-
Umoja wa Mataifa waonya juu ya kuongezeka mgogoro wa chakula barani Afrika
Apr 11, 2022 22:31Wakati machafuko ya kisiasa na kiuchumi yakiongezeka na janga la Covid-19 likiendelea, Umoja wa Mataifa umeonya katika ripoti yake ya karibuni juu ya hatari ya mgogoro wa chakula, haswa katika nchi za Kiafrika.
-
Euro bilioni 1.8 zakusanywa kwa ajili ya kupambana na njaa Afrika Magharibi
Apr 08, 2022 22:00Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa, Euro bilioni 1.8 zimekusanywa kwa ajili ya kupambana na janga la njaa Afrika Magharibi.
-
Iran: Afrika ni bara lenye fursa nyingi
Apr 02, 2022 22:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ina azma thabiti na imejitolea kwa dhati kuona bara la Afrika linafanikiwa na kustawi.
-
Mkuu wa Benki ya Maendeleo Afrika: Vita vya Ukraine vinaweza kusababisha mgogoro wa chakula Afrika
Mar 29, 2022 22:30Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) ambayo ni mkopeshaji mkubwa barani humo anafanya kila awezalo kuzuia bara la Afrika lisikabiliwa na mgogoro wa chakula kutokana na athari mbaya za vita vya Rusia na Ukraine.
-
Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa
Mar 24, 2022 22:00Mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa, Éric Zemmour amesema atawafukuza malaki ya wahamiaji wa Kiafrika, iwapo atachaguliwa kuwa rais wa nchi hiyo ya Ulaya mwezi ujao.
-
UN: Watu milioni 500 hawana usalama wa maji barani Afrika
Mar 22, 2022 01:58Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya milioni 500 katika nchi 19 za bara Afrika wanasumbuliwa na ukosefu wa maji safi na salama.
-
Sierra Leone: Si haki Afrika kutowakilishwa katika Baraza la Usalama la UN
Mar 13, 2022 04:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Sierra Leone ametoa mwito wa kupewa nchi ya Kiafrika uanachama wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Kwa akali watu 17 wauawa katika mapigano ya makundi hasimu Darfur, Sudan
Mar 11, 2022 20:33Kwa akali watu 17 wameuawa huko Darfur magharibi mwa Sudan baada ya kuibuka mapigano baina ya makundi mawili hasimu.
-
Afrika Kusini yataka Afrika itumie sarafu moja itakayoimarisha biashara
Mar 11, 2022 04:41Afrika Kusini imesema inaunga mkono wazo la kuanzisha sarafu moja ambayo itapiga jeki miamala ya kibiashara miongoni mwa nchi za bara hilo.
-
Karibu watoto milioni tatu kupata chanjo ya polio Malawi
Mar 04, 2022 23:23Madaktari na wauguzi watatoa chanjo za kujikinga na ugonjwa wa polio kwa watoto wasiopungua milioni 2.9 huko Malawi. Hayo yameelezwa na Umoja wa Mataifa baada ya mtoto wa kike mwenye umri wa miaka mitatu kuugua ugonjwa huo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Lilongwe.