba huu wa furaha wa kuzaliwa mtukufu huyo wa Ahlul Beit (as).

  • Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Imam Sajjad AS

    Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Imam Sajjad AS

    Apr 21, 2018 06:39

    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika dakika hizi chache za kipindi hiki maalumu ambacho kinakujieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Imam Ali bin Hussein Zainul Abidiin AS mmoja kati ya Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume Muhammad SAW. Ni matarajio yangu kuwa mtakuwa nami hadi mwisho wa kipindi karibuni.

  • Abbas bin Ali (AS) alivyopambika kwa fadhila kubwa za uungwana

    Abbas bin Ali (AS) alivyopambika kwa fadhila kubwa za uungwana

    Apr 20, 2018 11:58

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni katika makala hii maalumu ambayo tumekuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Abul Fadhlil Abbas, mwana wa Imam Ali AS na ambaye alikuwa jemedari shujaa na uti wa mgongo wa Imam Husain AS katika mapambano ya Karbala.

  • Imam Husain (AS) Nyota ya Fadhila (Kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa Imam Husain AS)

    Imam Husain (AS) Nyota ya Fadhila (Kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa Imam Husain AS)

    Apr 19, 2018 16:01

    Tarehe 3 Shaaban ni siku ambayo mji wa Madina ulishuhudia kuzaliwa mtoto mwingine katika nyumba ya Bibi Fatimatuz Zahra SA binti mpenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW. Huyo alikuwa ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia hiyo ambayo Mtume Muhammad SAW alikuwa siku zote akiwaita watu wa familia hiyo kuwa ni Ahlul Bayt wake na daima akiwaombea dua za kheri na amani. Katika Qur'ani Tukufu pia kuna aya inayotaja ubora, utukufu na usafi wa watu wa nyumba hiyo.

  • 27 Rajab, siku ya kubaathiwa Mtume wa nuru kuwaongoza wanadamu

    27 Rajab, siku ya kubaathiwa Mtume wa nuru kuwaongoza wanadamu

    Apr 13, 2018 16:00

    Tarehe 27 Rajab ndiyo siku aliyobaathiwa na kupewa utume Nabii Muhammad bin Abdullah (saw) kwa ajili ya kuwaongoza wanadamu katika njia iliyonyooka. Mtukufu huyo wa daraja alikuwa anapitisha mwaka wa arubaini wa umri wake uliojaa baraka na katika miaka yote hiyo watu walikuwa wakimpongeza kwa ubora wa tabia na uaminifu wake.

  • Malengo ya kubaathiwa Mtume Muhammad (SAW) kwa mtazamo wa Imam Khomein (MA)

    Malengo ya kubaathiwa Mtume Muhammad (SAW) kwa mtazamo wa Imam Khomein (MA)

    Apr 13, 2018 15:56

    As-Salamu Alaykum wapenzi wasikilizaji, na karibuni kujumuika nami katika dakika hizi chache za kipindi kingine cha makala ya wiki, ambacho hii leo kitazungunmzia malengo ya kubaathiwa Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) kwa mtazamo wa Imam Khomein (MA), karibuni.

  • Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Musa al Kadhim AS

    Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Musa al Kadhim AS

    Apr 11, 2018 12:00

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Leo wasikilizaji wapenzi tumekuandalieni kipindi maalumu kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Musa al Kadhim, Imam wa Saba katika silisila ya Maimamu wa kizazi kitoharifu cha Bw. Mtume Muhammad SAW. Leo tutatoa sira na historia fupi ya mtukufu huyo tukiwa na matumaini mtanufaika vya kutosha na Makala hii fupi tuliyokuandalieni kwa mnasaba huu. Karibuni.