• Alkhamisi, tarehe 25 Julai, 2024

    Alkhamisi, tarehe 25 Julai, 2024

    Jul 25, 2024 04:35

    Leo ni Alkhamisi tarehe 19 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hjria sawa na Julai 25 mwaka 2024.

  • Jumapili, 14 Julai, 2024

    Jumapili, 14 Julai, 2024

    Jul 14, 2024 03:49

    Leo ni Jumapili 8 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria mwafaka na 14 Julai 2024 Miladia.

  • Alkhamisi, tarehe 11 Julai, 2024

    Alkhamisi, tarehe 11 Julai, 2024

    Jul 11, 2024 02:33

    leo ni Alkhamisi tarehe 05 Muharram 1446 Hijria sawa na Julai 11 mwaka 2024.

  • Jumapili, 7 Julai, 2024

    Jumapili, 7 Julai, 2024

    Jul 07, 2024 02:20

    Leo ni Jumapili tarehe Mosi Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria mwafaka na tarehe 7 Julai 2024.

  • Leo katika Historia, Jumatano 19 Julai

    Leo katika Historia, Jumatano 19 Julai

    Jul 19, 2023 02:38

    Jumatano tarehe Mosi Muharram 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 19 Julai mwaka 2023.

  • Jumanne tarehe 10 Agosti 2021

    Jumanne tarehe 10 Agosti 2021

    Aug 10, 2021 02:26

    Leo ni tarehe Mosi Mfunguo Nne Muharram mwaka 1443 Hijria sawa na Agosti 10 mwaka 2021.

  • Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Oct 14, 2019 14:20

    Arubaini ya Imam Hussein (as) imekuwa ni ya kimataifa na itaendelea kupanuka zaidi katika upeo huo. Hii ni damu ya Hussein bin Ali (as) ambayo licha ya kupita miaka 1400, ingali inachemka na kuendelea kuwa mpya na hai zaidi siku baada ya nyingine. Huu ndio ujumbe ule ule wa Siku ya Ashura uliopazwa kupitia koo za Aba Abdillah al-Hussein (as) na Bibi Zainab (sa) katika kipindi kigumu zaidi cha upweke wao. Pamoja na hayo, hii leo ujumbe huo umeenea na kufika katika kila pembe ya dunia.

  • Jumamosi, Septemba 22, 2018

    Jumamosi, Septemba 22, 2018

    Sep 22, 2018 03:03

    Leo ni Jumamosi tarehe 12 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe 22 Septemba 2018 Miladia.