Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mfalme wa Jordan aonya: Intifadha mpya ya Wapalestina inanukia

    Mfalme wa Jordan aonya: Intifadha mpya ya Wapalestina inanukia

    Dec 30, 2022 02:35

    Mfalme wa Jordan ameonya kuhusiana na hatua za utawala haramu za Israel za kushadidisha mivutano na jinai dhidi ya Wapalestina na kueleza kuwa, jinai hizo huenda zikapelekea kuibuka Intifadha mpya ya Wapalestina.

  • HAMAS: Jamii ya Kimataifa iachane na sera ya kuuma na kupuliza kuhusu jinai za Israel

    HAMAS: Jamii ya Kimataifa iachane na sera ya kuuma na kupuliza kuhusu jinai za Israel

    Dec 20, 2022 02:35

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amekosoa sera za kuuma na kupuliza za jamii ya kimataifa kuhusiana na jinai za kila siku zinazofanywa na Wazayuni dhidi ya Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Dec 14, 2022 07:50

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

  • Kombe la Dunia Qatar limeonyesha kufeli mpango wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Kombe la Dunia Qatar limeonyesha kufeli mpango wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Dec 04, 2022 02:38

    Khatibu wa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa huko Palestina amesema, wananchi wa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu wanaoshuhudia mashindano ya soka ya Kombe la Dunia yanayoendelea nchini Qatar wamethibitisha kugonga mwamba mpango mchafu wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel.

  • Hamas: Wavamizi  watateketea katika moto wa hujuma dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa

    Hamas: Wavamizi watateketea katika moto wa hujuma dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa

    Dec 02, 2022 11:17

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imewatahadharisha Wazayuni kuhusu kuendelea kuuhujumu Msikiti wa al Aqsa na kuwatolea mwito Wapalestina kuhudhuria kwa nguvu zote na kwa mshikamano katika msikiti huo.

  • Kanali ya Kizayuni: Israel inakabiliwa na Intifadha mpya ya Wapalestina

    Kanali ya Kizayuni: Israel inakabiliwa na Intifadha mpya ya Wapalestina

    Nov 30, 2022 10:45

    Chombo kimoja cha habari cha Kizayuni kimesema hali ya usalama katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu ni ya 'hatari' na kwamba Tel Aviv inakabiliwa na Intifadha mpya ya Wapalestina.

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni hauwezi kubadili utambulisho wa Quds

    Hamas: Utawala wa Kizayuni hauwezi kubadili utambulisho wa Quds

    Nov 17, 2022 02:23

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema: Utawala wa Kizayuni wa Israel hauwezi kubadili utambulisho wa kihistoria wa Quds tukufu.

  • Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa aonya kuhusiana na njama za Israel za kuiyahudisha Quds

    Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa aonya kuhusiana na njama za Israel za kuiyahudisha Quds

    Oct 24, 2022 07:40

    Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ameonya kuhusiana na njama za jeshi vamizi la Israel la kuuyahudisha mji wa Quds na kuudhibiti mji huo.

  • Australia yatengua uamuzi wa kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Australia yatengua uamuzi wa kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Oct 18, 2022 07:37

    Serikali ya Australia imetangaza habari ya kubatilisha uamuzi wake tata wa kulitambua eneo la magharibi mwa Quds linalokaliwa kwa mabavu, eti kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • Walowezi wa Kiyahudi wandelea na hujuma na uvamizi wao dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kiyahudi wandelea na hujuma na uvamizi wao dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    Sep 30, 2022 01:24

    Kundi kubwa la walowezi wa Kiyahudi likisaidiwa na vikosi vya usalama vya utawala ghasibu wa Israel limeuvamia msikiti mtakatifu wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Jeshi la Yemen latangaza utayari wa kujiunga na Iran kupambana na maadui

    Jeshi la Yemen latangaza utayari wa kujiunga na Iran kupambana na maadui

    2 hours ago
  • Baraza la Haki za Binadamu la UN lalaani kwa kauli moja shambulio la Marekani na Israel dhidi ya shule Minab, Iran

  • Araghchi: Mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab ni sehemu ndogo tu ya uhalifu wa Marekani na Israel

  • Tehran yalitaka Baraza la Usalama la UN kulaani njama za mauaji za Marekani na Israel dhidi ya maafisa wakuu wa Iran

  • Al Houthi: Mashambulizi ya adui Marekani na Mzayuni dhidi ya Iran hayawezi kuhalalishwa kwa namna yoyote

Chaguo La Mhariri
  • Kujiuzulu kwa Joe Kent kunasema mengi

    Kujiuzulu kwa Joe Kent kunasema mengi

    15 hours ago
  •  Duru za uchumi: Mgogoro wa vita vya Iran umelishtua bara Ulaya

    Duru za uchumi: Mgogoro wa vita vya Iran umelishtua bara Ulaya

    2 days ago
  • Watumiaji wa mitandao ya Kijamii wanasemaje kuhusu vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran?

    Watumiaji wa mitandao ya Kijamii wanasemaje kuhusu vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran?

    4 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran yakataa pendekezo la Marekani, yaweka masharti matano ya kukomesha vita

  • Ahadi ya Kweli - 4, Wimbi la 83: Iran yapiga ngome za Marekani, Israel kwa makombora ya kisasa, ndege zisizo na rubani

  • IRGC yapiga ndege nyingine ya kivita ya Marekani aina ya F-18

  • Vipigo vya makombora ya Hizbullah vyalivuruga baraza la mawaziri la Israel

  • Vyanzo vya habari: Trump anahofia ongezeko la vifo vya wanajeshi wa US katika vita na Iran

  • Jarida la Marekani: Iran inapata ushindi katika vita vya Marekani na Israel

  • Guardian: Iron Dome imeshindwa kukabiliana na makombora ya Iran

  • Msemaji wa Jeshi la Iran: Takribani wanajeshi 800 wa Marekani na Waisraeli 1,300 wameuawa vitani

  • Ripoti: Harakati ya Ansarullah ya Yemen iko tayari Kudhibiti Lango Bahari la Bab al‑Mandab

  • Al Houthi: Mashambulizi ya adui Marekani na Mzayuni dhidi ya Iran hayawezi kuhalalishwa kwa namna yoyote

  • Iran yatoa onyo kali kwa nchi jirani inayoshirikiana na Marekani

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS