Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Serikali ya Kongo DR yataka kutangazwa hali ya hatari nchini humo

    Serikali ya Kongo DR yataka kutangazwa hali ya hatari nchini humo

    Jul 17, 2017 09:37

    Kufuatia mapigano yaliyojiri mjini Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, vyama viwili vya kisiasa washirika vinavyounda serikali ya nchi hiyo, vimetaka kutangazwa hali ya hatari nchini.

  • Wapinzani walivyosusia uchaguzi Congo Brazzaville

    Wapinzani walivyosusia uchaguzi Congo Brazzaville

    Jul 17, 2017 02:36

    Wananchi wengi wame wa Congo Brazzaville wamesusia uchaguzi wa bunge na udiwani na kufanya fujo ikiwa ni pamoja na kuchoma moto vituo vya kupigia kura. Mwito wa kususia uchaguzi huo ulitolewa mapema na vayma vya upinzani. Mwandishi wa Radio Tehran na maelezo zaidi kutoka Brazzaville

  • Jaji Mkuu Kenya amuonya Rais Uhuru, usivunje imani ya wananchi

    Jaji Mkuu Kenya amuonya Rais Uhuru, usivunje imani ya wananchi

    Jul 10, 2017 03:43

    Jaji Mkuu wa Kenya amemuonya Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo akimtaka kuacha kuvunja imani ya wananchi kwa mahakama za nchi hiyo.

  • Indhari ya viongozi wa Kiafrika kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Indhari ya viongozi wa Kiafrika kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Jun 19, 2017 21:59

    Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuendelea kutolewa miito ya kuzuia kuchukua mkondo mpana zaidi mgogoro wa nchi hiyo, Kofi Annan Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa na Marais kadhaa wa zamani wa nchi za Afrika wametoa indhari wakieleza kwamba, hali ya nchi hiyo ni mbaya na hivyo wametaka kutumiwa njia za amani kuinasua nchi hiyo na mgogoro huo.

  • Jumatatu 12 Juni, 2017

    Jumatatu 12 Juni, 2017

    Jun 11, 2017 21:04

    Leo ni Jumatatu tarehe 17 Ramadhani 1438 Hijria sawa na Juni 12, 2017.

  • Theresa May ashindwa vibaya katika uchaguzi wa Uingereza

    Theresa May ashindwa vibaya katika uchaguzi wa Uingereza

    Jun 10, 2017 03:03

    Katika hali ambayo Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza ambaye pia ni kiongozi wa chama cha Wahafidhina alikuwa anataraji kupata wingi mutlaki wa viti katika uchaguzi wa mapema wa bunge alioitisha nchini humo, chama chake hicho kimepata pigo kubwa na hata kupoteza wingi wa viti bungeni.

  • Matokeo ya awali ya uchaguzi Uingereza, chama cha Theresa May kimepoteza wingi bungeni

    Matokeo ya awali ya uchaguzi Uingereza, chama cha Theresa May kimepoteza wingi bungeni

    Jun 08, 2017 23:41

    Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Uingereza yanaonesha kuwa, chama cha Conservative kimeshinda kwa kupata viti vingi vya Bunge ingawa kimepoteza wingi mutlaki.

  • Zarif: Wananchi wa Iran hawaogopeshwi na vitisho

    Zarif: Wananchi wa Iran hawaogopeshwi na vitisho

    May 25, 2017 23:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, taifa la Iran ni taifa imara na la watu wasiotetereka hivyo haliogopeshwi na vitisho vyovyote vya Marekani.

  • Rouhani: Washindi halisi katika uchaguzi wa Iran ni wananchi

    Rouhani: Washindi halisi katika uchaguzi wa Iran ni wananchi

    May 20, 2017 23:04

    Rais mteule wa watu wa Iran katika awamu ya 12 amesema mshindi halisi katika uchaguzi wa rais wa Mei 19 ni wananchi wa Iran.

  • Kiongozi Muadhamu: Mshindi wa uchaguzi ni wananchi wa Iran na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Kiongozi Muadhamu: Mshindi wa uchaguzi ni wananchi wa Iran na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu

    May 20, 2017 08:50

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kwa mnasaba wa uchaguzi wa jana Ijumaa (Mei 19, 2017) wa Iran na kusema kuwa, mshindi wa uchaguzi huo ni wananchi wa Iran na mfumo Jamhuri ya Kiislamu ambapo licha ya kuweko njama nyingi za maadui, lakini uchaguzi huo umevutia umati mkubwa wa wananchi wa taifa hili kubwa kwa namna bora kabisa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS