Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Kuanza uchaguzi wa rais nchini Misri, viashiria hasi vya uchaguzi

    Kuanza uchaguzi wa rais nchini Misri, viashiria hasi vya uchaguzi

    Mar 17, 2018 00:18

    Uchaguzi wa rais wa Misri ulianza jana Ijumaa machi 16 kwa Wamisri wanaoishi katika nchi 124 za kigeni na utaendelea kwa muda wa siku tatu.

  • Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie

    Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie

    Mar 16, 2018 00:53

    Uchaguzi wa rais wa Misri umenza leo Ijumaa nje ya nchi hiyo huku wapinzani wa serikali ya jenerali mstaafu, Abdul Fattah al Sisi wakiwataka wananchi wasusie zoezi hilo kwa hoja kwamba, halitakuwa huru na la wazi.

  • Kinara wa upinzani DRC azindua azma ya kuwania urais akiwa uhamishoni

    Kinara wa upinzani DRC azindua azma ya kuwania urais akiwa uhamishoni

    Mar 13, 2018 03:57

    Moise Katumbi, kiongozi mashuhuri wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyeko uhamishoni amezindua rasmi azma yake ya kugombea urais katika uchaguzi ujao baadaye mwaka huu.

  • Mgombea wa upinzani nchini Sierra Leone aongoza huku duru ya pili ikitarajiwa

    Mgombea wa upinzani nchini Sierra Leone aongoza huku duru ya pili ikitarajiwa

    Mar 12, 2018 04:32

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais yanayoendelea kutangazwa nchini Sierra Leone yanaonesha kuwa, mgombea wa upinzani anaongoza huku akiwa amemuacha mbali mgombea wa chama tawala kwa zaidi ya kura elfu 15.

  • Uchaguzi wa Rais Sierra Leone waingia duru ya pili

    Uchaguzi wa Rais Sierra Leone waingia duru ya pili

    Mar 12, 2018 03:33

    Matokeo ya uchaguzi mkuu nchini Sierra Leone yameonesha kwamba, hakuna mgombea aliyefanikiwa kupata ushindi mutlaki na kwa msingi huo uchaguzi huo umeingia duru ya pili.

  • DRC yasisitiza kuwa uchaguzi wa rais utafanyika mwaka huu kama ulivyopangwa

    DRC yasisitiza kuwa uchaguzi wa rais utafanyika mwaka huu kama ulivyopangwa

    Mar 08, 2018 12:39

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema uchaguzi wa rais utafanyika mwishoni mwa mwaka huu kama ulivyopangwa licha ya changamoto wanazokabiliwa nazo.

  • UN yakosoa ukandamizaji Misri kuelekea uchaguzi wa rais

    UN yakosoa ukandamizaji Misri kuelekea uchaguzi wa rais

    Mar 07, 2018 22:10

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amekosoa mazingira ya vitisho, ukandamizaji na kuwekewa mbinyo wanasiasa wa upinzani nchini Misri kuelekea uchaguzi wa rais unaotazamiwa kufanyika baadaye mwezi huu.

  • Kuongezeka machafuko na upinzani dhidi ya serikali DRC

    Kuongezeka machafuko na upinzani dhidi ya serikali DRC

    Feb 27, 2018 03:01

    Maandamano ya kuipinga serikali ya Rais Joseph Kabila ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamevunjwa kwa nguvu za polisi mjini Kinshasa. Taarifa zinasema kuwa mtu mmoja ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kwa risasi za polisi.

  • CCM yatwaa majimbo ya Kinondoni na Siha, askari 6 wakamatwa mauaji ya mwanachuo

    CCM yatwaa majimbo ya Kinondoni na Siha, askari 6 wakamatwa mauaji ya mwanachuo

    Feb 18, 2018 12:15

    Chama cha Mapinduzi (CCM) huko nchini Tanzania kimetangazwa mshindi wa chaguzi ndogo za majimbo ya Siha mkoani Kilimanjaro na Kinondoni jijini Dar es Salaam ambayo kabla ya kujiuzulu wabunge wake yalikuwa mikononi mwa vyama vya upinzani.

  • Chaguzi ndogo zenye mchuano mkali zafanyika Tanzania

    Chaguzi ndogo zenye mchuano mkali zafanyika Tanzania

    Feb 17, 2018 05:21

    Habari kutoka nchini Tanzania zinasema kuwa zoezi kupiga kura katika chaguzi ndogo za ubunge na udiwani katika baadhi ya maeneo, Tanzania Bara limeanza rasmi asubuhi ya leo Jumamosi tarehe Februari 17, 2018.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS