12
Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (12) +SAUTI
Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo hususan huko nyumbani Afrika Mashariki. Karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu, ambacho huwatambulisha na kuwazungumzia wanazuoni wakubwa wa Kishia, mchango wao katika Uislamu pamoja na vitabu na athari zao