Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Iran: Dunia imeungana kumlaani Donald Trump

    Iran: Dunia imeungana kumlaani Donald Trump

    Dec 11, 2017 14:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusiana na masuala mengi tofauti ikiwemo ziara ya waziri wa mambo ya nje wa Uingereza hapa mjini Tehran, suala la Quds, Yemen na masuala mengine mbalimbali.

  • Mogherini: Umoja wa Ulaya hautoitambua Quds kuwa ni mji mkuu wa Israel

    Mogherini: Umoja wa Ulaya hautoitambua Quds kuwa ni mji mkuu wa Israel

    Dec 11, 2017 14:43

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amepinga wito wa Tel Aviv wa kuutaka umoja huo kufuata mkono wa Marekani na kuutambua mji wa Quds (Jerusalem) kuwa mji mkuu wa Israel.

  • Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Dec 11, 2017 14:32

    Wananchi wa Mauritania wameungana na Waislamu na wapenda haki katika kona zote za dunia kuendeleza maandamano ya kumlaani rais wa Marekani, Donald Trump kwa hatua yake ya kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Watawala vibaraka wa Kiarabu wabanwa; wananchi wataka viongozi wapya

    Watawala vibaraka wa Kiarabu wabanwa; wananchi wataka viongozi wapya

    Dec 11, 2017 13:09

    Malalamiko na maandamano ya wananchi wa nchi za Kiarabu si tu kwamba yamewalenga Rais Donald Trump wa Marekani na Benjamin Netanyahi, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel pekee bali pia watawala vibaraka wa Kiarabu wanafanya eti mapatano ya amani na Wazayuni kwa madhara ya ulimwengu wa Kiarabu na Kiislamu.

  • Hossein Amir-Abdollahian: Iran inakitetea kibla cha kwanza cha Waislamu

    Hossein Amir-Abdollahian: Iran inakitetea kibla cha kwanza cha Waislamu

    Dec 11, 2017 08:14

    Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran daima imekuwa mtetezi wa haki za wananchi madhulumu wa Palestina na kibla cha kwanza cha Waislamu na itaendelea kufanya hivyo.

  • Kikao cha dharura cha nchi za Kiarabu kuhusu Quds Tukufu na maamuzi yaisyoweza kutekelezeka

    Kikao cha dharura cha nchi za Kiarabu kuhusu Quds Tukufu na maamuzi yaisyoweza kutekelezeka

    Dec 11, 2017 07:58

    Mawaziri wa mashauri ya kigeni kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Jumamosi walikutana katika kikao cha dharura mjini Cairo Misri kujadili na kulaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kutambua Quds Tukufu (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Rais wa Iran: Uamuzi usio sahihi wa Trump ni sawa na kumwagia petroli kwenye moto

    Rais wa Iran: Uamuzi usio sahihi wa Trump ni sawa na kumwagia petroli kwenye moto

    Dec 10, 2017 16:35

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uamuzi wa hivi karibuni wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuitangaza Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa Israel na kutoa amri ya kuhamishiwa ubalozi wa Washington katika mji huo ulikuwa sawa na kumwagia mafuta ya petroli katika moto katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Al Azhar yataka kufanyika mkutano wa kimataifa kujadili suala la Quds

    Al Azhar yataka kufanyika mkutano wa kimataifa kujadili suala la Quds

    Dec 10, 2017 14:27

    Sheikh Mkuu wa al Azhar ya Misri ametahadharisha kuhusu taathira za uamuzi wa Trump wa kuutambua rasmi mji mtakatifu wa Quds kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni na kutaka kufanyika mkutano wa kimataifa wa kujadili suala hilo.

  • Somalia yasema hatua ya Trump dhidi ya Quds ni 'hatari'

    Somalia yasema hatua ya Trump dhidi ya Quds ni 'hatari'

    Dec 10, 2017 03:40

    Somalia imejiunga na nchi nyingine za Afrika kulaani hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump ya kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jenerali Jaafari: Quds Tukufu Itakuwa kaburi la utawala bandia wa Kizayuni

    Jenerali Jaafari: Quds Tukufu Itakuwa kaburi la utawala bandia wa Kizayuni

    Dec 10, 2017 02:56

    Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, lengo kuu la Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuubomoa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds. Ameongeza kuwa: Mji wa Quds utakuwa kaburi la utawala bandia wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Katibu Mkuu wa UN: 'Uhamiaji si mgogoro', ahimiza ushirikiano wa kimataifa

    Katibu Mkuu wa UN: 'Uhamiaji si mgogoro', ahimiza ushirikiano wa kimataifa

    15 hours ago
  • Amnesty International: Upanuzi wa Israel wa vitongoji vya walowezi katika Ukingo wa Magharibi ni changamoto dhahiri kwa sheria za kimataifa

  • Guinea imewaachia huru wanajeshi 16 wa Sierra Leone waliokamatwa mapema wiki hii

  • Polisi Kenya kukabiliana na ongezeko la ukosefu wa amani mijini kipindi cha Uchaguzi Mkuu

  • Iran yahimiza kusitishwa mapigano mara moja kati ya Afghanistan na Pakistan

Chaguo La Mhariri
  • Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    16 hours ago
  • Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo

    2 days ago
  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Pakistan yatangaza 'vita vya wazi' dhidi ya Afghanistan, yashambulia Kabul na miji mingine

  • El-Baradei, mkuu wa zamani wa IAEA aionya Marekani kuhusu gharama “za kutisha” za vita dhidi ya Iran

  • Araghchi: Iran na US zinapiga hatua 'karibu zaidi kufikia mwafaka' katika baadhi ya masuala

  • Kim atishia kuifuta kabisa Korea Kusini na kuweka masharti ya makubaliano na Washington

  • Iran yahimiza kusitishwa mapigano mara moja kati ya Afghanistan na Pakistan

  • Wademokrati wanaishutumu Wizara ya Sheria ya Marekani kwa kumwondoa Trump kwenye Mafaili ya Epstein

  • OIC yaonya dhidi ya vitisho vya kuishambulia kijeshi Iran

  • UN: Wakimbizi wa Burundi walioko Tanzania wanarudi makwao kwa hiari, hawashurutishwi

  • Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

  • Iran: Kutochukua hatua Baraza la Usalama dhidi ya jinai za Israel ni 'janga'

  • Iran: Mafanikio ya mazungumzo ya nyuklia yanategemea kuwa jadi Marekani

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS