Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Namibia kuwapokonya wazungu mashamba kama Afrika Kusini

    Namibia kuwapokonya wazungu mashamba kama Afrika Kusini

    Oct 04, 2018 10:41

    Rais wa Namibia ameahidi kwamba atatwaa mashamba ya kilimo yanayomilikiwa na Wazungu nchini humo na kuyagawa kwa wananchi wazalendo wa nchi hiyo.

  • Waafrika Kusini waandamana kupinga ukosefu wa amani

    Waafrika Kusini waandamana kupinga ukosefu wa amani

    Oct 01, 2018 23:42

    Maandamano yaliyofanywa na wakazi wa jiji la Johannesburg nchini Afrika Kusini kulalamikia hali mbaya ya ukosefu wa usalama yamegeuka na kuwa ghasia na machafuko makubwa.

  • Afrika Kusini yakanusha taarifa za kurejea tena balozi wake mjini Tel Aviv

    Afrika Kusini yakanusha taarifa za kurejea tena balozi wake mjini Tel Aviv

    Sep 26, 2018 23:30

    Serikali ya Afrika Kusini imekanusha taarifa zilizoenea kwamba, imemrejesha huko Tel Aviv balozi wake ambaye ilimwita nyumbani mwezi Mei mwaka huu.

  • Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kupasishwa mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia

    Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kupasishwa mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia

    Sep 26, 2018 00:36

    Rais wa Afrika Kusini amezitaka nchi zote duniani kutia saini mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia wa mwaka 2017 TPNW kwa kifupi.

  • Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili

    Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili

    Sep 18, 2018 02:47

    Waziri wa Elimu ya Msingi wa Afrika Kusini amesema shule za nchi hiyo zitaanza kufunza lugha ya Kiswahili kuanzia mwaka 2020.

  • Wakulima Afrika Kusini: Trump! Tuache tupumue!

    Wakulima Afrika Kusini: Trump! Tuache tupumue!

    Aug 26, 2018 22:50

    Wakulima nchini Afrika Kusini wamekasirishwa na matamshi ya kichochezi ya rais wa Marekani, Donald Trump na kumtaka asijiingize katika mambo yasiyomuhusu.

  • Uhusiano wa Marekani na Afrika Kusini matatani, misimamo ya kibaguzi ya Trump yazusha mtafaruku

    Uhusiano wa Marekani na Afrika Kusini matatani, misimamo ya kibaguzi ya Trump yazusha mtafaruku

    Aug 25, 2018 06:44

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akidhihirisha misimamo yake ya kibaguzi tangu wakati wa kampeni za uchaguzi wa rais na hata baada ya kuingia Ikulu ya White House.

  • Afrika Kusini nayo yajibu mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani dhidi yake

    Afrika Kusini nayo yajibu mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani dhidi yake

    Aug 22, 2018 09:57

    Serikali ya Afrika Kusini imelalamikia vikali mashinikizo ya serikali ya Marekani dhidi ya uchumi wa nchi hiyo na imeamua kutopeleka tena mifugo yake ya jamii ya kuku huko Marekani kama njia ya kupinga ushuru mpya ziliowekewa bidhaa zake na serikali ya Donald Trump.

  • ANC yaitaka serikali itwae ardhi kwa wale wote wanaomiliki zaidi ya hekta elfu 12 nchini Afrika Kusini

    ANC yaitaka serikali itwae ardhi kwa wale wote wanaomiliki zaidi ya hekta elfu 12 nchini Afrika Kusini

    Aug 15, 2018 22:03

    Mwenyekiti taifa wa chama tawala nchini Afrika Kusini cha (ANC) amenukuliwa wiki hii akisema kuwa serikali inapasa kuchukua ardhi za wale wanaomiliki zaidi ya hekta elfu 12 bila ya kuwalipa fidia; matamshi ambayo yamepelekea kupungua thamani ya pesa ya nchi hiyo.

  • Mahakama ya juu ya Afrika Kusini yaagiza kuondolewa Mwendesha Mashtaka Mkuu aliyeteuliwa na Zuma

    Mahakama ya juu ya Afrika Kusini yaagiza kuondolewa Mwendesha Mashtaka Mkuu aliyeteuliwa na Zuma

    Aug 14, 2018 03:49

    Mahakama ya Katiba ya Afrika Kusini imebatilisha uteuzi wa Mwendesha Mashtaka Mkuu ambaye alipewa kazi baada ya rais wa zamani wa nchi hiyo Jacob Zuma kumfuta kazi aliyekuwepo kabla yake. Mahakama hiyo imetaka Mwendesha Mashtaka Mkuu wa zamani arejeshwe kazini katika muda wa siku 90.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS