-
Nchi za Afrika zakutana Zanzibar kujadili maji safi na taka
Nov 15, 2022 04:21Nchi 42 za Afrika zinakutana Zanzibar nchini Tanzania kuanzia leo kujadili na kubadilishana uzoefu kuhusu udhibiti wa sekta ya maji safi na taka Afrika.
-
Bidhaa za Iran zinazidi kupata umaarufu barani Afrika
Nov 13, 2022 01:11Kaimu Mkuu wa Kituo cha Biashara ya Iran na Afrika amesema: "Inatabiriwa kuwa kwa kasi ya sasa ya ustawi wa biashara ya Iran na Afrika katika mwaka huu (1401 Hijria Shamsia) kiwango cha mauzo ya bidhaa za Iran barani Afrika kitafika dola bilioni 1.8.
-
Kesi 6,883 za Ndui ya Nyani ziripotiwa katika nchi 13 za Afrika
Oct 29, 2022 00:50Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema kesi 6,883 za ugonjwa wa Ndui ya Nyani (Monkeypox) zimeripotiwa katika nchi 13 za bara Afrika tangu mwanzoni mwa mwaka huu 2022 hadi sasa.
-
Mafuriko yasababisha watu milioni 3.4 kupoteza makazi yao magharibi, katikati mwa Afrika
Oct 29, 2022 00:50Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema mamilioni ya watu wamepoteza makazi yao katika nchi za magharibi na katikati mwa Afrika kutokana na mafuriko.
-
Takwa la Umoja wa Afrika kwa Wamagharibi la kuamiliana kwa heshima na mataifa masikini
Oct 25, 2022 23:01Kupamba moto vita vya Russia na Ukraine na kusambaa mgogoro wa kiuchumi katika akthari ya mataifa ya dunia, kumezifanya nchi za Kiafrika zitengwe na kutupwa mkono zaidi.
-
Maandamano ya kupinga siasa za Marekani nchini Ethiopia
Oct 25, 2022 06:27Sambamba na kushtadi mapigano nchini Ethiopia na kuvunjwa makubalianao ya usitishaji vita ya miezi mitano na kuwaka tena moto wa vita katika nchi hiyo, maelfu ya Waethiopia walifanya maandamano ya nchi nzima siku ya Jumamosi kulaani uingiliaji wa madola ya kigeni, hasa Marekani, katika masuala ya ndani ya nchi yao.
-
Hujuma za magaidi zaongezeka kwa 300% Afrika licha ya operesheni za US
Oct 24, 2022 00:32Ripoti mpya ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inaonesha kuwa, mashambulizi ya magenge ya wanamgambo yameongezeka kwa asilimia 300 katika nchi za Afrika katika kipindi cha muongo mmoja uliopita.
-
Afrika mhanga wa matokeo na taathira ya migogoro ya kimataifa
Oct 17, 2022 02:18Akthari ya mataifa ya Afrika ambayo katika miongo ya hivi karibuni yalifanya hima kubwa ya kujenga miundomsingi yao ya kiuchumi kwa minajili ya kuboresha hali ya uchumi wao, filihali yanahesabiwa kuwa wahanga wakubwa zaidi wa matukio ya sasa ulimwenguni.
-
Oxfam: Ukame unatishia maisha ya maelfu ya watu barani Afrika
Oct 15, 2022 23:44Shirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam limetangaza kuwa, ukame barani Afrika huenda ukaua maelfu ya watu katika siku za usoni.
-
UN: Watu karibu milioni 4 wanabikiliwa na utumwa mamboleo Afrika
Oct 08, 2022 07:44Taasisi za Umoja wa Mataifa zimetoa ripoti mpya inayoonesha kushamiri kwa utumwa mamboleo katika nchi za Afrika, ambapo katika kila watu 1000, 29 wanafanyishwa kazi za sulubu barani humo.