-
Namibia kuwapokonya wazungu mashamba kama Afrika Kusini
Oct 04, 2018 10:41Rais wa Namibia ameahidi kwamba atatwaa mashamba ya kilimo yanayomilikiwa na Wazungu nchini humo na kuyagawa kwa wananchi wazalendo wa nchi hiyo.
-
Waafrika Kusini waandamana kupinga ukosefu wa amani
Oct 01, 2018 23:42Maandamano yaliyofanywa na wakazi wa jiji la Johannesburg nchini Afrika Kusini kulalamikia hali mbaya ya ukosefu wa usalama yamegeuka na kuwa ghasia na machafuko makubwa.
-
Afrika Kusini yakanusha taarifa za kurejea tena balozi wake mjini Tel Aviv
Sep 26, 2018 23:30Serikali ya Afrika Kusini imekanusha taarifa zilizoenea kwamba, imemrejesha huko Tel Aviv balozi wake ambaye ilimwita nyumbani mwezi Mei mwaka huu.
-
Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kupasishwa mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia
Sep 26, 2018 00:36Rais wa Afrika Kusini amezitaka nchi zote duniani kutia saini mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia wa mwaka 2017 TPNW kwa kifupi.
-
Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili
Sep 18, 2018 02:47Waziri wa Elimu ya Msingi wa Afrika Kusini amesema shule za nchi hiyo zitaanza kufunza lugha ya Kiswahili kuanzia mwaka 2020.
-
Wakulima Afrika Kusini: Trump! Tuache tupumue!
Aug 26, 2018 22:50Wakulima nchini Afrika Kusini wamekasirishwa na matamshi ya kichochezi ya rais wa Marekani, Donald Trump na kumtaka asijiingize katika mambo yasiyomuhusu.
-
Uhusiano wa Marekani na Afrika Kusini matatani, misimamo ya kibaguzi ya Trump yazusha mtafaruku
Aug 25, 2018 06:44Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akidhihirisha misimamo yake ya kibaguzi tangu wakati wa kampeni za uchaguzi wa rais na hata baada ya kuingia Ikulu ya White House.
-
Afrika Kusini nayo yajibu mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani dhidi yake
Aug 22, 2018 09:57Serikali ya Afrika Kusini imelalamikia vikali mashinikizo ya serikali ya Marekani dhidi ya uchumi wa nchi hiyo na imeamua kutopeleka tena mifugo yake ya jamii ya kuku huko Marekani kama njia ya kupinga ushuru mpya ziliowekewa bidhaa zake na serikali ya Donald Trump.
-
ANC yaitaka serikali itwae ardhi kwa wale wote wanaomiliki zaidi ya hekta elfu 12 nchini Afrika Kusini
Aug 15, 2018 22:03Mwenyekiti taifa wa chama tawala nchini Afrika Kusini cha (ANC) amenukuliwa wiki hii akisema kuwa serikali inapasa kuchukua ardhi za wale wanaomiliki zaidi ya hekta elfu 12 bila ya kuwalipa fidia; matamshi ambayo yamepelekea kupungua thamani ya pesa ya nchi hiyo.
-
Mahakama ya juu ya Afrika Kusini yaagiza kuondolewa Mwendesha Mashtaka Mkuu aliyeteuliwa na Zuma
Aug 14, 2018 03:49Mahakama ya Katiba ya Afrika Kusini imebatilisha uteuzi wa Mwendesha Mashtaka Mkuu ambaye alipewa kazi baada ya rais wa zamani wa nchi hiyo Jacob Zuma kumfuta kazi aliyekuwepo kabla yake. Mahakama hiyo imetaka Mwendesha Mashtaka Mkuu wa zamani arejeshwe kazini katika muda wa siku 90.