Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia kuwa Marekani inaunga mkono magaidi wa Daesh na Al Qaeda

    Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia kuwa Marekani inaunga mkono magaidi wa Daesh na Al Qaeda

    Jun 07, 2023 10:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema Marekani inaunga mkono makundi ya kigaidi nchini Afghanistan kwa lengo la kuliyumbisha eneo.

  • Kuongezeka idadi ya wahitaji wa misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan

    Kuongezeka idadi ya wahitaji wa misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan

    Jun 06, 2023 12:10

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imetangaza katika taarifa yake kwamba, tathmini mpya inaonyesha kuwa, idadi ya watu wanaohitajia misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan imeongezeka.

  • Jumatano, 31 Mei, 2023

    Jumatano, 31 Mei, 2023

    May 31, 2023 01:18

    Leo ni Jumatano tarehe 11 Mfunguo Pili Dhulqaada 1444 Hijria sawa na tarehe 31 Mei 2023.

  • Mamia ya athari za kale za Afghanistan zilizoibiwa wakati wa uvamizi wa Marekani zarejshwa nchini + Video

    Mamia ya athari za kale za Afghanistan zilizoibiwa wakati wa uvamizi wa Marekani zarejshwa nchini + Video

    May 29, 2023 01:31

    Mamia ya vipande vya athari za kale zilizoibiwa wakati wa uvamizi na vita vilivyoanzishwa na wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan vimerejeshwa kwenye jumba la makumbusho la nchi hiyo.

  • Askari 2 wa Iran wauawa katika shambulio la kichokozi la Taliban; utulivu warejea

    Askari 2 wa Iran wauawa katika shambulio la kichokozi la Taliban; utulivu warejea

    May 28, 2023 02:29

    Askari wawili wa mpakani wa Iran wameuawa shahidi huku raia wawili wakijeruhiwa katika shambulizi la kichokozi la wapiganaji wa Taliban katika mpaka wa Jamhuri ya Kiislamu na Afghanistan.

  • Russia: US inatuma magaidi Afghanistan kuyumbisha uthabiti wa eneo

    Russia: US inatuma magaidi Afghanistan kuyumbisha uthabiti wa eneo

    May 26, 2023 09:45

    Russia imeituhumu Marekani kuwa inataka kutumia magenge ya kigaidi nchini Afghanistan kwa shabaha ya kuvuruga uthabiti katika eneo zima la Asia ya Kati.

  • Abdollahian: Iran haiitambui serikali ya sasa ya Afghanistan

    Abdollahian: Iran haiitambui serikali ya sasa ya Afghanistan

    May 26, 2023 01:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiutambua mfumo wa serikali unaoongoza hivi sasa nchini Afghanistan.

  • Kujiuzulu  Mullah Mohammad Hassan Akhund Mkuu wa serikali ya Taliban ya Afghanistan, na kuteuliwa mrithi wake

    Kujiuzulu Mullah Mohammad Hassan Akhund Mkuu wa serikali ya Taliban ya Afghanistan, na kuteuliwa mrithi wake

    May 19, 2023 01:36

    Duru za Afghanistan zimetangaza kuwa Mullah Mohammad Hassan Akhund aliyekuwa Waziri Mkuu wa serikali ya Taliban nchini humo amejiuzulu wadhifa huo na tayari mrithi wake ameteuliwa.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban aelekea Pakistan kukutana na wenzake wa China na Pakistan

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban aelekea Pakistan kukutana na wenzake wa China na Pakistan

    May 06, 2023 12:04

    Mawlawi Amir Khan Muttaqi, Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan, amewasili Islamabad akiongoza ujumbe maalumu kwa madhumuni ya kukutana na kufanya mazungumzo na mawaziri wenzake wa China Qin Gang na wa Pakistan Bilawal Bhutto-Zardari.

  • Rais wa Baraza la Usalama la UN: Hali ya Afghanistan ni tatizo sugu na gumu

    Rais wa Baraza la Usalama la UN: Hali ya Afghanistan ni tatizo sugu na gumu

    May 02, 2023 06:41

    Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amesema, hali ya Afghanistan ni "tatizo sugu na gumu sana" kuweza kushughulikiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS