Makala Mchanganyiko
  • Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Ali AS

    Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Ali AS

    Mar 30, 2018 11:45

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Karibuni wasikilizaji wapenzi katika kipindi hiki maalumu ambacho tumekuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Imam Ali bin Abi Talib AS. Siku hii kwa hapa nchini Iran inajulikana pia kwa jina la Siku ya Baba.

  • Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Jawad AS

    Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Jawad AS

    Mar 27, 2018 13:46

    Siku ya Kumi ya Mwezi wa Rajab inasadifiana na siku ya kuzaliwa Imam Jawad AS. Mwaka 195 Hijria Qamaria katika siku kama hii Imam Mohammad Taqi AS ambaye ni mashuhuri kwa lakabu ya Jawad kwa maana ya mkarimu, alizaliwa katika mji wa Madina. Ni Imamu wa Tisa katika kizazi cha Maimamu 12 kutoka katika Nyumba ya Mtume SAW .

  • Kwa mnasaba wa siku ya kuuawa shahidi Imam Hadi AS

    Kwa mnasaba wa siku ya kuuawa shahidi Imam Hadi AS

    Mar 20, 2018 18:27

    Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu la kuuawa shahidi Imam Ali al Hadi ambaye alikuwa miongoni mwa wajukuu wa Mtume wetu Muhammad (SAW).

  • Kwa mnasaba wa siku ya kuzaliwa Imam Muhammad Baqir AS

    Kwa mnasaba wa siku ya kuzaliwa Imam Muhammad Baqir AS

    Mar 18, 2018 12:25

    Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Wapenzi wasikilizaji, katika usiku kama wa leo anga kimya na tulivu ya mji wa Madina iliajabia nuru iliyoangaza kwenye nyumba ya Imam Sajjad (AS); nuru ambayo mwanga wake ulitandawaa kwenye anga yote hiyo ya mji huo. Ilikuwa ni nuru ya sura ya umaasumu, ing'arayo na kumeremeta ya mwana aliyebarikiwa, wa Ahlul Bayt wa Bwana Mtume Muhammad SAW na kuenea hadi mbinguni.

  • Kuzaliwa Mbora wa Wanawake, Bibi Fatima al Zahra (as)

    Kuzaliwa Mbora wa Wanawake, Bibi Fatima al Zahra (as)

    Mar 07, 2018 07:37

    Historia na vitabu vya hadithi vinasimulia kwamba, wakati Mtume Muhammad (saw) alipokuwa akisubiri wahyi na ufunuo kutoka kwa Mola wake, malaika Jibrail aliteremka kwake na kumwambia: Ewe Muhammad! Mwenyezi Mungu Mtukufu anakupa salamu na anakuamuru ujitenge na Khadija kwa muda wa siku arubaini.

  • Ummul Banin, Mama wa Mashahidi wa Karbala

    Ummul Banin, Mama wa Mashahidi wa Karbala

    Mar 03, 2018 07:00

    Siku ya tarehe 13 Jamadithani kwa mwaka wa Hijria Qamaria inakumbusha tukio la kuzama kwa jua la mke mwema na mwaminifu, mama mwenye huruma aliyekusanya sifa zote njema za kimaadili, imani, ukamilifu wa kiroho, subira na uvumilivu, elimu na maarifa na kadhalika na kuwa kigezo chema cha kuigwa cha mwanamke kamili wa Kiislamu.

  • Vazi la Hijabu na Uhuru wa Mwanamke

    Vazi la Hijabu na Uhuru wa Mwanamke

    Mar 03, 2018 06:49

    Vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu, hijabu ni miongoni masuala yaliyozusha mjadala mkubwa na mbali na mvuto wake, lakini pia limekabiliwa na mitazamo tofauti katika jamii mbalimbali.

  • Kumbukumbu ya kufa shahidi Bibi Fatima Zahra AS

    Kumbukumbu ya kufa shahidi Bibi Fatima Zahra AS

    Feb 19, 2018 11:58

    Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika kipindi hiki maalumu nilichokuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatima Zahra (a.s) binti mtukufu wa Bwana Mtume (s.a.w) na mwanamke bora duniani na akhera, mwanamke ambaye ni kigezo na ruwaza njema. Amani iwe juu yako Ewe Fatma Zahra mwanamke bora wa duniani na Akhera, Bibi wa wanawake wa peponi, Mtukufu as-Sidiqah at-Tahirah Fatimatuz Zahra (Salaamullahi Alayha).