• Rais wa Iran: Mwelekeo wa mazungumzo unategemea mwenendo wa Wamarekani

    Rais wa Iran: Mwelekeo wa mazungumzo unategemea mwenendo wa Wamarekani

    Mar 31, 2025 02:41

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Tehran haijawahi kukwepa mazungumzo, lakini ni aina ya mwenendo wa Wamarekani ndio unaoamua ikiwa mazungumzo yataendelea au la.

  • Jumatatu, tarehe 31 machi, 2025

    Jumatatu, tarehe 31 machi, 2025

    Mar 31, 2025 02:38

    Leo ni tarehe Mosi Shawwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 31 Machi 2025.

  • Ujumbe wa HAMAS wa Sikukuu ya Idul Fitr

    Ujumbe wa HAMAS wa Sikukuu ya Idul Fitr

    Mar 30, 2025 11:11

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa ujumbe wa Sikukuu ya Idul Fitr kwa kuyataka mataifa ya Kiislamu na Kiarabu kuongeza juhudi na uungaji mkono kwa Wapalestina ili kukomesha jinai za Israel na kuondolewa mzingiro kwenye Ukanda wa Ghaza.

  • Baadhi ya Waislamu waswali Iddi leo, wengine kuadhimisha sikukuu hii kesho

    Baadhi ya Waislamu waswali Iddi leo, wengine kuadhimisha sikukuu hii kesho

    Mar 30, 2025 06:12

    Baadhi ya Waislamu katika maeneo tofauti duniani wameswali Swala ya Iddul-Fitri leo Jumapili, baada ya kukamilisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa siku 29; huku wengine wakitazamiwa kuadhimisha sherehe hizo kesho Jumatatu.

  • Mtaalamu: Badala ya kusimamia haki, ICC inatumikia madola yenye nguvu

    Mtaalamu: Badala ya kusimamia haki, ICC inatumikia madola yenye nguvu

    Mar 30, 2025 02:37

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imepoteza uhalali wake kwa kutumikia maslahi ya kisiasa ya madola fulani. Hayo yameelezwa na Ali Hammoud, mtaalamu wa mahusiano ya kimataifa wa Kituo cha Mafunzo ya Kidiplomasia na Kimkakati (CEDS) chenye makao yake mjini Paris, Ufaransa.

  • Ramadhani, Dhifa ya Mwenyezi Mungu (9)

    Ramadhani, Dhifa ya Mwenyezi Mungu (9)

    Mar 17, 2025 06:21

    Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kama mvua laini ya msimu wa kuchipua inayonyeshea jangwa kavu na lenye kiu. Hebu na tuyaloweshe majangwa ya roho zetu kwa mvua hii yenye uhai.

  • Waislamu na Wakristo Burkina Faso wala futari pamoja kuimarisha umoja

    Waislamu na Wakristo Burkina Faso wala futari pamoja kuimarisha umoja

    Mar 16, 2025 11:32

    Mamia ya Waislamu na Wakristo huko Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso, wameshiriki pamoja dhifa ya futari katika medani ya Place De La Nation, kuadhimisha mwaka wa tatu wa utamaduni huo wa kuhamasisha mshikamano wa kijamii, wakati huu ambapo nchi hiyo inakabiliwa na ghasia za itikadi kali.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (5)

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (5)

    Mar 13, 2025 07:24

    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu ya tano ya kipindi hiki maalumu tulichokutayarishieni kwa mnasaba wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhni.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-4

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-4

    Mar 12, 2025 09:28

    Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur´ani, kuwa mwongozo kwa watu, na hoja zilizowazi za uongofu na upambanuzi. Basi atayekuwa katika mji (wake) katika mwezi huu aufunge....