• Jumatatu, tarehe 29 Aprili, 2024

    Jumatatu, tarehe 29 Aprili, 2024

    Apr 29, 2024 02:35

    Leo ni Jumatatu tarehe 20 Shawwal 1445 Hijria sawa na Aprili 29 mwaka 2024.

  • Mashambulizi ya Israel dhidi ya Rafah

    Mashambulizi ya Israel dhidi ya Rafah

    Feb 22, 2024 04:46

    Hamjambo na karibuni katika Kipindi chetu wiki hii ambacho kitaangazia mashambulizi ya utawala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Palestina huko Rafah, kusini kwa Ukanda wa Gaza. Kuweni nami hadi tamati.****

  • Jumatatu, tarehe Mosi Januari, 2024

    Jumatatu, tarehe Mosi Januari, 2024

    Jan 01, 2024 02:25

    Leo ni Jumatatu tarehe 18 Jamadithani 1445 Hijria sawa na tarehe Mosi Januari 2024.

  • Tunawaambiaje wale wanaolaani mapambano ya silaha ya Wapalestina?

    Tunawaambiaje wale wanaolaani mapambano ya silaha ya Wapalestina?

    Dec 12, 2023 10:09

    Hivi inafaa kweli kuwalaumu Wapalestina kwa kuendesha mapambano ya silaha dhidi ya Wazayuni Kama unaamini hivyo, basi anza kwanza kulaani mapambano ya mashujaa kama Nelson Mandela. Lakini pia si shujaa Nelson Mandela tu, bali wako wengi. 

  • Alkhamisi, tarehe 23 Novemba, 2023

    Alkhamisi, tarehe 23 Novemba, 2023

    Nov 23, 2023 03:05

    Leo ni Alkhamisi tarehe 9 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1445 Hijria mwafaka na tarehe 23 Novemba mwaka 2023.

  • Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (2)

    Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (2)

    Nov 19, 2023 06:36

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu ya pili ya kipindi cha Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu.

  • Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (1)

    Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (1)

    Nov 19, 2023 06:33

    Katika kikao chake na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na mabalozi wa nchi za Kiislamu tarehe 18 Februari mwaka huu, Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran alisema suala la Palestina ni moja ya masuala muhimu zaidi ya ulimwengu wa Kiislamu. Alisema hali ya kusikitisha na kuhuzunisha ya hivi sasa huko Palestina ni matokeo ya kupuuzwa suala hilo na baadhi ya nchi za Kiislamu.

  • Kupambana na Utawala wa Kizayuni wa Israel katika Mtazamo wa Uislamu

    Kupambana na Utawala wa Kizayuni wa Israel katika Mtazamo wa Uislamu

    Nov 09, 2023 11:27

    Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu cha Makala ya Wiki ambacho leo kinaangazia mtazamo wa dini ya Kiislamu kuhusu kujilinda na kukabiliana na ukandamizaji, uchokozi na uvamizi.

  • Maangamizi ya kizazi Ukanda wa Ghaza na ubinadamu uliotoweka katika nchi za Magharibi

    Maangamizi ya kizazi Ukanda wa Ghaza na ubinadamu uliotoweka katika nchi za Magharibi

    Nov 02, 2023 09:10

    Ni wakati mwingine wa kuwa nanyi wapenda wasikilizaji katika Makala ya Wiki hii na leo tutazungumzia maangamizi ya kizazi katika eneo la Ukanda wa Ghaza na kuporomoka kwa ubinadamu katika nchi za Magharibi.

  • Uungaji Mkono wa Marekani kwa Israel; Sababu na Kwa Nini

    Uungaji Mkono wa Marekani kwa Israel; Sababu na Kwa Nini

    Oct 31, 2023 10:40

    Hamjambo wapendwa wasikilizaji na karibuni kujiunga nasi katika kipindi chetu cha makala ya wiki, ambapo juma hili tutazungumzia uungaji mkono wa Marekani kwa Israel, sababu na kwa nini. Karibuni.