Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Kiongozi wa Wakristo wa Palestina: Hatua za karibuni dhidi ya Quds zitaifikia mpaka Makka

    Kiongozi wa Wakristo wa Palestina: Hatua za karibuni dhidi ya Quds zitaifikia mpaka Makka

    Dec 21, 2017 16:18

    Kiongozi wa kiroho wa Wakristo wa Palestina Kasisi Manuel Musallam amesema, hatua iliyochukua Marekani hivi karibuni dhidi ya Quds inalenga kuanzisha vita vya kidini ambavyo vitafika mpaka Makka.

  • Zarif: Trump anadunisha demokrasia kwa kutishia wapinzani wake

    Zarif: Trump anadunisha demokrasia kwa kutishia wapinzani wake

    Dec 21, 2017 03:42

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa vikali msimamo wa Marekani wa kupinga maamuzi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Quds tukufu na kusema kuwa: Washington imebakia katika kiwango cha "ama uwe pamoja na sisi au dhidi yetu."

  • UN yalaani kitendo cha Israel kumpiga risasi na kumuua Mpalestina mlemavu

    UN yalaani kitendo cha Israel kumpiga risasi na kumuua Mpalestina mlemavu

    Dec 20, 2017 08:20

    Kamishna Mkuu wa haki za binadamu kwenye Umoja wa Mataifa amesema amestaajabishwa sana na kitendo cha jeshi la Israel kumuua kwa kumpiga risasi mtu mwenye ulemavu aliyekuwa anaelekea msikitini siku ya Ijumaa.

  • Jihad Islami yasema Intifadha ya Palestina inahitaji msaada wa mataifa ya Kiislamu

    Jihad Islami yasema Intifadha ya Palestina inahitaji msaada wa mataifa ya Kiislamu

    Dec 20, 2017 02:37

    Mwakilishi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina nchini Iran amesema Wapalestina wanahitaji msaada wa mataifa na serikali za Kiarabu na Kiislamu ili kuendeleza harakati ya mwamko au Intifadha dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Quds, Kituo cha Dini za Mwenyezi Mungu -1

    Quds, Kituo cha Dini za Mwenyezi Mungu -1

    Dec 19, 2017 11:25

    Miaka mia moja baada ya kutolewa Azimio la Balfour (Balfour Declaration) la waziri wa wakati huo wa mambo ya nje wa Uingereza akiafiki kuundwa dola la Kiyahudi katika ardhi ya Palestina, Donald Trump, Rais wa sasa wa Marekani ameitangaza Quds tukufu (Jerusalem) na Baitul Muqaddas, Kibla cha Kwanza cha Waislamu wote, kuwa ni mji mkuu wa utawala huo bandia wa Israel.

  • Iran yaalani hatua ya Marekani ya kulipigia kura ya veto azimio kuhusu Quds

    Iran yaalani hatua ya Marekani ya kulipigia kura ya veto azimio kuhusu Quds

    Dec 19, 2017 07:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana usiku alilaani hatua ya Marekani ya kuupigia kura ya veto mswada uliopendekezwa na Misri kuhusu Quds na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kinyume na amani na usalama wa kimataifa kwa lengo la kukandamiza haki za wananchi wa Palestina.

  • Biashara ya Aal Saud na Marekani: Tutaiunga mkono Israel; mtuachie tufanye jinai Yemen

    Biashara ya Aal Saud na Marekani: Tutaiunga mkono Israel; mtuachie tufanye jinai Yemen

    Dec 19, 2017 06:15

    Vitendo na misimamo ya ukoo wa Aal Saud kuhusiana na Quds na Yemen inathibitisha kwamba serikali za Saudia na Marekani zimefikia makubaliano maalumu ambayo matokeo yake ni kuwa, ukoo wa Aal Saud utaishia patupu.

  • Marekani yatumia VETO kupinga azimio la Quds

    Marekani yatumia VETO kupinga azimio la Quds

    Dec 19, 2017 04:26

    Licha ya wanachama 14 wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuupigia kura ya ndio muswada uliopendekezwa na Misri kuhusu mji mtakatifu wa Baytul Muqaddas, lakini Marekani imeukwamisha muswada huo kwa kura yake ya veto.

  • Kamati ya Palestina ya Muungano wa Mambunge ya Kiislamu yalaani hatua ya Trump kuhusu Quds

    Kamati ya Palestina ya Muungano wa Mambunge ya Kiislamu yalaani hatua ya Trump kuhusu Quds

    Dec 19, 2017 02:50

    Kamati ya Palestina ya Muungano wa Mabunge ya Nchi za Kiislamu imesisitiza kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitangaza Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Israel ni ukiukaji wa wazi wa haki za wananchi wa Palestina.

  • Hamas: Kushambuliwa Ghaza; ni njama zilizofeli za kutaka kuzima Intifadha ya Quds

    Hamas: Kushambuliwa Ghaza; ni njama zilizofeli za kutaka kuzima Intifadha ya Quds

    Dec 19, 2017 02:49

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuwa mashambulizi makubwa ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza ni njama zilizofeli za kutaka kuzima mapambano ya Intifadha ya kuiunga mkono Quds katika ardhi zote za Palestina.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Senegal inapendekeza sheria kali zaidi dhidi ya vitendo vya mahusiano ya jinsia moja

    Senegal inapendekeza sheria kali zaidi dhidi ya vitendo vya mahusiano ya jinsia moja

    3 seconds ago
  • Araghchi: Marekani inapaswa kuacha misimamo ya kukinzana

  • Iran yapinga “uongo mkubwa” wa Marekani kuhusu kadhia ya nyuklia

  • Upeo wa ubaguzi; Trump ataka Ilhan, Tlaib wafukuzwe Marekani

  • CPJ: Israel ndiyo iliyoua wanahabari wengine zaidi duniani 2025

Chaguo La Mhariri
  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    8 hours ago
  • Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    8 hours ago
  • Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Intelijinsia ya Israel: Jeshi la Marekani linaweza kumudu mashambulizi dhidi ya Iran kwa siku kadhaa tu

  • Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran

  • Netanyahu kuunda 'muungano' utakaoshirikisha Waarabu kukabiliana na mihimili ya Sunni na Shia

  • Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote

  • Mwana wa Rais wa Uganda amuita 'Hitler' kiongozi wa RSF aliyekutana na baba yake hivi karibuni

  • Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Iran yamuonya Trump asichukue maamuzi yanayotegemea taarifa za uongo

  • Iraq yamueleza mjumbe wa Marekani: Uundaji wa serikali ni 'suala letu la ndani'

  • Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

  • Israel imepeleka Ghaza maboksi yenye mafuvu na miili iliyonyofolewa ya wanawake Wapalestina

  • Mohajerani: Iran inafadhilisha diplomasia badala ya vita

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS