-
Jumatano tarehe 10 Machi mwaka 2021
Mar 10, 2021 02:18Leo ni Jumatano tarehe 26 Rajab 1442 Hijria sawa na tarehe 10 Machi mwaka 2021.
-
Jumanne tarehe 24 Novemba 2020
Nov 24, 2020 02:25Leo ni Jumanne tarehe 8 Mfunguo Saba rRabiuthani 1442 Hijria sawa na Novemba 24 mwaka 2020.
-
Jumatano tarehe 12 Agosti mwaka 2020
Aug 12, 2020 02:32Leo ni Jumatano tarehe 22 Dhulhija 1441 Hijria inayosadifiana na Agosti 12 mwaka 2020.
-
Jumatano tarehe 5 Agosti mwaka 2020
Aug 05, 2020 02:37Leo ni Jumatano tarehe 15 Dhulhija 1441 Hijria sawa na Agosti 5 mwaka 2020.
-
Alkhamisi tarehe 27 Februari 2020
Feb 27, 2020 02:24Leo ni Alkhamisi tarehe 3 Rajab 1441 Hijria inayosadifiana na Februari 27 mwaka 2020.
-
Hadhrat Fatima (as) katika Suratul Kauthar
Jan 13, 2020 14:23Kwa mujibu wa baadhi ya nukuu za historia, Bibi Fatma Zahra binti wa Mtume Muhammad SAW alikufa shahidi tarehe 13 Jamadil Awwal baada ya kuishi maisha mafupi lakini yaliyojaa baraka tele.
-
Wiki ya Umoja wa Kiislamu-4: Nafasi ya Umoja katika kuepusha chuki dhidi ya Uislamu
Nov 11, 2019 10:33Katika ulimwengu wa leo chuki dhidi ya Uislamu, au kwa jila la kiingereza Islamophobia, ni jambo linalopewa uzito na kuenezwa kwa namna maalumu katika vyombo vya habari vya nchi za Magharibi.
-
Wiki ya Umoja wa Kiislamu-2 (Ruwaza Njema)
Nov 11, 2019 07:56Alipozaliwa alipewa jina la Muhammad lenye maana ya msifiwa. Jina hili hakuwahi kupewa kiumbe mwingine kabla yake yeye. Jina hilo, kama alivyokuwa yeye mwenyewe, liliteuliwa na Mwenyezi Mungu Muweza na lilitajwa katika vitabu vya Mitume waliotangua.
-
Wiki ya Umoja wa Kiislamu-1 (Mtindo wa Maisha ya Mtume SAW Katika Familia)
Nov 09, 2019 07:16Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizajii popote pale mlipo. Tumo katika siku tukufu za sherehe za kuadhimisha maulidi na kuzaliwa Mtume Muhammad (saw).
-
Maana ya kumsalia Mtume SAW na Sheikh Abdul Razzak Amir Juma wa Arusha Tanzania (SAUTI)
Nov 07, 2019 07:15Tumo ndani ya mwezi uliojaa baraka, mwezi mtukufu wa Mfunguo Sita, mwezi ambao ndio hushamiri na kuongezeka mno Maulid ya Bwana Mtume Muhammad SAW. Ni mwezi aliozaliwa mtukufu huyo wa daraja. Hapa tumekuwekeeni mawaidha maalumu kutoka kwa Sheikh Abdul Razzak Amir Juma wa Arusha Tanzania kuzungumzia namna ya kumsalia Mtume ikiwa ni sehemu ya mfululizo wa vipindi vyetu maalumu vya Mfunguo Sita.