-
Mapinduzi ya Kiislamu: Ilhamu ya kuhuisha Ustaarabu wa kisasa wa Kiislamu
Feb 12, 2023 07:26Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mnaponitegea sikio wakati huu. Nakukaribisheni kwa moyo mkunjufu kusikiliza mfululizo mwingine wa vipindi hivi maalumu tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ambapo maudhui yetu ya leo ni kuhuishwa Ustaarabu wa kisasa wa Kiirani na Kiislamu. Endeleeni kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.
-
Mapinduzi ya Iran; Muujiza wa Mwenyezi Mungu
Feb 07, 2023 11:20Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na katika kipindi kingine maalumu katika mfululizo wa vipindi vya Alfajiri Kumi kuelekea kilele cha maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyopita ushindi 1979 kwa uongozi wa Imam Ruhullah Khomeini MA.
-
Nafasi ya Utawala wa Faqihi katika Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 02, 2023 12:34Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 44 wa ushidi wa Mapinduzi ya Kiislau ya nchini Iran.
-
Tafakuri katika matukio ya hivi karibuni nchini Irani (3- Mipango ya Magharibi ya kuzusha machafuko nchini Irani)
Oct 23, 2022 11:27Matukio ya hivi karibuni nchini Iran yamekuwa kisingizio cha nchi za Magharibi kuingilia masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu na kuzidisha au kuchochea machafuko na ghasia.
-
Utamaduni wa Qur'ani katika Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Feb 13, 2022 05:28Qur'ani Tukufu ndio chanzo muhimu zaidi cha elimu na maarifa ya Uislamu, ambacho, pamoja na vyanzo vingine vya elimu ya dini, mbali na kutumiwa katika maisha ya mtu binafsi na ya kiibada, vilevile huainisha mfumo wa jamii katika masuala ya kisiasa na kijamii.
-
Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama
Feb 24, 2021 08:46Tarehe 21 mwezi huu wa Februari ilisadifiana na Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama. Lugha, wapenzi wasikilizaji, ni kitu muhimu sana katika maisha ya kiumbe mwanadamu.
-
Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya kuhuisha ustaarabu wa Kiislamu
Feb 07, 2021 06:55Licha ya kupitia milima na mabonde mengi, lakini kufikia sasa Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kulinda nafasi na itibari yake ndani na nje ya nchi na ikiwa inaingia katika mwaka wake wa 42, imeongeza kasi yake kuelekea ustaarabu mpya wa Kiislamu.
-
Kusimama kidete Iran mbele ya vikwazo
Feb 06, 2021 07:36Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya mfululizo wa vipindi hivi maalum vinavyokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Alfajiri Kumi kuelekea kilele cha maadhimisho ya ushindi wa Mpainduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama
Feb 21, 2020 10:06Tarehe 21 Februari inasadifiana na Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama.
-
Kilele cha maadhimisho ya miaka 41 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 10, 2020 08:42Assalamu Alaykum mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Nakukaribisha kutegea sikio mfululizo huu wa vipindi maalumu tulivyokuandalia kwa mnasaba wa kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.