Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Sheikh Nabil Qaouk: Kuiunga mkono Beitul-Muqaddas ni jukumu la Hizbullah

    Sheikh Nabil Qaouk: Kuiunga mkono Beitul-Muqaddas ni jukumu la Hizbullah

    Dec 25, 2017 15:01

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kuiunga mkono Beitul-Muqaddas ni jukumu la harakati hiyo na kwamba, Hizbullah itaendelea kubakia mstari wa mbele katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina.

  • Qassemi: Iran daima inafanya juhudi za kutetea haki za taifa la Palestina

    Qassemi: Iran daima inafanya juhudi za kutetea haki za taifa la Palestina

    Dec 25, 2017 14:43

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inafanya juhudi za kutumia mbinu za kidiplomasia kwa ajili ya kutetea haki za taifa la Palestina.

  • Bunge la Iran lapitisha: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina

    Bunge la Iran lapitisha: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina

    Dec 24, 2017 16:42

    Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran leo wamepitisha mpango wa dharura wa kuunga mkono Mapinduzi ya Kiislamu ya watu wa Palestina na kusisitiza kwamba Baitul Muqaddas utakuwa mji mkuu wa kudumu wa nchi ya Palestina.

  • Maandamano ya kuwapinga Wazayuni yaendelea nchini Tunisia

    Maandamano ya kuwapinga Wazayuni yaendelea nchini Tunisia

    Dec 24, 2017 15:43

    Wananchi wa Tunisia kwa mara nyingine wameshiriki katika maandamano makubwa ya kupinga jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Nchi za Afrika zaendelea kuunga mkono azimio la UN kuhusu Quds

    Nchi za Afrika zaendelea kuunga mkono azimio la UN kuhusu Quds

    Dec 23, 2017 15:25

    Nchi na jumuiya mbalimbali za Kiafrika zimeendelea kuunga mkono azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lililopinga hatua ya Marekani ya kuitambua Quds tukufu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • Ismail Haniya: Quds Tukufu iliyoungana ni mji Mkuu wa Palestina

    Ismail Haniya: Quds Tukufu iliyoungana ni mji Mkuu wa Palestina

    Dec 23, 2017 15:23

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Ismail Haniya amesema, mji wa Quds (Jerusalem) ulioungana ni mji mkuu wa nchi huru ya Palestina, na nchi za Kiislamu na Kiarabu hazitaipuuza Quds.

  • Mshauri Mkuu wa Kiongozi Muadhamu: Marekani si dola kubwa tena duniani

    Mshauri Mkuu wa Kiongozi Muadhamu: Marekani si dola kubwa tena duniani

    Dec 23, 2017 15:20

    Mshauri Mkuu wa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote ya Iran amesema kuwa, kushindwa Marekani katika mpango wake wa kuitambulisha Quds (Jerusalem) kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel kumeonesha kuwa, nchi hiyo si dola kubwa tena duniani.

  • Kiongozi wa Hamas: Kupitishwa azimio la Quds katika Baraza Kuu la UN ni ushindi wa haki

    Kiongozi wa Hamas: Kupitishwa azimio la Quds katika Baraza Kuu la UN ni ushindi wa haki

    Dec 22, 2017 06:55

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Ismail Haniya amesema, kupitishwa azmio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Quds Tukufu ni "ushindi wa haki, uadilifu na historia."

  • Marekani yapata pigo jingine, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa launga mkono Quds

    Marekani yapata pigo jingine, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa launga mkono Quds

    Dec 22, 2017 04:27

    Licha ya vitisho vilivyotolewa na Marekani dhidi ya wanachama wa Umoja wa Mataifa, lakini Baraza Kuu la umoja huo limepasisha kwa kauli moja azimio linaloitaka Marekani kufuta kauli yake ya kuitambua Quds kuwa eti ni mji mkuu wa Israel.

  • Iran yaijibu Bahrain inayodai Quds si suala muhimu

    Iran yaijibu Bahrain inayodai Quds si suala muhimu

    Dec 22, 2017 04:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu hatua ya hivi karibuni ya waziri wa mambo ya nje wa Bahrain aliyeandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa eti kadhia ya Quds na Palestina si muhimu bali ni suala la pembeni tu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Araghchi: Marekani inapaswa kuacha misimamo ya kukinzana

    Araghchi: Marekani inapaswa kuacha misimamo ya kukinzana

    3 hours ago
  • Iran yapinga “uongo mkubwa” wa Marekani kuhusu kadhia ya nyuklia

  • Upeo wa ubaguzi; Trump ataka Ilhan, Tlaib wafukuzwe Marekani

  • CPJ: Israel ndiyo iliyoua wanahabari wengine zaidi duniani 2025

  • Makumi wauawa katika mashambulizi pacha ya magaidi Nigeria

Chaguo La Mhariri
  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    6 hours ago
  • Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    7 hours ago
  • Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Intelijinsia ya Israel: Jeshi la Marekani linaweza kumudu mashambulizi dhidi ya Iran kwa siku kadhaa tu

  • Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran

  • Netanyahu kuunda 'muungano' utakaoshirikisha Waarabu kukabiliana na mihimili ya Sunni na Shia

  • Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote

  • Mwana wa Rais wa Uganda amuita 'Hitler' kiongozi wa RSF aliyekutana na baba yake hivi karibuni

  • Iran yamuonya Trump asichukue maamuzi yanayotegemea taarifa za uongo

  • Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Iraq yamueleza mjumbe wa Marekani: Uundaji wa serikali ni 'suala letu la ndani'

  • Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

  • Israel imepeleka Ghaza maboksi yenye mafuvu na miili iliyonyofolewa ya wanawake Wapalestina

  • Mohajerani: Iran inafadhilisha diplomasia badala ya vita

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS