Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Khalid Mash'al: Palestina haitaruhusu kutekelezwa njama za kuiyahudisha Masjdul-Aqswa

    Khalid Mash'al: Palestina haitaruhusu kutekelezwa njama za kuiyahudisha Masjdul-Aqswa

    May 18, 2022 07:47

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi amesisitiza kuwa, Msikiti wa al-Aqswa ni eneo la kidini na ni la Kiislamu kikamilifu na kwamba, wananchi wa Palestina hawataruhusu kutekelezwa njama chafu za kuliyahudisha eneo hilo takatifu.

  • Israel yampiga marufuku kwa miezi minne Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa  ; asema sitakaa kimya

    Israel yampiga marufuku kwa miezi minne Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa ; asema sitakaa kimya

    May 16, 2022 07:44

    Utawala wa Kizayuni umempiga marufuku kwa miezi minne Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa Sheikh Ikrima Sabri kutokanyaga katika eneo la msikiti huo kutokana na kile ulichokitaja kuwa hatua za Sheikh Sabri za kuuteteta Msikiti Mtukufu wa al Aqsa kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Balozi wa Palestina London aitaka Magharibi kukomesha unafiki

    Balozi wa Palestina London aitaka Magharibi kukomesha unafiki

    May 05, 2022 02:21

    Mwakilishi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina nchini Uingereza ameashiria kimya cha nchi za Magharibi mbele ya vitendo vya kikatili vinavyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa na kueleza kuwa, Palestina itakombolewa kutokana na uungaji mkono mkubwa wa watu huru duniani.

  • HAMAS: Operesheni ya Ari'el ni kuwazindua Wazayuni wasivuke mstari mwekundu

    HAMAS: Operesheni ya Ari'el ni kuwazindua Wazayuni wasivuke mstari mwekundu

    May 04, 2022 11:52

    Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Wapalestina na kwamba Wazayuni hawapaswi kuuvuuka.

  • OIC: Mji wa Quds na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Umma wa Kiislamu

    OIC: Mji wa Quds na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Umma wa Kiislamu

    Apr 26, 2022 07:44

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesisitiza kuwa, mji mtakatifu wa Baytul Muqaddas pamoja na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Umma wa Kiislamu na amani na utulivu hauwezi kupatikana bila ya kukombolewa maeneo hayo matakatifu kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni.

  • Msikiti wa Al Aqsa, utambulisho wa kihistoria na kidini wa Palestina

    Msikiti wa Al Aqsa, utambulisho wa kihistoria na kidini wa Palestina

    Apr 24, 2022 08:26

    Karibu Wapalestina 150,000 walishiriki katika Sala ya Ijumaa iliyopita iliyosaliwa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UN yataka kuchunguzwa ukatili wa Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    UN yataka kuchunguzwa ukatili wa Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    Apr 23, 2022 13:28

    Msemaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wa wazi kuhusiana na mashambulio ya kikatili ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa wakifanya ibada katika Msikiti wa Al-Aqsa.

  • Mufti wa Oman awakosoa viongozi wa Kiarabu wanaofuturu na Wazayuni huku al Aqsa ikitiwa najisi

    Mufti wa Oman awakosoa viongozi wa Kiarabu wanaofuturu na Wazayuni huku al Aqsa ikitiwa najisi

    Apr 21, 2022 02:49

    Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili, amepongeza misimamo ya kishujaa ya wanamapambano wanaoendelea kukabiliana na uvamizi wa mara kwa mara wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • Sisitizo la Jumuiya ya Mwamko wa Kiislamu kuhusu ulazima wa kukabiliana na jinai za Israel

    Sisitizo la Jumuiya ya Mwamko wa Kiislamu kuhusu ulazima wa kukabiliana na jinai za Israel

    Apr 17, 2022 10:38

    Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu imetoa taarifa na kulaani hatua za kichokozi na jinai mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kusisitiza kuhusu ulazima wa kukabiliana na jinai za utawala huo. Aidha jumuiya hiyo imepongeza muqawama au mapambano ya watu wa Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni.

  • Wamorocco, Wabahrain, Waturuki waandamana kuitetea Aqsa, Syria, Kuwait zatoa kauli

    Wamorocco, Wabahrain, Waturuki waandamana kuitetea Aqsa, Syria, Kuwait zatoa kauli

    Apr 17, 2022 08:17

    Wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Rabat kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina, sanjari na kulaani kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kuuvamia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Qalibaf ataka ushirikiano wa vikwazo dhidi ya Israel na kuundwa nchi huru ya Palestina

    Qalibaf ataka ushirikiano wa vikwazo dhidi ya Israel na kuundwa nchi huru ya Palestina

    2 hours ago
  • IRGC yajibu vitisho vya US: Iran ipo tayari kwa senario yoyote

  • Shambulio la 3 la kombora la hypersonic la Yemen dhidi ya Ben Gurion

  • Iran: Hakuna haja ya kuendelea na mazungumzo iwapo Marekani....

  • Mali yatengua vyama vyote vya siasa na 'mashirika'

Chaguo La Mhariri
  • Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu

    Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu

    2 hours ago
  • Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    11 hours ago
  • Kukandamizwa watetezi wa Palestina na kuporomoka maadili ya kibinadamu barani Ulaya

    Kukandamizwa watetezi wa Palestina na kuporomoka maadili ya kibinadamu barani Ulaya

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran kujiunga na safu ya watengenezaji wa ndege za kibiashara duniani

  • Jenerali wa zamani aonya: Israel imegeuka kutoka kuwa mali na kuwa mzigo kwa Marekani

  • Rais Trump wa Marekani awasili Saudia, alenga kutoka na kitita cha dola trilioni 1

  • Rais Traoré wa Burkina Faso aikosoa vikali kamandi ya kijeshi ya Marekani barani Afrika

  • Milio ya risasi yasikika Tripoli baada ya mauaji ya kiongozi wa wanamgambo

  • Hamas yailaani Israel kwa kumuua mwandishi mashuhuri wa habari Gaza

  • Yair Golan: Vita vya Gaza lazima visitishwe haraka iwezekanavyo

  • Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

  • Witkoff: Amani haiwezi kupatikana Ukraine bila ridhaa ya Putin

  • Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

  • Uchunguzi wa maoni: Sura ya Marekani imeporomoka duniani kote

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS