Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mwakilishi wa Mayahudi katika bunge la Iran: Hatua ya Trump ya kuitambua Quds mji mkuu wa Israel ni ubaguzi wa kimbari

    Mwakilishi wa Mayahudi katika bunge la Iran: Hatua ya Trump ya kuitambua Quds mji mkuu wa Israel ni ubaguzi wa kimbari

    Dec 14, 2017 15:59

    Mwakilishi wa jamii ya wachache ya Mayahudi katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya rais wa Marekani ya kuitangaza Baitul Muqaddas mji mkuu wa utawala wa Kizayuni ni ubaguzi wa kimbari.

  • Erdogan: Israel ni dola vamizi na la kigaidi

    Erdogan: Israel ni dola vamizi na la kigaidi

    Dec 13, 2017 16:13

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa, kuwa na nguvu na kumiliki silaha si dalili kuwa Marekani ina nguvu, na maamuzi yake yatasababisha matatizo makubwa katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Jumuiya ya NAM yakosoa hatua ya Marekani dhidi ya Quds

    Jumuiya ya NAM yakosoa hatua ya Marekani dhidi ya Quds

    Dec 13, 2017 15:25

    Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) imekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Bunge la Iran: Quds ni kibla cha kwanza cha Waislamu na ni ya Umma wote wa Kiislamu

    Bunge la Iran: Quds ni kibla cha kwanza cha Waislamu na ni ya Umma wote wa Kiislamu

    Dec 12, 2017 16:26

    Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, wamesema uamuzi wa Rais wa Marekani kutambua Quds Tukufu (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala bandia wa Israel ni dalili ya wazi kabisa ya kutokuwa na utambulisho utawala huo wa Kizayuni.

  • Jenerali Qassem Soleimani: Iran iko tayari kuvisaidia vikosi vya Muqawama vya Palestina kwa kila hali

    Jenerali Qassem Soleimani: Iran iko tayari kuvisaidia vikosi vya Muqawama vya Palestina kwa kila hali

    Dec 12, 2017 16:18

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kutoa msukumo na kuvisaidia kwa kila hali vikosi vya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina.

  • Rais Rouhani kushiriki mkutano wa dharura wa OIC, Quds ndiyo ajenda kuu

    Rais Rouhani kushiriki mkutano wa dharura wa OIC, Quds ndiyo ajenda kuu

    Dec 12, 2017 08:19

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo anaelekea Uturuki kwa shabaha ya kushiriki katika kikao cha dharura cha viongozi wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) nchini Uturuki.

  • Trump, White House watengwa kutokana na uamuzi dhidi ya Quds

    Trump, White House watengwa kutokana na uamuzi dhidi ya Quds

    Dec 12, 2017 08:17

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kitendo cha Donald Trump cha kuitangaza Quds ambayo ina Kibla cha Kwanza cha Waislamu kuwa eti ni mji mkuu wa Israel imeifanya Ikulu ya White House na rais huyo wa Marekani watengwe kimataifa.

  • Rouhani: Mataifa ya Kiislamu yatazima njama ya Marekani na Israel

    Rouhani: Mataifa ya Kiislamu yatazima njama ya Marekani na Israel

    Dec 12, 2017 03:00

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja, muqawama na mapambano ya Wapalestina na nchi nyingine za Kiislamu bila shaka yatapelekea kusambaratika kwa njama ya Marekani na utawala wa Kizayuni ya kuitambua Quds tukufu kuwa 'mji mkuu' wa utawala haramu wa Israel.

  • Larijani: Hatua ya Trump dhidi ya Quds ni kujaribu kuficha kushindwa Marekani katika eneo hili

    Larijani: Hatua ya Trump dhidi ya Quds ni kujaribu kuficha kushindwa Marekani katika eneo hili

    Dec 12, 2017 02:37

    Mkuu wa Chombo cha Mahakama cha Iran amesema kuwa, kitendo cha rais wa Marekani, Donald Trump cha kuitangaza Quds ambayo ina Kibla cha Kwanza cha Waislamu kuwa eti ni mji mkuu wa Israel, ni kujaribu kuficha kufeli siasa za Marekani katika eneo hili.

  • Iran: Dunia imeungana kumlaani Donald Trump

    Iran: Dunia imeungana kumlaani Donald Trump

    Dec 11, 2017 14:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusiana na masuala mengi tofauti ikiwemo ziara ya waziri wa mambo ya nje wa Uingereza hapa mjini Tehran, suala la Quds, Yemen na masuala mengine mbalimbali.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Katika mwaka 2025, wahamiaji wapatao elfu nane wamefariki au kutoweka duniani kote

    Katika mwaka 2025, wahamiaji wapatao elfu nane wamefariki au kutoweka duniani kote

    12 hours ago
  • Pakistan yatangaza 'vita vya wazi' dhidi ya Afghanistan, yashambulia Kabul na miji mingine

  • UN: Wakimbizi wa Burundi walioko Tanzania wanarudi makwao kwa hiari, hawashurutishwi

  • Araghchi: Iran na US zinapiga hatua 'karibu zaidi kufikia mwafaka' katika baadhi ya masuala

  • El-Baradei, mkuu wa zamani wa IAEA aionya Marekani kuhusu gharama “za kutisha” za vita dhidi ya Iran

Chaguo La Mhariri
  • Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    14 hours ago
  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    2 days ago
  • Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Pakistan yatangaza 'vita vya wazi' dhidi ya Afghanistan, yashambulia Kabul na miji mingine

  • El-Baradei, mkuu wa zamani wa IAEA aionya Marekani kuhusu gharama “za kutisha” za vita dhidi ya Iran

  • Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

  • Araghchi: Iran na US zinapiga hatua 'karibu zaidi kufikia mwafaka' katika baadhi ya masuala

  • Iran yamuonya Trump asichukue maamuzi yanayotegemea taarifa za uongo

  • Araghchi: Marekani inapaswa kuacha misimamo ya kukinzana

  • Upeo wa ubaguzi; Trump ataka Ilhan, Tlaib wafukuzwe Marekani

  • Iran yapinga “uongo mkubwa” wa Marekani kuhusu kadhia ya nyuklia

  • Kim atishia kuifuta kabisa Korea Kusini na kuweka masharti ya makubaliano na Washington

  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

  • Wademokrati wanaishutumu Wizara ya Sheria ya Marekani kwa kumwondoa Trump kwenye Mafaili ya Epstein

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS