Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Abbas: Quds inaweza kuwa lango la amani au vita, Trump achague

    Abbas: Quds inaweza kuwa lango la amani au vita, Trump achague

    Jan 18, 2018 02:33

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amesema mji wa Baitul Muqaddad unaweza kuwa lango la kupatikana amani au kuibua vita, na Marekani ina khiari ya kuchagua njia inayoitaka.

  • Kiongozi Muadhamu:

    Kiongozi Muadhamu: "Ufidhuli mkubwa inaofanya Marekani" kuhusiana na Quds Tukufu hautafika popote

    Jan 16, 2018 17:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani imekuwa ikifanya "ufidhuli mkubwa" kuhusu Quds Tukufu na kuongeza kuwa njama zake hizo hazitafika popote.

  • Rais wa Palestina: Tutakata uhusiano na nchi zitakazohamishia balozi zake Quds

    Rais wa Palestina: Tutakata uhusiano na nchi zitakazohamishia balozi zake Quds

    Jan 15, 2018 14:34

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametahadharisha kwamba, mamlaka hiyo itakata uhusiano wake na nchi yoyote ile ambayo itafuata uamuzi wa Marekani na kuuhamishia ubalozi wake huko Beitul-Muqaddas kutoka Tel-Aviv.

  • Bandera za Israel zachomwa moto kumkaribisha Netanyahu India

    Bandera za Israel zachomwa moto kumkaribisha Netanyahu India

    Jan 14, 2018 08:02

    Maandamano makubwa yameshuhudiwa katika mji mkuu wa India, New Delhi, kabla ya kuanza safari ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu katika nchi hiyo.

  • Burkina Faso: Hatua ya Trump dhidi ya Quds inapaswa kuzuiwa

    Burkina Faso: Hatua ya Trump dhidi ya Quds inapaswa kuzuiwa

    Jan 14, 2018 07:59

    Naibu Spika wa Bunge la Burkina Faso ametoa mwito wa kusimamishwa utekelezwaji wa mpango wa Marekani wa kuuhamishia mjini Quds Tukufu, ubalozi wake ulioko Tel Aviv.

  • Spika wa Baraza la Wawakilishi Indonesia: Quds daima itaendelea kuwa ni mali ya Palestina

    Spika wa Baraza la Wawakilishi Indonesia: Quds daima itaendelea kuwa ni mali ya Palestina

    Jan 14, 2018 04:36

    Kaimu Spika wa Baraza la Wawakilishi la Indonesia amesisitiza udharura wa kuchukuliwa hatua za kurejesha haki za taifa la Palestina na kusema bayana kwamba, daima Beitul-Muqaddas itaendelea kuwa mali ya Palestina.

  • Wakristo waendelea kuilaani Israel, waiambia Yerusalemu si mji wenu

    Wakristo waendelea kuilaani Israel, waiambia Yerusalemu si mji wenu

    Jan 13, 2018 07:49

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Rome Orthodox linalojulikana kwa jina rasmi la Orthodox Catholic Church katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, kwa mara nyingine tena amelaani jinai za Israel dhidi ya Wakristo na Waislamu na kusema kuwa, mji wa Quds (Yerusalemu) ni mali ya Wapalestina si mji wa Wazayuni.

  • Netanyahu: Makao ya Bunge na Serikali ya Israel yatakuwa Baitul Muqaddas

    Netanyahu: Makao ya Bunge na Serikali ya Israel yatakuwa Baitul Muqaddas

    Jan 11, 2018 16:26

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema makao ya bunge na serikali ya utawala huo haramu yatahamishiwa mji wa Baitul Muqaddas.

  • Mahmoud Abbas: Marekani haina hadhi tena ya kuwa mpatanishi katika mgogoro wa Palestina

    Mahmoud Abbas: Marekani haina hadhi tena ya kuwa mpatanishi katika mgogoro wa Palestina

    Jan 10, 2018 04:35

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amesema kuwa, uamuzi uliochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu Quds tukufu (Jerusalem) ni hatari sana na umeharibu sura ya nchi hiyo katika duru za kimataifa.

  • Hizbullah: Kuvunjiwa heshima Quds ni matunda ya mchezo wa kudansi na upanga wa Trump na Salman

    Hizbullah: Kuvunjiwa heshima Quds ni matunda ya mchezo wa kudansi na upanga wa Trump na Salman

    Jan 06, 2018 16:49

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Nabil Qaouk amezitaja siasa za Saudia kuwa za maafa na kuongeza kuwa, kitendo cha kuvunjiwa heshima mji wa Quds na msikiti wake kinatokana na mchezo wa kudansi na upanga wa Rais Donald Trump wa Marekani na Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa Saudia.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • 'Kichapo ni hakika kwa adui': Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran abeza madai ya adui ya kutoshindwa

    'Kichapo ni hakika kwa adui': Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran abeza madai ya adui ya kutoshindwa

    14 hours ago
  • Somalia yalaani shambulio la mauaji katika jimbo la Zamfara, Nigeria

  • Kiongozi wa chama cha BSW Ujerumani atoa wito kwa nchi yake kuondoa vikwazo dhidi ya Iran

  • Mafuriko mashariki mwa Kongo yameacha zaidi ya kaya 2,500 bila makazi

  • Mwandishi wa habari mtajika wa Marekani: Israel ni mzigo mkubwa zaidi wa kigeni kwa Marekani

Chaguo La Mhariri
  • Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki

    Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki

    21 hours ago
  • Mjibizo hasi wa maoni ya umma wa Marekani kwa sera za kupenda vita za Trump

    Mjibizo hasi wa maoni ya umma wa Marekani kwa sera za kupenda vita za Trump

    2 days ago
  • Kwa nini Amnesty International imelaani operesheni za kijeshi za Marekani huko Karibiani na Pasifiki?

    Kwa nini Amnesty International imelaani operesheni za kijeshi za Marekani huko Karibiani na Pasifiki?

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Ufaransa yairejeshea Ivory Coast 'ngoma inayozungumza' waliyoiiba askari wake karne moja iliyopita

  • 'Kichapo ni hakika kwa adui': Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran abeza madai ya adui ya kutoshindwa

  • Kamanda wa Iran apuuzilia mbali hatua ya US ya kutuma meli za kivita Asia Magharibi; asema ni ya kimaonyesho

  • Marekani yashangaa kwa nini Iran haijasalimu amri licha ya mashinikizo ya kijeshi

  • Mjibizo hasi wa maoni ya umma wa Marekani kwa sera za kupenda vita za Trump

  • Iran yajibu mapigo kwa kuyatambua majeshi ya wanamaji na wanaanga ya EU kama mashirika ya 'kigaidi'

  • Kiongozi wa chama cha BSW Ujerumani atoa wito kwa nchi yake kuondoa vikwazo dhidi ya Iran

  • Matamshi ya Huckabee yalaaniwa vikali katika Ulimwengu wa Kiislamu, yaitwa ya 'kipuuzi' na 'kichochezi'

  • Mwandishi wa habari mtajika wa Marekani: Israel ni mzigo mkubwa zaidi wa kigeni kwa Marekani

  • Pezeshkian: Kuna ishara 'ya kutia moyo' katika mazungumzo na Marekani, lakini Iran iko tayari kwa hali yoyote

  • Iran yamkemea balozi wa Marekani aliyeunga mkono mpango wa “Israel Kubwa”

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS