-
Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran
Jun 01, 2022 03:37Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Tehran.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kuimarishwa uhusiano na Afrika
May 23, 2022 02:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini na kusema: "Iran haina vizingiti vyovyote katika kustawisha uhusiano na Afrika Kusini na hasa serikali mpya ina azma ya kuimarisha zaidi uhusiano na nchi za Afrika."
-
Guinea Conakry yaainisha muhula wa kipindi cha mpito cha miezi 36
May 12, 2022 03:42Baraza la Taifa la Guinea la The Rally for Development (CNRD) limetangaza kipindi cha serikali ya mpito nchini humo kuelekea katika utawala wa kiraia kwa muda wa miaka mitatu au miezi 36.
-
Wizara ya Mambo ya Nje: Usafirishaji wa bidhaa za Iran Afrika umeongezeka kwa 120%
May 10, 2022 22:11Mkuu wa Idara ya Magharibi na Katikati mwa Afrika ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, usafirishaji wa bidhaa kuelekea nchi za bara la Afrika umeongezeka kwa asilimia 120.
-
Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro mkubwa wa chakula Afrika
May 07, 2022 22:13Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa kupanda pakubwa bei ya chakula na mafuta kutokana na vita vya Ukraine, kumeibua mgogoro mkubwa wa chakula barani Afrika ambao haujawahi kushuhudiwa.
-
Ugonjwa wa Surua waongezeka barani Afrika
May 03, 2022 06:21Taarifa zinasema kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la ugonjwa wa surua barani Afrika tokea mwanzo wa mwaka huu wa 2022.
-
Nchi za Afrika Magharibi zakubaliana kuhusu mkakati wa hali ya hewa
May 01, 2022 06:39Viongozi wa Jumuiya ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wamekubaliana kuhusu stratijia ya kikanda kwa ajili ya kushughulikia ongezeko la joto duniani katika kipindi cha miaka kumi ijayo.
-
IMF: Ongezeko la bei ya chakula na mafuta litachochea machafuko ya kijamii Afrika
Apr 29, 2022 22:19Mfuko wa Fedha Duniani (IMF) umetahadharisha kuwa, kupanda kwa bei ya chakula na mafuta kutokana na vita vinavyoendelea huko Ukraine kunaweza kusababisha machafuko ya kijamii barani Afrika.
-
Chanjo ya Malaria imewafikia zaidi ya watoto milioni moja barani Afrika
Apr 22, 2022 03:31Watoto zaidi ya milioni moja huko Ghana, Kenya na Malawi tayari wamepata dozi ya chanjo ya kwanza ya kujilinda na ugonjwa wa malaria isiyopungua moja.
-
Uingereza yakosolewa kwa mpango wake ulio dhidi ya binadamu wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi
Apr 17, 2022 21:57Kufuatia kuongezeka idadi ya wakimbizi wanaoingia Uingereza kutoka nchi mbali mbali duniani, wakuu wa London wamechukua hatua kali kuzuia wimbi hilo ambapo sasa wanaoingia nchini humo kama wakimbizi watahamishiwa Rwanda huku faili zao zikichunguzwa.