Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Hamas: Siku ya Quds inaukumbusha Umma majukumu yake ya kukomboa Msikiti wa al Aqsa

    Hamas: Siku ya Quds inaukumbusha Umma majukumu yake ya kukomboa Msikiti wa al Aqsa

    Apr 14, 2023 11:44

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds na kutaka kuweko harakati ya kimataifa ili kuunga mkono muqawama na mapambano ya wananchi wa Palestina na kuhitimisha uvamizi na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.

  • Qatar: Kuwaunga mkono Wapalestina ni kipaumbele katika sera zetu za nje

    Qatar: Kuwaunga mkono Wapalestina ni kipaumbele katika sera zetu za nje

    Apr 14, 2023 06:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema, kuwaunga mkono wananchi wa Palestina ni kipaumbele cha kwanza cha sera za nje za nchi hiyo.

  • Damascus: Shambulio dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa linaonyesha sura ya apartheid ya utawala wa Israel

    Damascus: Shambulio dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa linaonyesha sura ya apartheid ya utawala wa Israel

    Apr 13, 2023 08:09

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetangaza kuwa mashambulizi ya mara kwa mara ya walowezi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni matokeo ya ubaguzi wa rangi na tabia ya kigaidi ya utawala huo.

  • Netanyahu aamuru Mayahudi wasiingie Msikiti wa Al-Aqsa mpaka mwisho wa Ramadhani

    Netanyahu aamuru Mayahudi wasiingie Msikiti wa Al-Aqsa mpaka mwisho wa Ramadhani

    Apr 12, 2023 12:48

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa kwa ushauri wa maafisa usalama wa Israel, Mayahudi wasiende katika Msikiti wa Al-Aqsa hadi mwisho wa mwezi wa Ramadhani.

  • Spika wa Bunge la Iran: Uchokozi wa utawala wa Israel unathibitisha utambulisho wake wa kifashisti na kibaguzi

    Spika wa Bunge la Iran: Uchokozi wa utawala wa Israel unathibitisha utambulisho wake wa kifashisti na kibaguzi

    Apr 11, 2023 03:03

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu, Bunge la Iran, amesema vitendo vya kichokozi vilivyofanywa hivi karibuni na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu vinadhihirisha tabia ya utawala huo wa kifashisti na ubaguzi wa rangi.

  • Al-Azhar yawataka Waislamu kuulinda Msikiti wa Al-Aqsa

    Al-Azhar yawataka Waislamu kuulinda Msikiti wa Al-Aqsa

    Apr 09, 2023 11:28

    Taasisi ya Al-Azhar ya Misri imetoa wito kwa Waislamu wote kuulinda na kuutetea Msikiti wa Al-Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Qatar: Israel inabeba dhima ya kuenea vitendo vya utumiaji mabavu katika msikiti wa al-Aqswa

    Qatar: Israel inabeba dhima ya kuenea vitendo vya utumiaji mabavu katika msikiti wa al-Aqswa

    Apr 08, 2023 07:58

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar imetangaza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unabeba dhima ya kuenea vitendo vya utumiaji mabavu katika msikiti wa al-Aqswa kutokana na hatua za kichochezi za utawala huo vamizi

  • Mufti wa Oman asisitiza udharura wa kuungwa mkono Wapalestina ili kuzuia hujuma za Wazayuni

    Mufti wa Oman asisitiza udharura wa kuungwa mkono Wapalestina ili kuzuia hujuma za Wazayuni

    Apr 07, 2023 02:21

    Mufti wa Oman ametoa amepinga vikali hujuma zinazoendelea kufanywa na Wazayuni dhidi ya raia wa Palestina katika Msikiti Mtukufu wa al Aqsa na ametaoa wito wa kuungwa mkono Palestina.

  • Palestina: Hatutakubali msikiti wa Al-Aqsa ugawanywe kimatumizi kwa wakati na eneo

    Palestina: Hatutakubali msikiti wa Al-Aqsa ugawanywe kimatumizi kwa wakati na eneo

    Apr 06, 2023 07:25

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema: Hatutakubali msikiti wa Al-Aqsa ugawanywe kimatumizi kwa sura ya muda maalumu wa utumiaji na sehemu maalumu ya kutumia jambo ambalo wavamizi na walowezi wa Kizayuni wanapigania kulilazimisha liwe.

  • HAMAS: Damu za mashahidi zitalinda utambulisho wa msikiti wa al-Aqswa

    HAMAS: Damu za mashahidi zitalinda utambulisho wa msikiti wa al-Aqswa

    Apr 01, 2023 09:22

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, damu mashahidi wa Palestina italinda utambulisho wa Kipalestina, Kiarabu na Kiislamu wa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Tehran yalitaka Baraza la Usalama la UN kulaani njama za mauaji za Marekani na Israel dhidi ya maafisa wakuu wa Iran

    Tehran yalitaka Baraza la Usalama la UN kulaani njama za mauaji za Marekani na Israel dhidi ya maafisa wakuu wa Iran

    13 hours ago
  • Al Houthi: Mashambulizi ya adui Marekani na Mzayuni dhidi ya Iran hayawezi kuhalalishwa kwa namna yoyote

  • Ahadi ya Kweli - 4, Wimbi la 83: Iran yapiga ngome za Marekani, Israel kwa makombora ya kisasa, ndege zisizo na rubani

  • Vipigo vya makombora ya Hizbullah vyalivuruga baraza la mawaziri la Israel

  • Jarida la Marekani: Iran inapata ushindi katika vita vya Marekani na Israel

Chaguo La Mhariri
  • Kujiuzulu kwa Joe Kent kunasema mengi

    Kujiuzulu kwa Joe Kent kunasema mengi

    8 hours ago
  •  Duru za uchumi: Mgogoro wa vita vya Iran umelishtua bara Ulaya

    Duru za uchumi: Mgogoro wa vita vya Iran umelishtua bara Ulaya

    2 days ago
  • Watumiaji wa mitandao ya Kijamii wanasemaje kuhusu vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran?

    Watumiaji wa mitandao ya Kijamii wanasemaje kuhusu vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran?

    3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran yakataa pendekezo la Marekani, yaweka masharti matano ya kukomesha vita

  • IRGC yapiga ndege nyingine ya kivita ya Marekani aina ya F-18

  • Ahadi ya Kweli - 4, Wimbi la 83: Iran yapiga ngome za Marekani, Israel kwa makombora ya kisasa, ndege zisizo na rubani

  • Vyanzo vya habari: Trump anahofia ongezeko la vifo vya wanajeshi wa US katika vita na Iran

  • Vipigo vya makombora ya Hizbullah vyalivuruga baraza la mawaziri la Israel

  • Guardian: Iron Dome imeshindwa kukabiliana na makombora ya Iran

  • Jarida la Marekani: Iran inapata ushindi katika vita vya Marekani na Israel

  • Msemaji wa Jeshi la Iran: Takribani wanajeshi 800 wa Marekani na Waisraeli 1,300 wameuawa vitani

  • Ripoti: Harakati ya Ansarullah ya Yemen iko tayari Kudhibiti Lango Bahari la Bab al‑Mandab

  • Al Houthi: Mashambulizi ya adui Marekani na Mzayuni dhidi ya Iran hayawezi kuhalalishwa kwa namna yoyote

  • Iran yatoa onyo kali kwa nchi jirani inayoshirikiana na Marekani

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS