Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Jumatano, tarehe 28 Septemba, 2022

    Jumatano, tarehe 28 Septemba, 2022

    Sep 28, 2022 02:18

    Leo ni Jumatano tarehe Mosi Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1444 Hijria sawa na Septemba 28 mwaka 2022.

  • HAMAS yaonya kuhusu vitendo vya hujuma dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    HAMAS yaonya kuhusu vitendo vya hujuma dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    Sep 11, 2022 04:29

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeonya tena kuhusiana na kuendelea vitendo vya kuuvamia na kuuhujumu msikiti wa al-Aqswa, vinavyofanywa na walowezi wa Kizayuni wakipata himaya ya jeshi la utawala ghasibu wa Israel.

  • Sheikh Ikrima Sabri: Quds na Msikiti wa al-Aqswa vinapitia kipindi kigumu

    Sheikh Ikrima Sabri: Quds na Msikiti wa al-Aqswa vinapitia kipindi kigumu

    Aug 21, 2022 11:13

    Khatibu wa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa huko Palestina amesema kuwa, Quds na Msikiti wa al-Aqswa vinapitia kipindi kigumu kabisa.

  • Iran: Misikiti yote itaendelea kuwa vituo vya muqawama hadi ardhi zote za Palestina zitakapokombolewa

    Iran: Misikiti yote itaendelea kuwa vituo vya muqawama hadi ardhi zote za Palestina zitakapokombolewa

    Aug 21, 2022 06:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiisalmu ya Iran amesema kuwa, Misikiti yote duniani itaendelea kuwa vituo vya muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni hadi zitakapokombolewa ardhi zote za Palestina.

  • Jumanne, Juni 7, 2022

    Jumanne, Juni 7, 2022

    Jun 07, 2022 02:34

    Leo ni Jumanne, mwezi 7 Mfunguo Pili Dhulqaad 1443 Hijria, sawa na tarehe 7 Juni 2022 Milaadia.

  • Ismail Hania asisitiza kuuhami Msikiti wa al-Aqswa kwa kutumia nyenzo zote

    Ismail Hania asisitiza kuuhami Msikiti wa al-Aqswa kwa kutumia nyenzo zote

    Jun 06, 2022 10:11

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesisitiza udharura wa kutumiwa suhula na nyenzo zote kwa ajili ya kuulinda na kuuhamai Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa.

  • Wapalestina watolewa mwito wa kumiminika Msikiti wa Al Aqsa kukabiliana na njama ya wazayuni

    Wapalestina watolewa mwito wa kumiminika Msikiti wa Al Aqsa kukabiliana na njama ya wazayuni

    Jun 04, 2022 12:05

    Makundi mbalimbali ya Kipalestina yamewatolea mwito Wapalestina kukusanyika mnamo siku zijazo katika msikiti wa Al Aqsa kukabiliana na njama nyingine ya walowezi wa kizayuni.

  • Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu, jamii ya kimataifa kimya!

    Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu, jamii ya kimataifa kimya!

    Jun 03, 2022 10:42

    Licha ya kwamba taasisi mbalimbali za kimataifa zimetoa tangazo rasmi la kusisitiza kuwa Wazayuni hawahusiki kivyovyote vile na maeneo matakatifu ya Wapalestina ukiwemo Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu, lakini kila leo Wazayuni hao wanauvamia Msikiti huo na jamii ya kimataifa imekaa kimya ikiangalia kwa macho tu.

  • Khatibu wa Msikiti nwa al-Aqswa:

    Khatibu wa Msikiti nwa al-Aqswa: "Maandamano ya Bendera" katu hayataingia Masjidul-Aqswa

    May 29, 2022 03:25

    Khatibu wa Masjidul-Aqswa amesema kuwa, uamuzi wa Wazayuni wa kufanya "Maandamano ya Bendera" ni hatua ya kichochezi na amesisitiza juu ya udharura wa kuchukuliwa hatua ya kuwazuia Wazayuni hao kuingia katika msikiti matakatifu wa al-Aqswa.

  • Walowezi wa Kizayuni waendelea kuuhujumu Msikiti wa Al Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni waendelea kuuhujumu Msikiti wa Al Aqswa

    May 23, 2022 09:43

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa: 84,000 wameathiriwa wa mafuriko Somalia

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa: 84,000 wameathiriwa wa mafuriko Somalia

    1 hour ago
  • Qalibaf: Umoja wa Mabunge ya Asia ni fursa ya kuendeleza uhusiano na nchi za Kiislamu

  • Jihad Islami: Tunakaribisha mapendekezo kwa ajili ya usitishaji vita wa haraka

  • Baqaei: Kusimamisha miradi ya nyuklia ya Iran kimsingi si jambo linalojadiliwa katika mazungumzo na Marekani

  • Yair Golan: Vita vya Gaza lazima visitishwe haraka iwezekanavyo

Chaguo La Mhariri
  • Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    6 hours ago
  • Kukandamizwa watetezi wa Palestina na kuporomoka maadili ya kibinadamu barani Ulaya

    Kukandamizwa watetezi wa Palestina na kuporomoka maadili ya kibinadamu barani Ulaya

    1 day ago
  • Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran kujiunga na safu ya watengenezaji wa ndege za kibiashara duniani

  • Jenerali wa zamani aonya: Israel imegeuka kutoka kuwa mali na kuwa mzigo kwa Marekani

  • Rais Trump wa Marekani awasili Saudia, alenga kutoka na kitita cha dola trilioni 1

  • Rais Traoré wa Burkina Faso aikosoa vikali kamandi ya kijeshi ya Marekani barani Afrika

  • Kundi la PKK lavunjwa katika juhudi za kufikia amani na Uturuki

  • Milio ya risasi yasikika Tripoli baada ya mauaji ya kiongozi wa wanamgambo

  • Hamas yailaani Israel kwa kumuua mwandishi mashuhuri wa habari Gaza

  • Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

  • Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

  • "Iran imeazimia kweli kufikia makubaliano katika mazungumzo ya nyuklia"

  • Witkoff: Amani haiwezi kupatikana Ukraine bila ridhaa ya Putin

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS