Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Hizbullah ya Lebanon: Marekani ni adui mkuu wa Waarabu na Waislamu

    Hizbullah ya Lebanon: Marekani ni adui mkuu wa Waarabu na Waislamu

    Dec 18, 2017 14:34

    Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, hii leo ulimwengu umefahamu na kudiriki kwamba, dola la Marekani ndio adui mkuu wa Waarabu na Waislamu.

  • Larijani: Israel inafanya njama za kuzusha vurugu za kisiasa katika Mashariki ya Kati

    Larijani: Israel inafanya njama za kuzusha vurugu za kisiasa katika Mashariki ya Kati

    Dec 18, 2017 14:14

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, utawala dhalimu wa Israel unafanya njama za kuleta vurugu za kisiasa katika Mashariki ya Kati na kuongeza kuwa, endapo nchi za Kiislamu zitadumisha umoja na mshikamano zitazuia kufikiwa malengo hayo ya Wazayuni.

  • Utawala wa Kizayuni na utumiaji wa gesi za sumu dhidi ya Wapalestina

    Utawala wa Kizayuni na utumiaji wa gesi za sumu dhidi ya Wapalestina

    Dec 18, 2017 11:30

    Kitendo cha kiuadui cha rais wa Marekani, Donald Trump cha kuitangaza Quds tukufu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kimekiuka sheria na makubaliano yote ya kimataifa na kuandaa uwanja wa kufutwa kikamilifu taifa la Palestina katika uso wa dunia.

  • Saudia yapanga uhaini mwingine, mara hii ni kuiuzia Israel maeneo ya Palestina, Quds Tukufu ikiwemo

    Saudia yapanga uhaini mwingine, mara hii ni kuiuzia Israel maeneo ya Palestina, Quds Tukufu ikiwemo

    Dec 18, 2017 04:43

    Tovuti ya Intaneti ya Arabi 21 imefichua kuwa, mrithi wa ufalme wa Saudia anapanga njama kubwa ambayo mara hii inajumuisha kuiuzia Israel eneo la Palestina la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) uliko Msikiti wa Al Aqsa kwa mabilioni ya dola.

  • Kikao cha dharura cha kamati ya Palestina ya Muungano wa Mabunge ya Kiislamu kufanyika kesho Tehran

    Kikao cha dharura cha kamati ya Palestina ya Muungano wa Mabunge ya Kiislamu kufanyika kesho Tehran

    Dec 17, 2017 14:13

    Kikao cha dharura cha kamati ya Palestina ya Muungano wa Kimataifa wa Mabunge ya nchi za Kiislamu kinatarajiwa kufanyika kesho hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na Maspika wa Mabunge ya nchi tatu za Iran, Mali na Iraq.

  • Huenda Baraza la Usalama la UN likakutana kesho kujadili uamuzi wa Trump dhidi ya Quds

    Huenda Baraza la Usalama la UN likakutana kesho kujadili uamuzi wa Trump dhidi ya Quds

    Dec 16, 2017 08:11

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema, kuna uwezekano kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la umoja huo kikafanyika hapo kesho kujadili rasimu ya azimio linalohusu uamuzi uliochukuwa na Marekani dhidi ya mji wa Baitul Muqaddas.

  • Sisitizo la kudumishwa mapambano ya Intifadha huko Palestina

    Sisitizo la kudumishwa mapambano ya Intifadha huko Palestina

    Dec 15, 2017 17:18

    Maelfu ya wananchi wa Palestina jana Alkhamisi walikusanyika katika Medani ya al Katiba katika eneo la Ukanda wa Gaza wakipiga nara na kaulimbiu ya "Mapambano ni Uamuzi Wetu, na Umoja ni Chaguo Letu" na kuadhimisha mwaka wa 30 tangu kuasisiwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).

  • Wapalestina waandamana katika

    Wapalestina waandamana katika "Ijumaa ya Ghadhabu" dhidi ya Trump

    Dec 15, 2017 17:02

    Raia wa Palestina leo Ijumaa wamefanya maandamano katika ardhi zote zinazokaliwa kwa mabavu chini ya anwani "Ijumaa ya Hasira" ili kulalamikia na kupinga hatua ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuutangaza mji mtakatifu wa Quds kuwa mji mkuu wa Israel.

  • Tunisia yabadilisha jina la vituo vya TAXI na kuita Quds

    Tunisia yabadilisha jina la vituo vya TAXI na kuita Quds

    Dec 15, 2017 04:18

    Chama cha wamiliki wa TAXI nchini Tunisia kimebadilisha jina la vituo vyake na kuviita Quds kama njia ya kulalamikia uamuzi wa Marekani wa kuitambua rasmi Quds kuwa eti ni mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'

    Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'

    Dec 14, 2017 16:01

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, hakuna dola linaloitwa Israel hata mji mkuu wake uwe Quds tukufu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Senegal inapendekeza sheria kali zaidi dhidi ya vitendo vya mahusiano ya jinsia moja

    Senegal inapendekeza sheria kali zaidi dhidi ya vitendo vya mahusiano ya jinsia moja

    5 hours ago
  • Araghchi: Marekani inapaswa kuacha misimamo ya kukinzana

  • Iran yapinga “uongo mkubwa” wa Marekani kuhusu kadhia ya nyuklia

  • Upeo wa ubaguzi; Trump ataka Ilhan, Tlaib wafukuzwe Marekani

  • CPJ: Israel ndiyo iliyoua wanahabari wengine zaidi duniani 2025

Chaguo La Mhariri
  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    12 hours ago
  • Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    13 hours ago
  • Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Intelijinsia ya Israel: Jeshi la Marekani linaweza kumudu mashambulizi dhidi ya Iran kwa siku kadhaa tu

  • Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran

  • Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote

  • Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

  • Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu

  • Iran yamuonya Trump asichukue maamuzi yanayotegemea taarifa za uongo

  • Upeo wa ubaguzi; Trump ataka Ilhan, Tlaib wafukuzwe Marekani

  • Araghchi: Marekani inapaswa kuacha misimamo ya kukinzana

  • Mohajerani: Iran inafadhilisha diplomasia badala ya vita

  • Msemaji wa M23 auawa katika shambulio la droni mashariki mwa DRC

  • Iran yapinga “uongo mkubwa” wa Marekani kuhusu kadhia ya nyuklia

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS