-
Matukio ya Spoti, Nov 12
Nov 12, 2018 03:55Ufuatao ni ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita, likiwemo Debi la Machester
-
Nchi za Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika kushirikiana mipaka
Nov 07, 2018 13:24Nchi nane za Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika zimeazimia kuanzisha shirika la kiufundi la ushirikiano mipakani litakalowezesha utekelezaji wa masuala 22 kwa lengo la kuboresha ushirika na kuimarisha utendaji wa operesheni za mipakani.
-
Bunge la Afrika lamaliza vikao vyake nchini Rwanda + Sauti
Nov 06, 2018 03:28Bunge la Afrika limekamilisha vikao vyake vya wiki mbili mjini Kigali Rwanda kwa kuanzisha tunzo maalumu ya uongozi bora barani Afrika kwa hisani ya hayati Kofi Annan, Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa. Mwandishi wetu Sylvanus Karemera na ripoti zaidi...
-
Guterres alaani kuuawa askari wa Umoja wa Mataifa nchini Mali
Oct 28, 2018 12:06Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mauaji dhidi ya askari wa kusimamia amani wa umoja huo katika nchi ya magharibi mwa Afrika ya Mali.
-
Uchunguzi: Mlipuko wa Ebola magharibi mwa Afrika umesababisha hasara ya dola bilioni 53
Oct 24, 2018 23:04Virusi vya Ebola vilivyozikumba nchi za magharibi mwa Afrika hususan Sierra Leone, Guinea and Liberia mwaka 2014 vilisababisha hasara inayokadiriwa kufikia dola bilioni 53.
-
Kuanza kazi bunge la tano la Afrika; matatizo na malengo yaliyopo mbele yake
Oct 24, 2018 08:48Kikao cha kwanza cha kawaida cha bunge la tano la Umoja wa Afrika (AU) kimeanza katika mji mkuu wa Rwanda, Kigali, lengo likiwa ni kufanya marekebisho ya miundo ya kiutawala na kidemokrasia na vilevile kurahisisha mahusiano ya kibiashara baina ya nchi za bara hilo.
-
Kongamano la Mazungumzo ya Tamaduni za Iran na Afrika lafanyika A. Kusini
Oct 22, 2018 12:53Kongamano la Mazungumzo Baina ya Tamaduni za Iran na Afrika limefanyika leo Pretoria nchini Afrika Kusini likiwashirikisha wanafikra wa Kiafrika.
-
Paul Biya atangazwa mshindi wa urais nchini Cameroon
Oct 22, 2018 12:21Pau Biya, kiongozi wa zamani zaidi barani Afrika ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika tarehe 7 mwezi huu wa Oktoba, kwa kupata asilimia 71 ya kura. Hayo yametangazwa na Baraza la Katiba la nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Ulimwengu wa Spoti, Okt 22
Oct 22, 2018 03:38Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tuangazie baadhi ya matukio ya michezo yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa……
-
Wacomoro waandamana kupinga jaribio la Rais wa nchi hiyo la kurefusha utawala wake
Oct 16, 2018 03:19Wananchi wa Comoro jana walifanya maandamano na kufunga barabara za mji wa Anjouan wakipinga jitihada zinazofanywa na Rais Azali Assoumani wa nchi hiyo za kutaka kurefusha kipindi cha uongozi wake na kukomesha mfumo wa kuongoza kwa zamu baina ya visiwa vitatu vikuu vinavyounda Jamhuri ya watu wa Comoro.