-
Afya kwa Wote, Kaulimbiu ya Siku ya Kimataifa ya Afya
Apr 07, 2018 08:57Shirika la Afya Duniani (WHO) ni miongoni mwa taasisi zilizoanzishwa na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kutimiza moja ya malengo yake muhimu yaani kuhakikisha kila mtu anapata huduma za afya na siha.
-
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Ali AS
Mar 30, 2018 11:45Bismillahir Rahmanir Rahim. Karibuni wasikilizaji wapenzi katika kipindi hiki maalumu ambacho tumekuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Imam Ali bin Abi Talib AS. Siku hii kwa hapa nchini Iran inajulikana pia kwa jina la Siku ya Baba.
-
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Jawad AS
Mar 27, 2018 13:46Siku ya Kumi ya Mwezi wa Rajab inasadifiana na siku ya kuzaliwa Imam Jawad AS. Mwaka 195 Hijria Qamaria katika siku kama hii Imam Mohammad Taqi AS ambaye ni mashuhuri kwa lakabu ya Jawad kwa maana ya mkarimu, alizaliwa katika mji wa Madina. Ni Imamu wa Tisa katika kizazi cha Maimamu 12 kutoka katika Nyumba ya Mtume SAW .
-
Kwa mnasaba wa siku ya kuuawa shahidi Imam Hadi AS
Mar 20, 2018 18:27Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu la kuuawa shahidi Imam Ali al Hadi ambaye alikuwa miongoni mwa wajukuu wa Mtume wetu Muhammad (SAW).
-
Historia fupi, mila na desturi za Nairuzi kwa muhtasari
Mar 19, 2018 22:54Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Jumatano ya tarehe 21 Machi mwaka huu wa 2018 inasadifiana na kuanza mwaka mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsia.
-
Kwa mnasaba wa siku ya kuzaliwa Imam Muhammad Baqir AS
Mar 18, 2018 12:25Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Wapenzi wasikilizaji, katika usiku kama wa leo anga kimya na tulivu ya mji wa Madina iliajabia nuru iliyoangaza kwenye nyumba ya Imam Sajjad (AS); nuru ambayo mwanga wake ulitandawaa kwenye anga yote hiyo ya mji huo. Ilikuwa ni nuru ya sura ya umaasumu, ing'arayo na kumeremeta ya mwana aliyebarikiwa, wa Ahlul Bayt wa Bwana Mtume Muhammad SAW na kuenea hadi mbinguni.
-
Kuzaliwa Mbora wa Wanawake, Bibi Fatima al Zahra (as)
Mar 07, 2018 07:37Historia na vitabu vya hadithi vinasimulia kwamba, wakati Mtume Muhammad (saw) alipokuwa akisubiri wahyi na ufunuo kutoka kwa Mola wake, malaika Jibrail aliteremka kwake na kumwambia: Ewe Muhammad! Mwenyezi Mungu Mtukufu anakupa salamu na anakuamuru ujitenge na Khadija kwa muda wa siku arubaini.
-
Ummul Banin, Mama wa Mashahidi wa Karbala
Mar 03, 2018 07:00Siku ya tarehe 13 Jamadithani kwa mwaka wa Hijria Qamaria inakumbusha tukio la kuzama kwa jua la mke mwema na mwaminifu, mama mwenye huruma aliyekusanya sifa zote njema za kimaadili, imani, ukamilifu wa kiroho, subira na uvumilivu, elimu na maarifa na kadhalika na kuwa kigezo chema cha kuigwa cha mwanamke kamili wa Kiislamu.
-
Vazi la Hijabu na Uhuru wa Mwanamke
Mar 03, 2018 06:49Vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu, hijabu ni miongoni masuala yaliyozusha mjadala mkubwa na mbali na mvuto wake, lakini pia limekabiliwa na mitazamo tofauti katika jamii mbalimbali.
-
Kumbukumbu ya kufa shahidi Bibi Fatima Zahra AS
Feb 19, 2018 11:58Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika kipindi hiki maalumu nilichokuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatima Zahra (a.s) binti mtukufu wa Bwana Mtume (s.a.w) na mwanamke bora duniani na akhera, mwanamke ambaye ni kigezo na ruwaza njema. Amani iwe juu yako Ewe Fatma Zahra mwanamke bora wa duniani na Akhera, Bibi wa wanawake wa peponi, Mtukufu as-Sidiqah at-Tahirah Fatimatuz Zahra (Salaamullahi Alayha).