Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • OIC na nchi  Kiislamu zalaani hujuma ya Wazayuni dhidi ya al Aqsa

    OIC na nchi Kiislamu zalaani hujuma ya Wazayuni dhidi ya al Aqsa

    May 19, 2023 10:28

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na nchi za Kiislamu zimelaani hujuma iliyofanywa na Wazayuni wakiongozwa na mawaziri na wabunge kadhaa wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika kile kilichopewa jina la "siku ya bendera".

  • Mawaziri wa utawala wa Kizayuni watoa wito wa kushambuliwa Msikiti wa Al-Aqsa

    Mawaziri wa utawala wa Kizayuni watoa wito wa kushambuliwa Msikiti wa Al-Aqsa

    May 18, 2023 01:08

    Vyanzo vya habari vimeripoti kuwa baadhi ya mawaziri na wajumbe wa bunge la utawala haramu wa Israel, Knesset, wametoa wito wa kushambuliwa Msikiti wa Al-Aqsa katika siku ya maandamano ya bendera.

  • Wanajeshi wa Israel washambulia Hospitali Bait Laham na Msikiti wa Al-Aqsa

    Wanajeshi wa Israel washambulia Hospitali Bait Laham na Msikiti wa Al-Aqsa

    May 01, 2023 07:23

    Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wameshambulia hospitali moja mjini Bait Laham mapema leo Jumatatu na kurusha mabomu ya kutoa machozi ndani ya hospitali hiyo.

  • OIC yaalani vikali hujuma za Wazayuni katika Msikiti wa al Aqsa

    OIC yaalani vikali hujuma za Wazayuni katika Msikiti wa al Aqsa

    Apr 24, 2023 12:28

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vikali mashambulizi ya Wazayuni katika eneo la Babul Rahma katika Msikiti Mtakatifu wa al Aqsa.

  • Nasser Kanaani Chafi: Ukombozi wa Quds tukufu umekaribia

    Nasser Kanaani Chafi: Ukombozi wa Quds tukufu umekaribia

    Apr 23, 2023 01:31

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ukombozi wa mji mtakatifu wa Quds umekaribia na kwamba, muda si mrefu eneo hilo takatifu litakombolewa na kuondoka katika udhibiti wa utawala ghasibu wa Israel.

  • Hamas: Siku ya Quds inaukumbusha Umma majukumu yake ya kukomboa Msikiti wa al Aqsa

    Hamas: Siku ya Quds inaukumbusha Umma majukumu yake ya kukomboa Msikiti wa al Aqsa

    Apr 14, 2023 11:44

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds na kutaka kuweko harakati ya kimataifa ili kuunga mkono muqawama na mapambano ya wananchi wa Palestina na kuhitimisha uvamizi na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.

  • Qatar: Kuwaunga mkono Wapalestina ni kipaumbele katika sera zetu za nje

    Qatar: Kuwaunga mkono Wapalestina ni kipaumbele katika sera zetu za nje

    Apr 14, 2023 06:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema, kuwaunga mkono wananchi wa Palestina ni kipaumbele cha kwanza cha sera za nje za nchi hiyo.

  • Damascus: Shambulio dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa linaonyesha sura ya apartheid ya utawala wa Israel

    Damascus: Shambulio dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa linaonyesha sura ya apartheid ya utawala wa Israel

    Apr 13, 2023 08:09

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetangaza kuwa mashambulizi ya mara kwa mara ya walowezi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni matokeo ya ubaguzi wa rangi na tabia ya kigaidi ya utawala huo.

  • Netanyahu aamuru Mayahudi wasiingie Msikiti wa Al-Aqsa mpaka mwisho wa Ramadhani

    Netanyahu aamuru Mayahudi wasiingie Msikiti wa Al-Aqsa mpaka mwisho wa Ramadhani

    Apr 12, 2023 12:48

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa kwa ushauri wa maafisa usalama wa Israel, Mayahudi wasiende katika Msikiti wa Al-Aqsa hadi mwisho wa mwezi wa Ramadhani.

  • Spika wa Bunge la Iran: Uchokozi wa utawala wa Israel unathibitisha utambulisho wake wa kifashisti na kibaguzi

    Spika wa Bunge la Iran: Uchokozi wa utawala wa Israel unathibitisha utambulisho wake wa kifashisti na kibaguzi

    Apr 11, 2023 03:03

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu, Bunge la Iran, amesema vitendo vya kichokozi vilivyofanywa hivi karibuni na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu vinadhihirisha tabia ya utawala huo wa kifashisti na ubaguzi wa rangi.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Wafuasi wa Imam Mahdi wakusanyika Jamkaran kuonesha imani na tumaini siku ya Nisf Sha’ban

    Wafuasi wa Imam Mahdi wakusanyika Jamkaran kuonesha imani na tumaini siku ya Nisf Sha’ban

    9 hours ago
  • Jalali: Madai ya Trump kwamba anawaunga mkono Wairani hayana msingi

  • Seneta wa Nigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, nembo ya uhuru duniani

  • Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina, yaua 20 Gaza

  • ANC yamkosoa Mfalme wa Afrika Kusini kwa kuwaalika maafisa wa Israel

Chaguo La Mhariri
  • Ni kwa sababu gani utawala wa kizayuni unakwamisha utekelezaji wa awamu ya pili ya usitishaji vita Ghaza?

    Ni kwa sababu gani utawala wa kizayuni unakwamisha utekelezaji wa awamu ya pili ya usitishaji vita Ghaza?

    21 hours ago
  • Kwa nini Marekani inafuatilia sera ya

    Kwa nini Marekani inafuatilia sera ya "mazungumzo na vitisho kwa wakati mmoja" dhidi ya Iran?

    2 days ago
  • Jinai za kigaidi za majeshi ya Ulaya; Hadithi 5 zilizochaguliwa kutoka mabara 5

    Jinai za kigaidi za majeshi ya Ulaya; Hadithi 5 zilizochaguliwa kutoka mabara 5

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Makomando 4 walizima kamera na kumpiga risasi... Maelezo mapya yaibuka kuhusu mauaji ya Saif al-Islam Gaddafi

  • 'Hakuna Mmarekani atakayesalimika’: Mkuu wa Majeshi ya Iran asema vikosi vya jeshi viko tayari kulipiza kisasi

  • Droni ya upelelezi ya Iran yakamilisha kazi yake kwa mafanikio katika maji ya kimataifa

  • Rais Pezeshkian aweka masharti ya mazungumzo na Marekani, 'hakuna vitisho, hakuna mashinikizo'

  • Wakenya waendelea kujiunga na vita Ukraine licha ya maafa yanayowapata

  • Russia yakosoa vitisho vya Marekani dhidi ya Iran yasema 'havikubaliki'

  • Pompeo aanika nafasi ya US katika ghasia za karibuni nchini Iran

  • Kwa nini Marekani inafuatilia sera ya "mazungumzo na vitisho kwa wakati mmoja" dhidi ya Iran?

  • Ufaransa yashutumiwa kupanga kuangusha serikali pinzani barani Afrika

  • ANC yamkosoa Mfalme wa Afrika Kusini kwa kuwaalika maafisa wa Israel

  • Jalali: Madai ya Trump kwamba anawaunga mkono Wairani hayana msingi

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS