Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Msikiti wa Al Aqsa, utambulisho wa kihistoria na kidini wa Palestina

    Msikiti wa Al Aqsa, utambulisho wa kihistoria na kidini wa Palestina

    Apr 24, 2022 08:26

    Karibu Wapalestina 150,000 walishiriki katika Sala ya Ijumaa iliyopita iliyosaliwa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UN yataka kuchunguzwa ukatili wa Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    UN yataka kuchunguzwa ukatili wa Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    Apr 23, 2022 13:28

    Msemaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wa wazi kuhusiana na mashambulio ya kikatili ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa wakifanya ibada katika Msikiti wa Al-Aqsa.

  • Mufti wa Oman awakosoa viongozi wa Kiarabu wanaofuturu na Wazayuni huku al Aqsa ikitiwa najisi

    Mufti wa Oman awakosoa viongozi wa Kiarabu wanaofuturu na Wazayuni huku al Aqsa ikitiwa najisi

    Apr 21, 2022 02:49

    Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili, amepongeza misimamo ya kishujaa ya wanamapambano wanaoendelea kukabiliana na uvamizi wa mara kwa mara wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • Sisitizo la Jumuiya ya Mwamko wa Kiislamu kuhusu ulazima wa kukabiliana na jinai za Israel

    Sisitizo la Jumuiya ya Mwamko wa Kiislamu kuhusu ulazima wa kukabiliana na jinai za Israel

    Apr 17, 2022 10:38

    Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu imetoa taarifa na kulaani hatua za kichokozi na jinai mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kusisitiza kuhusu ulazima wa kukabiliana na jinai za utawala huo. Aidha jumuiya hiyo imepongeza muqawama au mapambano ya watu wa Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni.

  • Wamorocco, Wabahrain, Waturuki waandamana kuitetea Aqsa, Syria, Kuwait zatoa kauli

    Wamorocco, Wabahrain, Waturuki waandamana kuitetea Aqsa, Syria, Kuwait zatoa kauli

    Apr 17, 2022 08:17

    Wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Rabat kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina, sanjari na kulaani kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kuuvamia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa.

  • Iran yawaasa Waislamu duniani waungane kuwatetea Wapalestina, Msikiti wa Aqsa

    Iran yawaasa Waislamu duniani waungane kuwatetea Wapalestina, Msikiti wa Aqsa

    Apr 17, 2022 03:26

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa mara nyingine tena amelaani jinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuushambulia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa na kusisitiza kuwa, mataifa ya Kiislamu yanapaswa kuungana na kusima bega kwa bega kuitetea kadhia ya Palestina.

  • Hizbullah yatangaza mshikamano na wananchi mashujaa wa Palestina

    Hizbullah yatangaza mshikamano na wananchi mashujaa wa Palestina

    Apr 17, 2022 02:21

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza mshikamano wake na wananchi wa Palestina na kuyatolea wito mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kutekeleza majukumu yao katika kuitetea Quds Tukufu.

  • Iran: Israel ni dhaifu, haiwezi kuhimili nguvu za muqawama wa Palestina

    Iran: Israel ni dhaifu, haiwezi kuhimili nguvu za muqawama wa Palestina

    Apr 16, 2022 10:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani kitendo cha wanajeshi wa Israel kuvamia viwanja vya Msikiti wa Al-Aqsa na kuvunjia heshima kibla cha kwanza cha Waislamu, amesisitiza kuwa utawala huo wa Kizayuni ni dhaifu, na wala hauna ubavu wa kustahamili nguvu za mrengo wa muqawama wa Palestina.

  • Israel yachukua hatua kali za kiusalama sambamba na Swali ya Ijumaa ya kabla ya Ramadhani ndani ya Quds

    Israel yachukua hatua kali za kiusalama sambamba na Swali ya Ijumaa ya kabla ya Ramadhani ndani ya Quds

    Apr 01, 2022 11:20

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umechukua hatua kali za kiusalama katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu sambamba na Swala ya Ijumaa ya mwisho ya Wapalestina katika Msikiti wa Al-Aqsa kabla ya kuanza mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Wazayuni walaumiwa kwa kupungua idadi ya Wakristo mjini Quds

    Wazayuni walaumiwa kwa kupungua idadi ya Wakristo mjini Quds

    Mar 26, 2022 02:23

    Viongozi wa Kikristo wameeleza hofu yao kutokana na kupungua kwa kiwango cha kushtua idadi ya Wakristo katika mji wa Quds (Jerusalem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran kuokoa dola milioni 30 kwa kujizalishia aina 63 za dawa

    Iran kuokoa dola milioni 30 kwa kujizalishia aina 63 za dawa

    11 hours ago
  • UNICEF: Israel imeuwa watoto 37 wa Kipalestina katika mashambulizi Gaza mwaka huu

  • Afrika Kusini kuondoa wanajeshi wake katika kikosi cha kulinda amani cha UN, nchini Kongo

  • Araqchi: Iran haiogopi kutumwa wanajeshi wa upande mwingine katika kanda hii

  • Waziri wa Habari wa Somalia: Hatutaruhusu Israel kutumia ardhi yetu kuwatishia majirani

Chaguo La Mhariri
  • Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia

    Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia

    11 hours ago
  • Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran

    Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran

    18 hours ago
  • Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?

    Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Jeshi la Iran: Kombora la Khorramshahr lenye masafa ya kilomita 2000 lina ‘nguvu ya uharibifu isiyo ya kawaida’

  • Araqchi: Iran haiogopi kutumwa wanajeshi wa upande mwingine katika kanda hii

  • Gaidi aliyefunzwa na Mossad kuendesha 'vita vya mitaani' aangamizwa na vikosi vya intelijensia vya Iran

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Hatutafanya mazungumzo kuhusu makombora yetu, si sasa wala baadaye

  • Iran yasisitiza kuwa itavishambulia vituo vya kijeshi vya Marekani, si ardhi za nchi jirani

  • Trump anakabiliwa na tuhuma za ubaguzi wa rangi baada ya kuchapisha video inayomuonyesha Obama na mkewe kama nyani

  • Ripoti: Ufaransa na Uingereza zimehusika katika mauaji ya Saif al-Islam Gaddafi

  • Maelfu ya Wairaqi wajiandikisha kuingia vitani kuisaidia Iran endapo itashambuliwa na Marekani

  • Iran kuokoa dola milioni 30 kwa kujizalishia aina 63 za dawa

  • Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lakaribisha mazungumzo ya Iran na Marekani

  • Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS