Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mfalme wa Jordan aonya: Intifadha mpya ya Wapalestina inanukia

    Mfalme wa Jordan aonya: Intifadha mpya ya Wapalestina inanukia

    Dec 30, 2022 02:35

    Mfalme wa Jordan ameonya kuhusiana na hatua za utawala haramu za Israel za kushadidisha mivutano na jinai dhidi ya Wapalestina na kueleza kuwa, jinai hizo huenda zikapelekea kuibuka Intifadha mpya ya Wapalestina.

  • HAMAS: Jamii ya Kimataifa iachane na sera ya kuuma na kupuliza kuhusu jinai za Israel

    HAMAS: Jamii ya Kimataifa iachane na sera ya kuuma na kupuliza kuhusu jinai za Israel

    Dec 20, 2022 02:35

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amekosoa sera za kuuma na kupuliza za jamii ya kimataifa kuhusiana na jinai za kila siku zinazofanywa na Wazayuni dhidi ya Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Dec 14, 2022 07:50

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

  • Kombe la Dunia Qatar limeonyesha kufeli mpango wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Kombe la Dunia Qatar limeonyesha kufeli mpango wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Dec 04, 2022 02:38

    Khatibu wa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa huko Palestina amesema, wananchi wa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu wanaoshuhudia mashindano ya soka ya Kombe la Dunia yanayoendelea nchini Qatar wamethibitisha kugonga mwamba mpango mchafu wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel.

  • Hamas: Wavamizi  watateketea katika moto wa hujuma dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa

    Hamas: Wavamizi watateketea katika moto wa hujuma dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa

    Dec 02, 2022 11:17

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imewatahadharisha Wazayuni kuhusu kuendelea kuuhujumu Msikiti wa al Aqsa na kuwatolea mwito Wapalestina kuhudhuria kwa nguvu zote na kwa mshikamano katika msikiti huo.

  • Kanali ya Kizayuni: Israel inakabiliwa na Intifadha mpya ya Wapalestina

    Kanali ya Kizayuni: Israel inakabiliwa na Intifadha mpya ya Wapalestina

    Nov 30, 2022 10:45

    Chombo kimoja cha habari cha Kizayuni kimesema hali ya usalama katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu ni ya 'hatari' na kwamba Tel Aviv inakabiliwa na Intifadha mpya ya Wapalestina.

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni hauwezi kubadili utambulisho wa Quds

    Hamas: Utawala wa Kizayuni hauwezi kubadili utambulisho wa Quds

    Nov 17, 2022 02:23

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema: Utawala wa Kizayuni wa Israel hauwezi kubadili utambulisho wa kihistoria wa Quds tukufu.

  • Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa aonya kuhusiana na njama za Israel za kuiyahudisha Quds

    Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa aonya kuhusiana na njama za Israel za kuiyahudisha Quds

    Oct 24, 2022 07:40

    Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ameonya kuhusiana na njama za jeshi vamizi la Israel la kuuyahudisha mji wa Quds na kuudhibiti mji huo.

  • Australia yatengua uamuzi wa kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Australia yatengua uamuzi wa kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Oct 18, 2022 07:37

    Serikali ya Australia imetangaza habari ya kubatilisha uamuzi wake tata wa kulitambua eneo la magharibi mwa Quds linalokaliwa kwa mabavu, eti kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • Walowezi wa Kiyahudi wandelea na hujuma na uvamizi wao dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kiyahudi wandelea na hujuma na uvamizi wao dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    Sep 30, 2022 01:24

    Kundi kubwa la walowezi wa Kiyahudi likisaidiwa na vikosi vya usalama vya utawala ghasibu wa Israel limeuvamia msikiti mtakatifu wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

    Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

    2 hours ago
  • Iran, Misri zataka kukomeshwa mashambulizi ya Israel huko Gaza

  • Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya: Utulivu umerejea Tripoli

  • Misri yafurahia kurejeshwa turathi nyingi zilizoibwa na Marekani

  • Witkoff: Amani haiwezi kupatikana Ukraine bila ridhaa ya Putin

Chaguo La Mhariri
  • Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    3 hours ago
  • Kukandamizwa watetezi wa Palestina na kuporomoka maadili ya kibinadamu barani Ulaya

    Kukandamizwa watetezi wa Palestina na kuporomoka maadili ya kibinadamu barani Ulaya

    21 hours ago
  • Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kuhusika moja kwa moja Israel katika mapigano baina ya India na Pakistan

  • Wazayuni wahamaki baada ya Trump kukiri Wayemen ni mashujaa

  • Iran kujiunga na safu ya watengenezaji wa ndege za kibiashara duniani

  • "Israel imehusika katika mapigano baina ya India na Pakistan"

  • Jenerali wa zamani aonya: Israel imegeuka kutoka kuwa mali na kuwa mzigo kwa Marekani

  • Rais Trump wa Marekani awasili Saudia, alenga kutoka na kitita cha dola trilioni 1

  • Rais Traoré wa Burkina Faso aikosoa vikali kamandi ya kijeshi ya Marekani barani Afrika

  • Kundi la PKK lavunjwa katika juhudi za kufikia amani na Uturuki

  • Hamas yakubali kumwachilia huru mateka Mmarekani-Muisraeli

  • Milio ya risasi yasikika Tripoli baada ya mauaji ya kiongozi wa wanamgambo

  • Hamas yailaani Israel kwa kumuua mwandishi mashuhuri wa habari Gaza

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS