Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Iran yawaasa Waislamu duniani waungane kuwatetea Wapalestina, Msikiti wa Aqsa

    Iran yawaasa Waislamu duniani waungane kuwatetea Wapalestina, Msikiti wa Aqsa

    Apr 17, 2022 03:26

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa mara nyingine tena amelaani jinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuushambulia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa na kusisitiza kuwa, mataifa ya Kiislamu yanapaswa kuungana na kusima bega kwa bega kuitetea kadhia ya Palestina.

  • Hizbullah yatangaza mshikamano na wananchi mashujaa wa Palestina

    Hizbullah yatangaza mshikamano na wananchi mashujaa wa Palestina

    Apr 17, 2022 02:21

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza mshikamano wake na wananchi wa Palestina na kuyatolea wito mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kutekeleza majukumu yao katika kuitetea Quds Tukufu.

  • Iran: Israel ni dhaifu, haiwezi kuhimili nguvu za muqawama wa Palestina

    Iran: Israel ni dhaifu, haiwezi kuhimili nguvu za muqawama wa Palestina

    Apr 16, 2022 10:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani kitendo cha wanajeshi wa Israel kuvamia viwanja vya Msikiti wa Al-Aqsa na kuvunjia heshima kibla cha kwanza cha Waislamu, amesisitiza kuwa utawala huo wa Kizayuni ni dhaifu, na wala hauna ubavu wa kustahamili nguvu za mrengo wa muqawama wa Palestina.

  • Israel yachukua hatua kali za kiusalama sambamba na Swali ya Ijumaa ya kabla ya Ramadhani ndani ya Quds

    Israel yachukua hatua kali za kiusalama sambamba na Swali ya Ijumaa ya kabla ya Ramadhani ndani ya Quds

    Apr 01, 2022 11:20

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umechukua hatua kali za kiusalama katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu sambamba na Swala ya Ijumaa ya mwisho ya Wapalestina katika Msikiti wa Al-Aqsa kabla ya kuanza mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Wazayuni walaumiwa kwa kupungua idadi ya Wakristo mjini Quds

    Wazayuni walaumiwa kwa kupungua idadi ya Wakristo mjini Quds

    Mar 26, 2022 02:23

    Viongozi wa Kikristo wameeleza hofu yao kutokana na kupungua kwa kiwango cha kushtua idadi ya Wakristo katika mji wa Quds (Jerusalem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Hamas: Msikiti wa Al-Aqsa ndio msingi wa vita vyetu na adui Mzayuni

    Hamas: Msikiti wa Al-Aqsa ndio msingi wa vita vyetu na adui Mzayuni

    Feb 28, 2022 11:14

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa, Msikiti wa Al-Aqswa ndio msingi wa mapambano ya wananchi wa Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoikalia Quds kwa mabavu.

  • Muqawama: Israel italipa gharama kubwa kwa uvamizi wowote dhidi ya Aqsa

    Muqawama: Israel italipa gharama kubwa kwa uvamizi wowote dhidi ya Aqsa

    Jan 01, 2022 02:59

    Makundi ya Muqawama ya Palestina yamesema luteka ya pamoja ya kijeshi iliyofanywa hivi karibuni na makundi ya mapambano ya Kiislamu katika Ukanda wa Gaza ilikuwa na ujumbe wa wazi kwamba, shambulio lolote dhidi ya Msikiti Mtukufu wa Al-Aqsa litapelekea Israel kulipa gharama kubwa.

  • Sasa Hamas ina uwezo wa kupiga popote katika ardhi zilizopachikwa jina bandia la Israel

    Sasa Hamas ina uwezo wa kupiga popote katika ardhi zilizopachikwa jina bandia la Israel

    Dec 16, 2021 07:30

    Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, sasa harakati hiyo ya Kiislamu ina nguvu kubwa za kijeshi ambazo zinaiwezesha kupiga popote katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.

  • Wapalestina wasiopungua 45,000 wahudhuria Swala ya Ijumaa Al Aqsa

    Wapalestina wasiopungua 45,000 wahudhuria Swala ya Ijumaa Al Aqsa

    Dec 04, 2021 07:41

    Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) pamoja na kuwepo vizuizi vilivyokuwa vimewekwa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel unaokalia ardhi hiyo ya Palestina kwa mabavu.

  • Hamas yawataka Wapalestina wajitayarishe kuutetea Msikiti wa al Aqsa

    Hamas yawataka Wapalestina wajitayarishe kuutetea Msikiti wa al Aqsa

    Oct 09, 2021 07:56

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imewataka Wapalestina wajitayarishe kwa ajili ya kuutetea Msikiti wa al Aqsa bila ya kujali uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kusitisha azma yake ya kuruhusu ibada ya Mayahudi katika eneo hilo tukufu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Pezeshkian amjibu Trump: Inaonekana huwajui kabisa Wairani

    Pezeshkian amjibu Trump: Inaonekana huwajui kabisa Wairani

    2 hours ago
  • Spika Qalibaf: Maendeleo ya ulimwengu wa Kiislamu yanategemea ushirikiano wa Iran na Saudi Arabia

  • HAMAS: Jinai za Netanyahu dhidi ya Wapalestina hazitamletea ushindi

  • Ufaransa na Uhispania zajadili kuiwekea vikwazo Israel kwa jinai zake Gaza

  • Amnesty International: Wanajeshi wa Uganda wamekiuka vikwazo vya silaha dhidi ya Sudani Kusini

Chaguo La Mhariri
  • Umuhimu wa kufanyika Kongamano la 31 la Nyuklia la Iran

    Umuhimu wa kufanyika Kongamano la 31 la Nyuklia la Iran

    2 hours ago
  • Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu

    Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu

    22 hours ago
  • Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Shambulio la 3 la kombora la hypersonic la Yemen dhidi ya Ben Gurion

  • Rais Trump wa Marekani awasili Saudia, alenga kutoka na kitita cha dola trilioni 1

  • Iran: Hakuna haja ya kuendelea na mazungumzo iwapo Marekani....

  • IRGC yajibu vitisho vya US: Iran ipo tayari kwa senario yoyote

  • Yair Golan: Vita vya Gaza lazima visitishwe haraka iwezekanavyo

  • Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu

  • Witkoff: Amani haiwezi kupatikana Ukraine bila ridhaa ya Putin

  • Hamas yailaani Israel kwa kumuua mwandishi mashuhuri wa habari Gaza

  • Mali yatengua vyama vyote vya siasa na 'mashirika'

  • Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

  • Jihad Islami: Tunakaribisha mapendekezo kwa ajili ya usitishaji vita wa haraka

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS