-
Taliban lakubali kwa masharti kuanza mazungumzo ya kutafuta suluhu na amani Afghanistan
Jul 24, 2020 07:36Kundi la Taliban limetangaza kuwa, liko tayari kwa masharti kuanza mazungumzo ya kutafuta suluhu na amani baina ya Waafghani.
-
Makamanda na wanamgambo 45 wa Taliban wauawa katika shambulio la anga la jeshi la Afghanistan
Jul 23, 2020 04:17Wanachama wasiopungua 45 wa kundi la Taliban wakiwemo makamanda na wanamgambo wa kundi hilo wameuawa katika shambulio la anga lililofanywa na jeshi la Afghanistan katika wilaya ya Adraskan jimboni Herat magharibi mwa nchi hiyo.
-
Araqchi akanusha madai ya kuwepo ofisi ya Taliban nchini Iran
Jul 19, 2020 14:36Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amekabidhisha vikali madai ya kipropaganda kuwa kundi la wapiganaji wa Taliban la Afghanistan lina ofisi hapa nchini. Sayyid Abbas Araqchi aidha amekanusha vikali uvumi wa uwepo wa kundi la Taliban hapa nchini Iran, kwa jina la "Baraza la Mashhad."
-
Safari ya Abbas Araqchi mjini Kabul; ushirikiano mzuri wa Iran na Afghanistan
Jul 16, 2020 12:19Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu anayehusika na masuala ya kisiasa amekutana na kufanya mazungumzo mjini Kabul na Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afganistan na kujadili masuala ya kupanua ushirikiano wa pande mbili katika nyanja zote
-
Sisitizo la Russia juu ya mchango wa Marekani katika magendo ya madawa ya kulevya nchini Afghanistan
Jul 08, 2020 04:19Mwaka 2001 Marekani iliishambulia kijeshi Afghanistan kwa kisingizio cha mashambulio ya Septemba 11 na ikaikalia kwa mabavu nchi hiyo.
-
Marekani yasisitiza, itaendelea kuikalia kwa mabavu ardhi ya Afghanistan
Jul 06, 2020 06:10Balozi mdogo wa Marekani mjini Kabul amesema kuwa majeshi ya nchi yake yataendelea kuwepo katika ardhi ya Afganistan.
-
Marekani na tuhuma mpya za kuwepo uhusiano kati ya Russia na Taliban
Jul 03, 2020 00:39Mwaka 2001 Marekani iliishambulia kijeshi na kuikalia kwa mabavu Afghanistan kwa kutumia kisingizio cha mashambulio ya Septemba 11 yaliyolenga sehemu kadhaa ndani ya ardhi ya Marekani. Wakati rais wa Marekani Donald Trump alipokuwa katika kampeni za uchaguzi wa urais wa mwaka 2016 na hata baada ya kuingia ikulu ya White House aliahidi kuwa atawaondoa askari wa nchi hiyo walioko Afghanistan. Hata hivyo pamoja na ahadi hiyo, askari wengi wa jeshi la Marekani wangaliko katika ardhi ya Afghanistan.
-
Kremlin nayo yapinga madai ya New York Times kuhusu mauaji ya wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan
Jun 30, 2020 02:29Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, amesema kuwa madai yaliyotolewa na gazeti la New York Time kwamba Moscow imeshirikiana na wapiganaji wa kundi la Taliban kuwaua wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan ni ya uongo.
-
Russia yakanusha madai ya kushirikiana na Taliban kuwaua wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan
Jun 28, 2020 02:34Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imekadhibisha madai yaliyotolewa na gazeti la New York Times kwamba Moscow imeshirikiana na wapiganaji wa kundi la Taliban kuwaua wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan.
-
Kuongezeka uzalishaji wa mihadarati ya mpopi Afghanistan chini ya kivuli cha kuwepo kijeshi Marekani
Jun 27, 2020 00:59Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kupambana na uhalifu na mihadarati imetangaza katika ripoti yake ya kila mwaka kuwa, tani 6,400 za madawa ya kulevya yanayotokana na mpopi zilizalishwa nchini Afghanistan katika mwaka uliopita wa 2019.