Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Netanyahu: Makao ya Bunge na Serikali ya Israel yatakuwa Baitul Muqaddas

    Netanyahu: Makao ya Bunge na Serikali ya Israel yatakuwa Baitul Muqaddas

    Jan 11, 2018 12:56

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema makao ya bunge na serikali ya utawala huo haramu yatahamishiwa mji wa Baitul Muqaddas.

  • Mahmoud Abbas: Marekani haina hadhi tena ya kuwa mpatanishi katika mgogoro wa Palestina

    Mahmoud Abbas: Marekani haina hadhi tena ya kuwa mpatanishi katika mgogoro wa Palestina

    Jan 10, 2018 01:05

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amesema kuwa, uamuzi uliochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu Quds tukufu (Jerusalem) ni hatari sana na umeharibu sura ya nchi hiyo katika duru za kimataifa.

  • Hizbullah: Kuvunjiwa heshima Quds ni matunda ya mchezo wa kudansi na upanga wa Trump na Salman

    Hizbullah: Kuvunjiwa heshima Quds ni matunda ya mchezo wa kudansi na upanga wa Trump na Salman

    Jan 06, 2018 13:19

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Nabil Qaouk amezitaja siasa za Saudia kuwa za maafa na kuongeza kuwa, kitendo cha kuvunjiwa heshima mji wa Quds na msikiti wake kinatokana na mchezo wa kudansi na upanga wa Rais Donald Trump wa Marekani na Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa Saudia.

  • Mamlaka ya Ndani ya Palestina yamjibu Trump: Quds haiuzwi

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina yamjibu Trump: Quds haiuzwi

    Jan 03, 2018 11:59

    Msemaji wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametoa jibu kwa kitisho kilichotolewa na rais wa Marekani cha kukata msaada wa fedha wa dola milioni 300 unaotolewa na nchi hiyo kwa Wapalestina kwa kusisitiza kwamba Quds si kitu cha kuuzwa kwa pesa.

  • Shamkhani: Iran kamwe haitaacha kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Shamkhani: Iran kamwe haitaacha kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Jan 03, 2018 04:09

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa lengo la kutaka kujadiliwa na kufanyika mazungumzo kuhusu Palestina ni kuisahaulisha kadhia ya Palestina na kwamba kuharibiwa ardhi hiyo ni lengo kuu la maghasibu ambao wanafanya njama za kuzikalia kwa mabavu ardhi zote za Palestina.

  • Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa: Mji mkuu wa Palestina ni Quds Tukufu

    Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa: Mji mkuu wa Palestina ni Quds Tukufu

    Dec 31, 2017 00:00

    Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa amesisitiza kuwa, ulilmwengu unapaswa kufahamu kuwa, Quds Tukufu (Jerusalem) ni mji mkuu wa Palestina.

  • Harakati ya al-Nujabaa ya Iraq yatangaza utayarifu wake wa kuitetea Quds

    Harakati ya al-Nujabaa ya Iraq yatangaza utayarifu wake wa kuitetea Quds

    Dec 30, 2017 23:59

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Iraq ya al-Nujabaa na ambayo ni sehemu ya Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi ya nchi hiyo ametangaza utayarifu wa harakati yake kwa ajili ya kuitetea Quds (Jerusalem).

  • Kikao cha Bunge la Nchi za Kiarabu kwa jina la Palestina, kwa maslahi ya Israel

    Kikao cha Bunge la Nchi za Kiarabu kwa jina la Palestina, kwa maslahi ya Israel

    Dec 29, 2017 11:56

    Bunge la Nchi za Kiarabu lilikutana jana Alkhamisi katika mji mkuu wa Misri, Cairo kwa kaulimbiu ya: Quds, Mji Mkuu wa Milele wa Palestina. Hata hivyo kikao hicho kilibadilika na kuwa mahfali na medani na nchi zinazouunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kongamano la Quds, Mji Mkuu wa daima wa Palestina

    Kongamano la Quds, Mji Mkuu wa daima wa Palestina

    Dec 27, 2017 10:27

    Viongozi wa kisiasa wa Palestina wametangaza kuwa, Intifadha ya Wapalestina itaendelea hadi pale rais wa Marekani atakapobatilisha uamuzi wake wa kuitambua Quds Tukufu kama mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Shakhsia wa kisiasa wa Palestina: Intifadha inaendelea

    Shakhsia wa kisiasa wa Palestina: Intifadha inaendelea

    Dec 27, 2017 00:20

    Viongozi kadhaa wa kisiasa wa Palestina wametangaza kuwa Intifadha ya Wapalestina itaendelea hadi utakapofutwa uamuzi uliotangazwa na rais wa Marekani wa kuitambua Baitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

    Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

    12 minutes ago
  • DRC yaishtaki Rwanda ICJ kwa tuhuma za unyanyasaji

  • Volker Turk aonya kuongezeka vifo vya wahamiaji katika utawala wa Trump

  • Meja Jenerali Rezaei: Kama adui ataanzisha vita vingine, atapata maafa na hasara kubwa

  • Ireland: Wanamichezo waungana kupinga uhusiano wa kimichezo na utawala wa Kizayuni

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    18 hours ago
  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    23 hours ago
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

  • Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka"

  • Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel

  • Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

  • Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel

  • Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad

  • Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani

  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

  • Burkina Faso yavunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa, yaituhumu kwa kuingilia mambo yake ya ndani

  • Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS