Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Quds, Kituo cha Dini za Mwenyezi Mungu-2

    Quds, Kituo cha Dini za Mwenyezi Mungu-2

    Dec 26, 2017 13:16

    Hatua ya Rais Donald Tump wa Marekani ya kuitambua Quds (Baitul Muqaddas au Jerusalem) kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine imeuweka mji huo mtakatifu kwa dini zote za Mwenyezi Mungu hususan Uislamu katika kurasa za mbele za magazeti na safu ya kwanza ya habari za vyombo vya mawasiliano ya umma kote duniani.

  • Palestina: Uamuzi wa Guatemala kuuhamishia ubalozi wake Quds ni 'fedheha'

    Palestina: Uamuzi wa Guatemala kuuhamishia ubalozi wake Quds ni 'fedheha'

    Dec 26, 2017 04:00

    Palestina imekosoa vikali hatua ya Guatemala ya kuuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu kutoka Tel Aviv na kukitaja kitendo hicho kama 'fedheha'.

  • Askofu wa Waarmenia Tehran: Wakristo hawaitambui Israel

    Askofu wa Waarmenia Tehran: Wakristo hawaitambui Israel

    Dec 26, 2017 00:58

    Askofu wa Kanisa la Armenia mjini Tehran amesisitiza kuwa, Wakristo hawatambui serikali inayojiita Israel.

  • Sheikh Nabil Qaouk: Kuiunga mkono Beitul-Muqaddas ni jukumu la Hizbullah

    Sheikh Nabil Qaouk: Kuiunga mkono Beitul-Muqaddas ni jukumu la Hizbullah

    Dec 25, 2017 11:31

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kuiunga mkono Beitul-Muqaddas ni jukumu la harakati hiyo na kwamba, Hizbullah itaendelea kubakia mstari wa mbele katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina.

  • Qassemi: Iran daima inafanya juhudi za kutetea haki za taifa la Palestina

    Qassemi: Iran daima inafanya juhudi za kutetea haki za taifa la Palestina

    Dec 25, 2017 11:13

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inafanya juhudi za kutumia mbinu za kidiplomasia kwa ajili ya kutetea haki za taifa la Palestina.

  • Bunge la Iran lapitisha: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina

    Bunge la Iran lapitisha: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina

    Dec 24, 2017 13:12

    Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran leo wamepitisha mpango wa dharura wa kuunga mkono Mapinduzi ya Kiislamu ya watu wa Palestina na kusisitiza kwamba Baitul Muqaddas utakuwa mji mkuu wa kudumu wa nchi ya Palestina.

  • Maandamano ya kuwapinga Wazayuni yaendelea nchini Tunisia

    Maandamano ya kuwapinga Wazayuni yaendelea nchini Tunisia

    Dec 24, 2017 12:13

    Wananchi wa Tunisia kwa mara nyingine wameshiriki katika maandamano makubwa ya kupinga jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Nchi za Afrika zaendelea kuunga mkono azimio la UN kuhusu Quds

    Nchi za Afrika zaendelea kuunga mkono azimio la UN kuhusu Quds

    Dec 23, 2017 11:55

    Nchi na jumuiya mbalimbali za Kiafrika zimeendelea kuunga mkono azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lililopinga hatua ya Marekani ya kuitambua Quds tukufu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • Ismail Haniya: Quds Tukufu iliyoungana ni mji Mkuu wa Palestina

    Ismail Haniya: Quds Tukufu iliyoungana ni mji Mkuu wa Palestina

    Dec 23, 2017 11:53

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Ismail Haniya amesema, mji wa Quds (Jerusalem) ulioungana ni mji mkuu wa nchi huru ya Palestina, na nchi za Kiislamu na Kiarabu hazitaipuuza Quds.

  • Mshauri Mkuu wa Kiongozi Muadhamu: Marekani si dola kubwa tena duniani

    Mshauri Mkuu wa Kiongozi Muadhamu: Marekani si dola kubwa tena duniani

    Dec 23, 2017 11:50

    Mshauri Mkuu wa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote ya Iran amesema kuwa, kushindwa Marekani katika mpango wake wa kuitambulisha Quds (Jerusalem) kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel kumeonesha kuwa, nchi hiyo si dola kubwa tena duniani.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

    Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

    2 hours ago
  • DRC yaishtaki Rwanda ICJ kwa tuhuma za unyanyasaji

  • Volker Turk aonya kuongezeka vifo vya wahamiaji katika utawala wa Trump

  • Meja Jenerali Rezaei: Kama adui ataanzisha vita vingine, atapata maafa na hasara kubwa

  • Ireland: Wanamichezo waungana kupinga uhusiano wa kimichezo na utawala wa Kizayuni

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    Kwa nini Mwavuli wa Usalama wa Marekani Umeshindwa Kufikia Malengo Yaliyokusudiwa?

    20 hours ago
  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

    1 day ago
  • Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia

    3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

  • Trump amwambia Netanyahu katika malumbano makali ya simu: "Wayahudi wote wamekuchoka"

  • Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Majeshi ya Iran yaonya kuhusu jibu kwa tishio lolote la Israel

  • Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

  • Maandamano kote Lebanon kupinga makubaliano yanayoungwa mkono na Marekani na Israel

  • Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad

  • Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani

  • Madai ya Uongo Kuhusu Kufikiwa Malengo ya Marekani katika Vita Dhidi ya Iran

  • Burkina Faso yavunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa, yaituhumu kwa kuingilia mambo yake ya ndani

  • Kiongozi wa Hizbullah: Israel italazimika kuondoka Lebanon “ikiwa imedhalilika”

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS