-
Jamhuri ya Kongo na uchaguzi wa Bunge
Jul 22, 2017 22:18Katika hali ambayo duru ya kwanza ya uchaguzi wa Bunge nchini Congo Brazaville ilifanyika tarehe 16 mwezi huu wa Julai; raia wa nchi hiyo hivi sasa wanajiandaa kuelekea katika masandukuru ya kupigia kura kwa ajili ya duru ya pili ya uchaguzi huo uliopangwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu.
-
Ushindi wa chama tawala katika uchaguzi wa bunge na mabaraza ya miji Congo Brazzaville
Jul 22, 2017 02:50Chama tawala cha Leba cha nchini Congo Brazzaville kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa bunge na mabaraza ya miji nchini humo.
-
Serikali ya Kongo DR yataka kutangazwa hali ya hatari nchini humo
Jul 17, 2017 09:37Kufuatia mapigano yaliyojiri mjini Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, vyama viwili vya kisiasa washirika vinavyounda serikali ya nchi hiyo, vimetaka kutangazwa hali ya hatari nchini.
-
Wapinzani walivyosusia uchaguzi Congo Brazzaville
Jul 17, 2017 02:36Wananchi wengi wame wa Congo Brazzaville wamesusia uchaguzi wa bunge na udiwani na kufanya fujo ikiwa ni pamoja na kuchoma moto vituo vya kupigia kura. Mwito wa kususia uchaguzi huo ulitolewa mapema na vayma vya upinzani. Mwandishi wa Radio Tehran na maelezo zaidi kutoka Brazzaville
-
Jaji Mkuu Kenya amuonya Rais Uhuru, usivunje imani ya wananchi
Jul 10, 2017 03:43Jaji Mkuu wa Kenya amemuonya Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo akimtaka kuacha kuvunja imani ya wananchi kwa mahakama za nchi hiyo.
-
Indhari ya viongozi wa Kiafrika kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Jun 19, 2017 21:59Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuendelea kutolewa miito ya kuzuia kuchukua mkondo mpana zaidi mgogoro wa nchi hiyo, Kofi Annan Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa na Marais kadhaa wa zamani wa nchi za Afrika wametoa indhari wakieleza kwamba, hali ya nchi hiyo ni mbaya na hivyo wametaka kutumiwa njia za amani kuinasua nchi hiyo na mgogoro huo.
-
Jumatatu 12 Juni, 2017
Jun 11, 2017 21:04Leo ni Jumatatu tarehe 17 Ramadhani 1438 Hijria sawa na Juni 12, 2017.
-
Theresa May ashindwa vibaya katika uchaguzi wa Uingereza
Jun 10, 2017 03:03Katika hali ambayo Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza ambaye pia ni kiongozi wa chama cha Wahafidhina alikuwa anataraji kupata wingi mutlaki wa viti katika uchaguzi wa mapema wa bunge alioitisha nchini humo, chama chake hicho kimepata pigo kubwa na hata kupoteza wingi wa viti bungeni.
-
Matokeo ya awali ya uchaguzi Uingereza, chama cha Theresa May kimepoteza wingi bungeni
Jun 08, 2017 23:41Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Uingereza yanaonesha kuwa, chama cha Conservative kimeshinda kwa kupata viti vingi vya Bunge ingawa kimepoteza wingi mutlaki.
-
Zarif: Wananchi wa Iran hawaogopeshwi na vitisho
May 25, 2017 23:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, taifa la Iran ni taifa imara na la watu wasiotetereka hivyo haliogopeshwi na vitisho vyovyote vya Marekani.