Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mamlaka ya Ndani ya Palestina yamjibu Trump: Quds haiuzwi

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina yamjibu Trump: Quds haiuzwi

    Jan 03, 2018 15:29

    Msemaji wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametoa jibu kwa kitisho kilichotolewa na rais wa Marekani cha kukata msaada wa fedha wa dola milioni 300 unaotolewa na nchi hiyo kwa Wapalestina kwa kusisitiza kwamba Quds si kitu cha kuuzwa kwa pesa.

  • Shamkhani: Iran kamwe haitaacha kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Shamkhani: Iran kamwe haitaacha kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Jan 03, 2018 07:39

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa lengo la kutaka kujadiliwa na kufanyika mazungumzo kuhusu Palestina ni kuisahaulisha kadhia ya Palestina na kwamba kuharibiwa ardhi hiyo ni lengo kuu la maghasibu ambao wanafanya njama za kuzikalia kwa mabavu ardhi zote za Palestina.

  • Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa: Mji mkuu wa Palestina ni Quds Tukufu

    Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa: Mji mkuu wa Palestina ni Quds Tukufu

    Dec 31, 2017 03:30

    Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa amesisitiza kuwa, ulilmwengu unapaswa kufahamu kuwa, Quds Tukufu (Jerusalem) ni mji mkuu wa Palestina.

  • Harakati ya al-Nujabaa ya Iraq yatangaza utayarifu wake wa kuitetea Quds

    Harakati ya al-Nujabaa ya Iraq yatangaza utayarifu wake wa kuitetea Quds

    Dec 31, 2017 03:29

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Iraq ya al-Nujabaa na ambayo ni sehemu ya Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi ya nchi hiyo ametangaza utayarifu wa harakati yake kwa ajili ya kuitetea Quds (Jerusalem).

  • Kikao cha Bunge la Nchi za Kiarabu kwa jina la Palestina, kwa maslahi ya Israel

    Kikao cha Bunge la Nchi za Kiarabu kwa jina la Palestina, kwa maslahi ya Israel

    Dec 29, 2017 15:26

    Bunge la Nchi za Kiarabu lilikutana jana Alkhamisi katika mji mkuu wa Misri, Cairo kwa kaulimbiu ya: Quds, Mji Mkuu wa Milele wa Palestina. Hata hivyo kikao hicho kilibadilika na kuwa mahfali na medani na nchi zinazouunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kongamano la Quds, Mji Mkuu wa daima wa Palestina

    Kongamano la Quds, Mji Mkuu wa daima wa Palestina

    Dec 27, 2017 13:57

    Viongozi wa kisiasa wa Palestina wametangaza kuwa, Intifadha ya Wapalestina itaendelea hadi pale rais wa Marekani atakapobatilisha uamuzi wake wa kuitambua Quds Tukufu kama mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Shakhsia wa kisiasa wa Palestina: Intifadha inaendelea

    Shakhsia wa kisiasa wa Palestina: Intifadha inaendelea

    Dec 27, 2017 03:50

    Viongozi kadhaa wa kisiasa wa Palestina wametangaza kuwa Intifadha ya Wapalestina itaendelea hadi utakapofutwa uamuzi uliotangazwa na rais wa Marekani wa kuitambua Baitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni.

  • Quds, Kituo cha Dini za Mwenyezi Mungu-2

    Quds, Kituo cha Dini za Mwenyezi Mungu-2

    Dec 26, 2017 16:46

    Hatua ya Rais Donald Tump wa Marekani ya kuitambua Quds (Baitul Muqaddas au Jerusalem) kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine imeuweka mji huo mtakatifu kwa dini zote za Mwenyezi Mungu hususan Uislamu katika kurasa za mbele za magazeti na safu ya kwanza ya habari za vyombo vya mawasiliano ya umma kote duniani.

  • Palestina: Uamuzi wa Guatemala kuuhamishia ubalozi wake Quds ni 'fedheha'

    Palestina: Uamuzi wa Guatemala kuuhamishia ubalozi wake Quds ni 'fedheha'

    Dec 26, 2017 07:30

    Palestina imekosoa vikali hatua ya Guatemala ya kuuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu kutoka Tel Aviv na kukitaja kitendo hicho kama 'fedheha'.

  • Askofu wa Waarmenia Tehran: Wakristo hawaitambui Israel

    Askofu wa Waarmenia Tehran: Wakristo hawaitambui Israel

    Dec 26, 2017 04:28

    Askofu wa Kanisa la Armenia mjini Tehran amesisitiza kuwa, Wakristo hawatambui serikali inayojiita Israel.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Araghchi: Marekani inapaswa kuacha misimamo ya kukinzana

    Araghchi: Marekani inapaswa kuacha misimamo ya kukinzana

    48 minutes ago
  • Iran yapinga “uongo mkubwa” wa Marekani kuhusu kadhia ya nyuklia

  • Upeo wa ubaguzi; Trump ataka Ilhan, Tlaib wafukuzwe Marekani

  • CPJ: Israel ndiyo iliyoua wanahabari wengine zaidi duniani 2025

  • Makumi wauawa katika mashambulizi pacha ya magaidi Nigeria

Chaguo La Mhariri
  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    4 hours ago
  • Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    5 hours ago
  • Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Intelijinsia ya Israel: Jeshi la Marekani linaweza kumudu mashambulizi dhidi ya Iran kwa siku kadhaa tu

  • Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran

  • Netanyahu kuunda 'muungano' utakaoshirikisha Waarabu kukabiliana na mihimili ya Sunni na Shia

  • Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote

  • Iran yaiambia Marekani: Vikwazo na vita vimefeli; jaribu diplomasia na kuheshimiana

  • Mwana wa Rais wa Uganda amuita 'Hitler' kiongozi wa RSF aliyekutana na baba yake hivi karibuni

  • Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?

  • Iraq yamueleza mjumbe wa Marekani: Uundaji wa serikali ni 'suala letu la ndani'

  • Iran yamuonya Trump asichukue maamuzi yanayotegemea taarifa za uongo

  • Israel imepeleka Ghaza maboksi yenye mafuvu na miili iliyonyofolewa ya wanawake Wapalestina

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS