Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

َArubaini ya Imam Hussein

  • Zaidi ya wafanyaziara milioni 17 wameshiriki katika Arubaini ya Imam Hussein (as) ya mwaka huu

    Zaidi ya wafanyaziara milioni 17 wameshiriki katika Arubaini ya Imam Hussein (as) ya mwaka huu

    Oct 21, 2019 02:39

    Gavana wa mkoa wa Karbala nchini Iraq ametangaza kuwa, idadi ya mazuwari walioshiriki kwenye maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein (as) mwaka huu imepindukia milioni 17.

  • Historia ya Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Historia ya Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Oct 20, 2019 07:33

    Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji wa Radio Tehran, Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran popote pale mlipo hususan huko nyumbani Afrika Mashariki.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Ziara ya Arubaini, imebeba ujumbe wa kupinga uharibifu na ufisadi

    Waziri Mkuu wa Iraq: Ziara ya Arubaini, imebeba ujumbe wa kupinga uharibifu na ufisadi

    Oct 20, 2019 02:35

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kwamba, mapinduzi ya Imam Hussein (as) ni mapinduzi dhidi ya kukengeuka na kufanya dhulma na kwamba ziara ya Arubaini ya mjukuu huyo wa Matume (saw) imebeba ujumbe wa kupinga uharibifu na ufisadi.

  • Kiongozi Muadhamu: Kusimama kidete katika njia iliyonyooka, ni kwa maslahi ya taifa na dunia

    Kiongozi Muadhamu: Kusimama kidete katika njia iliyonyooka, ni kwa maslahi ya taifa na dunia

    Oct 19, 2019 13:23

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kusimama kidete katika njia iliyonyooka na ya haki, ni kwa maslahi ya taifa la Iran na dunia yote kwa ujumla.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Maadui wamejawa hofu kwa kushuhudia matembezi ya Arubaini

    Sayyid Hassan Nasrullah: Maadui wamejawa hofu kwa kushuhudia matembezi ya Arubaini

    Oct 19, 2019 13:36

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesisitiza kuwa, uwepo wa mamilioni ya watu mjini Karbala ni jambo lisilo na mfano katika historia na kwamba Marekani, utawala haramu wa Kizayuni, mabeberu na madhalimu wa dunia wanahisi hofu kubwa kwa kushuhudia matembezi ya mamilioni ya watu katika Arubaini ya Imam Hussein (as).

  • Polisi Nigeria yatumia risasi na mabomu kuvunja Arubaini ya Imam Hussein AS

    Polisi Nigeria yatumia risasi na mabomu kuvunja Arubaini ya Imam Hussein AS

    Oct 19, 2019 13:20

    Polisi nchini Nigeria imetumia risasi hai na mabomu ya gesi ya kutoa machozi kuvunja matembezi ya amani ya waumini wa Kiislamu waliokuwa wakishiriki maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein (AS), mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW) katika mji mkuu Abuja.

  • Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS, mjumuiko kwa ajili ya uhuru na kuwatetea waliodhulumiwa

    Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS, mjumuiko kwa ajili ya uhuru na kuwatetea waliodhulumiwa

    Oct 19, 2019 12:07

    Ali Shamkhani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametembelea vibanda vya kuwahudumia wafanyaziara (Mawkib) katika kituo cha mpakani cha Chazabeh kusini magharibi mwa Iran na akizugumza na waandishi habari amesema, matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS ni mhimili wa kutaka uhuru na kutetea watu wa Palestina na pia ni mjumuiko dhidi ya Uzayuni.

  • Matembezi makubwa ya

    Matembezi makubwa ya "Waliosalia Nyuma" katika Arubaini ya Imam Hussein (as) yafanyika mjini Tehran

    Oct 19, 2019 08:03

    Matembezi ya "Waliosalia Nyuma" katika Arubaini ya Imam Hussein (as) yamefanyika katika mwendo wa kilomita 17 kuanzia kwenye medani ya Imam Hussein (as) hapa mjini Tehran kuelekea haram ya mtukufu Abdul-Adhim (as) iliyoko mjini Rey kusini mwa Tehran kwa kuhudhuriwa na wapenzi na maashiki wa Imam Hussein (as).

  • Jumamosi, 19 Oktoba, 2019

    Jumamosi, 19 Oktoba, 2019

    Oct 19, 2019 02:36

    Leo ni Jumamosi tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1441 Hijria mwafaka na tarehe 19 Oktoba 2019 Miladia.

  • Mamilioni wakusanyika Karbala katika Arubaini ya Imam Hussein (as)

    Mamilioni wakusanyika Karbala katika Arubaini ya Imam Hussein (as)

    Oct 18, 2019 16:50

    Mamilioni ya Waislamu wanakusanyika katika mji mtakatifu wa Karbaka nchini Iraq kwa ajili ya kushiriki katika shughuli ya Arubaini ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS