-
Serikali ya Kongo DR yataka kutangazwa hali ya hatari nchini humo
Jul 17, 2017 09:37Kufuatia mapigano yaliyojiri mjini Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, vyama viwili vya kisiasa washirika vinavyounda serikali ya nchi hiyo, vimetaka kutangazwa hali ya hatari nchini.
-
Wapinzani walivyosusia uchaguzi Congo Brazzaville
Jul 17, 2017 02:36Wananchi wengi wame wa Congo Brazzaville wamesusia uchaguzi wa bunge na udiwani na kufanya fujo ikiwa ni pamoja na kuchoma moto vituo vya kupigia kura. Mwito wa kususia uchaguzi huo ulitolewa mapema na vayma vya upinzani. Mwandishi wa Radio Tehran na maelezo zaidi kutoka Brazzaville
-
Jaji Mkuu Kenya amuonya Rais Uhuru, usivunje imani ya wananchi
Jul 10, 2017 03:43Jaji Mkuu wa Kenya amemuonya Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo akimtaka kuacha kuvunja imani ya wananchi kwa mahakama za nchi hiyo.
-
Indhari ya viongozi wa Kiafrika kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Jun 19, 2017 21:59Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuendelea kutolewa miito ya kuzuia kuchukua mkondo mpana zaidi mgogoro wa nchi hiyo, Kofi Annan Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa na Marais kadhaa wa zamani wa nchi za Afrika wametoa indhari wakieleza kwamba, hali ya nchi hiyo ni mbaya na hivyo wametaka kutumiwa njia za amani kuinasua nchi hiyo na mgogoro huo.
-
Jumatatu 12 Juni, 2017
Jun 11, 2017 21:04Leo ni Jumatatu tarehe 17 Ramadhani 1438 Hijria sawa na Juni 12, 2017.
-
Theresa May ashindwa vibaya katika uchaguzi wa Uingereza
Jun 10, 2017 03:03Katika hali ambayo Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza ambaye pia ni kiongozi wa chama cha Wahafidhina alikuwa anataraji kupata wingi mutlaki wa viti katika uchaguzi wa mapema wa bunge alioitisha nchini humo, chama chake hicho kimepata pigo kubwa na hata kupoteza wingi wa viti bungeni.
-
Matokeo ya awali ya uchaguzi Uingereza, chama cha Theresa May kimepoteza wingi bungeni
Jun 08, 2017 23:41Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Uingereza yanaonesha kuwa, chama cha Conservative kimeshinda kwa kupata viti vingi vya Bunge ingawa kimepoteza wingi mutlaki.
-
Zarif: Wananchi wa Iran hawaogopeshwi na vitisho
May 25, 2017 23:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, taifa la Iran ni taifa imara na la watu wasiotetereka hivyo haliogopeshwi na vitisho vyovyote vya Marekani.
-
Rouhani: Washindi halisi katika uchaguzi wa Iran ni wananchi
May 20, 2017 23:04Rais mteule wa watu wa Iran katika awamu ya 12 amesema mshindi halisi katika uchaguzi wa rais wa Mei 19 ni wananchi wa Iran.
-
Kiongozi Muadhamu: Mshindi wa uchaguzi ni wananchi wa Iran na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
May 20, 2017 08:50Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kwa mnasaba wa uchaguzi wa jana Ijumaa (Mei 19, 2017) wa Iran na kusema kuwa, mshindi wa uchaguzi huo ni wananchi wa Iran na mfumo Jamhuri ya Kiislamu ambapo licha ya kuweko njama nyingi za maadui, lakini uchaguzi huo umevutia umati mkubwa wa wananchi wa taifa hili kubwa kwa namna bora kabisa.