Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Kwa mara nyingine walowezi wa Kizayuni wenye chuki na Uislamu wavamia msikiti wa al-Aqswa

    Kwa mara nyingine walowezi wa Kizayuni wenye chuki na Uislamu wavamia msikiti wa al-Aqswa

    Aug 10, 2023 13:28

    Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.

  • Walowezi wa Kizayuni wenye kufurutu ada wavamia tena msikiti mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wenye kufurutu ada wavamia tena msikiti mtakatifu wa al-Aqswa

    Aug 10, 2023 02:22

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu mpaka kwa mara nyingine tena wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu lenye historia kongwe.

  • Wazayuni wauvunjia heshima tena Msikiti wa al-Aqsa

    Wazayuni wauvunjia heshima tena Msikiti wa al-Aqsa

    Aug 02, 2023 10:40

    Katika hatua ambayo imekuwa ni ya kawaida katika miezi ya hivi karibuni, Wazayuni kwa mara nyingine tena wameingia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa kwa uungaji mkono wa jeshi la utawala ghasibu wa Isreal.

  • Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Jul 17, 2023 04:32

    Wazayuni maghasibu wenye misimamo ya kufurutu ada Kwa mara nyingine tena wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.

  • Katibu Mkuu wa mkutano wa kuiunga mkono Intifadha ya Palestina; Njia pekee ya taifa la Palestina ni kuendeleza muqawama

    Katibu Mkuu wa mkutano wa kuiunga mkono Intifadha ya Palestina; Njia pekee ya taifa la Palestina ni kuendeleza muqawama

    Jul 13, 2023 07:52

    Katibu Mkuu wa Mkutano wa kuiunga mkono Intifadha ya Palestina amesema kuwa njia pekee liliyonayo taifa la Palestina ni kuendeleza mapambano hadi ushindi wa mwisho.

  • Wazayuni waushambulia tena Msikiti wa al-Aqsa

    Wazayuni waushambulia tena Msikiti wa al-Aqsa

    Jun 15, 2023 11:31

    Askari wa utawala haramu wa Israel na walowezi wa Kizayuni wameshambulia tena Msikiti Mtukufu wa al-Aqsa.

  • Jumbe za Kiislamu za Quds: Msikiti wa al Aqsa ni mstari wetu mwekundu

    Jumbe za Kiislamu za Quds: Msikiti wa al Aqsa ni mstari wetu mwekundu

    Jun 13, 2023 04:40

    Ujumbe wa ngazi ya juu wa Kiislamu na jopo la maulamaa wa Baitul Muqaddas wametahadharisha kuhusu njama za utawala wa Kizayuni za kutaka kubadili mazingira ya msikiti wa al Aqsa na kusisitiza kuwa eneo hilo takatifu ni mstari wao mwekundu.

  • Chama cha Jordan: Njama mpya za Israel dhidi ya msikiti wa al-Aqswa ni kutangaza vipya

    Chama cha Jordan: Njama mpya za Israel dhidi ya msikiti wa al-Aqswa ni kutangaza vipya

    Jun 11, 2023 07:57

    Chama cha Islamic Action Front cha Jordan kimetangaza kuwa, njama mpya za utawala wa muda wa Israel dhidi ya msikiti wa al-Aqswa na hujuma zake dhidi ya eneo hilo takatifu ni kutangaza vita.

  • Lobi mpya kuundwa katika bunge la Wazayuni kwa lengo la kuuhodhi msikiti wa Al-Aqsa

    Lobi mpya kuundwa katika bunge la Wazayuni kwa lengo la kuuhodhi msikiti wa Al-Aqsa

    May 30, 2023 02:30

    Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel vimeripoti habari ya kuundwa "lobi mpya" ya Wazayuni katika Knesset (Bunge) la utawala huo ili kuudhibiti Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Baada ya miaka 56 askari wa Kizayuni azirejesha funguo alizoiba za Msikiti wa Al Aqsa

    Baada ya miaka 56 askari wa Kizayuni azirejesha funguo alizoiba za Msikiti wa Al Aqsa

    May 21, 2023 02:15

    Mwanajeshi wa zamani wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amezirejesha funguo za Babul-Magharibah, moja ya milango ya ukuta wa magharibi wa Msikiti wa Al-Aqsa, tangu alipoziiba miaka 56 iliyopita katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na akaeleza: "hivi ndivyo Israel inapaswa kuwafanyia Wapalestina".

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Droni ya upelelezi ya Iran yakamilisha kazi yake kwa mafanikio katika maji ya kimataifa

    Droni ya upelelezi ya Iran yakamilisha kazi yake kwa mafanikio katika maji ya kimataifa

    2 hours ago
  • Ripoti ya kila mwaka ya Human Rights Watch: Idadi ya mashahidi waliouawa Gaza inazidi makadirio rasmi

  • Ghannouchi akataa kukata rufaa ya kifungo cha miaka 20 jela kutokana na "ukosefu wa dhamana ya haki"

  • Duru za Kimataifa: Israel inatumia mrengo wa kulia wa Ulaya kupiga vita Uislamu

  • Abiy Ahmed: Ethiopia kuzindua chuo kikuu cha pili duniani cha AI mwaka 2027

Chaguo La Mhariri
  • Ni kwa sababu gani utawala wa kizayuni unakwamisha utekelezaji wa awamu ya pili ya usitishaji vita Ghaza?

    Ni kwa sababu gani utawala wa kizayuni unakwamisha utekelezaji wa awamu ya pili ya usitishaji vita Ghaza?

    7 hours ago
  • Kwa nini Marekani inafuatilia sera ya

    Kwa nini Marekani inafuatilia sera ya "mazungumzo na vitisho kwa wakati mmoja" dhidi ya Iran?

    22 hours ago
  • Jinai za kigaidi za majeshi ya Ulaya; Hadithi 5 zilizochaguliwa kutoka mabara 5

    Jinai za kigaidi za majeshi ya Ulaya; Hadithi 5 zilizochaguliwa kutoka mabara 5

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • 'Hakuna Mmarekani atakayesalimika’: Mkuu wa Majeshi ya Iran asema vikosi vya jeshi viko tayari kulipiza kisasi

  • Rais Pezeshkian aweka masharti ya mazungumzo na Marekani, 'hakuna vitisho, hakuna mashinikizo'

  • Makomando 4 walizima kamera na kumpiga risasi... Maelezo mapya yaibuka kuhusu mauaji ya Saif al-Islam Gaddafi

  • Iran kuzindua satelaiti mpya na kituo cha anga za mbali

  • Wakenya waendelea kujiunga na vita Ukraine licha ya maafa yanayowapata

  • Russia yakosoa vitisho vya Marekani dhidi ya Iran yasema 'havikubaliki'

  • Ripoti: Rais Pezeshkian aagiza kuanza upya mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani

  • Pompeo aanika nafasi ya US katika ghasia za karibuni nchini Iran

  • Ufaransa yashutumiwa kupanga kuangusha serikali pinzani barani Afrika

  • Kwa nini Marekani inafuatilia sera ya "mazungumzo na vitisho kwa wakati mmoja" dhidi ya Iran?

  • Iran yatahadharisha: Uvamizi wowote utakuwa na madhara makubwa kwa eneo zima la Asia Magharibi

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS