-
Chad yakosoa ubabe na ukoloni wa Ufaransa
Jan 08, 2025 12:07Kufuatia kauli za Rais wa Ufaransa kwamba nchi za Afrika zimesahau kuishukuru Paris kwa kushiriki katika kile anachosema ni 'mapambano dhidi ya ugaidi' katika eneo la Sahel, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad amekosoa maneno hayo na kuyalaani.
-
Chad na Senegal zakerwa na matamshi ya Rais wa Ufaransa dhidi ya viongozi wa Afrika
Jan 07, 2025 08:48Chad imeelezwa kukerwa na kauli iliyotolewa na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron dhidi ya viongozi wa Afrika.
-
Ghana yafuta viza ya kuingia nchini humo kwa wenye pasi za kusafiria za Afrika
Jan 04, 2025 03:53Rais wa Ghana anayeondoka madarakani, Nana Akufo-Addo, ametangaza kuondoa viza ya kuingia nchini humo kwa wale wote wenye pasi za kusafria za Afrika.
-
Rais wa Kenya akiri hadharani: Vyombo vya usalama vimejichukulia mamlaka kinyume cha sheria
Jan 02, 2025 03:18Rais William Ruto wa Kenya kwa mara ya kwanza amekiri hadharani matumizi mabaya ya mamlaka yanayofanywa na vikosi vya usalama, kufuatia wimbi la utekaji nyara wenye utata ambao umezua maandamano makubwa ya upinzani nchini humo.
-
Rais wa Ufaransa akiri, Afrika imebadilika
Dec 22, 2024 08:48Wakati Ufaransa imepoteza kambi zake nyingi za kijeshi barani Afrika, sasa rais wa nchi hiyo, Emmanuel Macron, katika safari ya kimyakimya kwenye kituo cha mwisho cha operesheni za nchi hiyo huko Djibouti, amekiri kwamba: Afrika inabadilika kwa sababu maoni ya umma na Serikali yamo katika hali ya kubadilika, hivyo nafasi yetu barani Afrika pia itabadilika.
-
Wananchi wa Mauritania waandamana kulaani jinai za Israel
Dec 07, 2024 23:00Wananchi wa Mauritania wameandamana na kulaani vikali mashambulio ya utawala haramu za Israel na jinai zake dhidi ya wananchi wa Ukanda wa Gaza.
-
Watu karibu 100 wamepoteza maisha katika ghasia kubwa wakati wa mechi ya soka huko Guinea Conakry
Dec 02, 2024 08:36Ripoti zinasema kuwa vurugu zilitokeka jana wakati wa mechi kati ya timu ya soka ya Labe na Nzerekore huko Nzerekore, jiji la pili kwa ukubwa huko Guinea magharibi mwa Afrika.
-
Zaidi ya mawaziri 40 wa Afrika wakutana nchini Russia
Nov 09, 2024 07:08Mkutano wa kwanza wa Mawaziri wa Jukwaa la Ushirikiano wa Russia na Afrika umeanza leo katika mji wa pwani wa Sochi, kusini mwa Russia; kuashiria muundo mpya wa kawaida wa mazungumzo kufuatia mikutano ya kilele kati ya pande mbili hizo.
-
Chad yakanusha kuwaua raia katika mashambulizi ya anga dhidi ya wanamgambo
Nov 02, 2024 23:40Serikali ya Chad imekanusha vikali ripoti kwamba jeshi lake liliwashambulia raia katika operesheni dhidi ya wanamgambo wanaobeba silaha.
-
UPSR: Afrika inajua kuwa BRICS imebadilisha mlingano wa jiopolitiki duniani
Oct 23, 2024 22:49Kiongozi mwandamizi wa chama kimoja cha upinzani nchini Cameroon amesema jumuiya ya BRICS ni mbadala halisi wa kuleta mlingano kwenye jiopolitiki duniani na kusisitiza kwamba, nchi za Afrika zinaelewa fika suala hili.