Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Hamas: Msikiti wa Al-Aqsa ndio msingi wa vita vyetu na adui Mzayuni

    Hamas: Msikiti wa Al-Aqsa ndio msingi wa vita vyetu na adui Mzayuni

    Feb 28, 2022 11:14

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa, Msikiti wa Al-Aqswa ndio msingi wa mapambano ya wananchi wa Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoikalia Quds kwa mabavu.

  • Muqawama: Israel italipa gharama kubwa kwa uvamizi wowote dhidi ya Aqsa

    Muqawama: Israel italipa gharama kubwa kwa uvamizi wowote dhidi ya Aqsa

    Jan 01, 2022 02:59

    Makundi ya Muqawama ya Palestina yamesema luteka ya pamoja ya kijeshi iliyofanywa hivi karibuni na makundi ya mapambano ya Kiislamu katika Ukanda wa Gaza ilikuwa na ujumbe wa wazi kwamba, shambulio lolote dhidi ya Msikiti Mtukufu wa Al-Aqsa litapelekea Israel kulipa gharama kubwa.

  • Sasa Hamas ina uwezo wa kupiga popote katika ardhi zilizopachikwa jina bandia la Israel

    Sasa Hamas ina uwezo wa kupiga popote katika ardhi zilizopachikwa jina bandia la Israel

    Dec 16, 2021 07:30

    Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, sasa harakati hiyo ya Kiislamu ina nguvu kubwa za kijeshi ambazo zinaiwezesha kupiga popote katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.

  • Wapalestina wasiopungua 45,000 wahudhuria Swala ya Ijumaa Al Aqsa

    Wapalestina wasiopungua 45,000 wahudhuria Swala ya Ijumaa Al Aqsa

    Dec 04, 2021 07:41

    Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) pamoja na kuwepo vizuizi vilivyokuwa vimewekwa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel unaokalia ardhi hiyo ya Palestina kwa mabavu.

  • Hamas yawataka Wapalestina wajitayarishe kuutetea Msikiti wa al Aqsa

    Hamas yawataka Wapalestina wajitayarishe kuutetea Msikiti wa al Aqsa

    Oct 09, 2021 07:56

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imewataka Wapalestina wajitayarishe kwa ajili ya kuutetea Msikiti wa al Aqsa bila ya kujali uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kusitisha azma yake ya kuruhusu ibada ya Mayahudi katika eneo hilo tukufu.

  • Wanamapambano Palestina walaani kuvunjiwa heshima Msikiti wa al Aqsa

    Wanamapambano Palestina walaani kuvunjiwa heshima Msikiti wa al Aqsa

    Oct 08, 2021 16:52

    Makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina yametangaza kuwa, kuwaruhusu Wayahudi kufanya ibada katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa ni hatua hatari sana inayovunjia heshima matukufu ya Kiislamu.

  • Jumanne tarehe 28 Septemba 2021

    Jumanne tarehe 28 Septemba 2021

    Sep 28, 2021 02:30

    Leo ni Jumanne tarehe 21 Safar 1443 Hijria sawa na Septemba 28 mwaka 2021.

  • Khatibu wa al-Aqswa: Wazayuni wanataka kutwisha uhakika mwingine kuhusu Msikiti wa al-Aqswa

    Khatibu wa al-Aqswa: Wazayuni wanataka kutwisha uhakika mwingine kuhusu Msikiti wa al-Aqswa

    Sep 23, 2021 08:08

    Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa amesisitiza kuwa, hatua ya Wazayuni ya kung'ang'a kuingia kinyume cha sheria katika Msikiti wa al-Aqswa inaweka wazi njama zao za kutaka kutwisha uhakika mpya kuhusiana na kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.

  • HAMAS yawataka Wapalestina wauhami Msikiti wa Aqsa

    HAMAS yawataka Wapalestina wauhami Msikiti wa Aqsa

    Sep 06, 2021 03:04

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) katika mji wa Quds Tukufu ametoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al-Aqsa ili kuuhami na kuulinda dhidi ya uvamizi wa Walowezi wa Kizayuni, wakati wa sherehe na matambiko yao.

  • Wapalestina 45,000 wahudhuria Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    Wapalestina 45,000 wahudhuria Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    Sep 04, 2021 03:35

    Vyombo vya habari vya Palestina vimetangaza kuwa, Waislamu Wapalestina wamehudhuria kwa wingi katika Sala ya Ijumaa ya jana kwenye msikiti mtukufu wa Al Aqsa.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran kuokoa dola milioni 30 kwa kujizalishia aina 63 za dawa

    Iran kuokoa dola milioni 30 kwa kujizalishia aina 63 za dawa

    14 hours ago
  • UNICEF: Israel imeuwa watoto 37 wa Kipalestina katika mashambulizi Gaza mwaka huu

  • Afrika Kusini kuondoa wanajeshi wake katika kikosi cha kulinda amani cha UN, nchini Kongo

  • Araqchi: Iran haiogopi kutumwa wanajeshi wa upande mwingine katika kanda hii

  • Waziri wa Habari wa Somalia: Hatutaruhusu Israel kutumia ardhi yetu kuwatishia majirani

Chaguo La Mhariri
  • Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia

    Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia

    13 hours ago
  • Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran

    Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran

    20 hours ago
  • Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?

    Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Jeshi la Iran: Kombora la Khorramshahr lenye masafa ya kilomita 2000 lina ‘nguvu ya uharibifu isiyo ya kawaida’

  • Araqchi: Iran haiogopi kutumwa wanajeshi wa upande mwingine katika kanda hii

  • Gaidi aliyefunzwa na Mossad kuendesha 'vita vya mitaani' aangamizwa na vikosi vya intelijensia vya Iran

  • Iran yasisitiza kuwa itavishambulia vituo vya kijeshi vya Marekani, si ardhi za nchi jirani

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Hatutafanya mazungumzo kuhusu makombora yetu, si sasa wala baadaye

  • Trump anakabiliwa na tuhuma za ubaguzi wa rangi baada ya kuchapisha video inayomuonyesha Obama na mkewe kama nyani

  • Ripoti: Ufaransa na Uingereza zimehusika katika mauaji ya Saif al-Islam Gaddafi

  • Maelfu ya Wairaqi wajiandikisha kuingia vitani kuisaidia Iran endapo itashambuliwa na Marekani

  • Iran kuokoa dola milioni 30 kwa kujizalishia aina 63 za dawa

  • Waziri wa Habari wa Somalia: Hatutaruhusu Israel kutumia ardhi yetu kuwatishia majirani

  • Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lakaribisha mazungumzo ya Iran na Marekani

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS