-
Waislamu Afrika Kusini walaani mauaji ya kikatili msikitini
Jun 15, 2018 11:07Baraza la Kisheria la Waislamu la Afrika Kusini (MJC) limelaani vikali shambulizi la kikatili lililotokea Alhamisi katika eneo la Malmesbury karibu na mji wa Cape Town, na kusababisha vifo vya waumini wawili wa Kiislamu na wengine wawili kujeruhiwa.
-
Zarif arejea Tehran kutokea Afrika Kusini
Jun 14, 2018 10:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amerejea hapa Tehran leo asubuhi baada ya kumaliza ziara rasmi nchini Afrika Kusini ambako alionana na kufanya mazungumzo na viongozi wa mbalimbali wa nchi hiyo.
-
Watu wawili wauawa kwa kudungwa visu msikitini nchini Afrika Kusini
Jun 14, 2018 03:42Kwa akali watu wawili wamethibitishwa kuuawa kwa kudungwa visu wakiwa msikitini, baada ya mtu mmoja kuvamia eneo hilo la ibada nchini Afrika Kusini.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wakutaka mjini Pretoria
Jun 12, 2018 23:53Dk Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran usiku wa kuamkia leo ameonana na waziri mwenzake wa Afrika Kusini na kujadiliana naye masuala muhimu ya pande mbili.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kukutana na Rais wa Afrika Kusini
Jun 12, 2018 04:17Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ameelekea Afrika Kusini akiongoza ujumbe wa kisiasa na kiuchumi.
-
Mada za milipuko zagunduliwa katika msikiti wa Imam Hussein AS Durban Afrika Kusini
May 14, 2018 02:59Polisi nchini Afrika Kusini imegundua kifurushi kinachosadikiwa kuwa mada za milipuko katika msikiti wa Imam Hussein AS katika mji mdogo wa Verulam nje ya Durban msikiti ambao juma lililopita ulivamiwa na magaidi.
-
Iran yalaani shambulizi dhidi ya Waislamu msikitini Afrika Kusini
May 12, 2018 03:05Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la hivi karibuni dhidi ya msikiti mmoja karibu na mji wa Durban nchini Afrika Kusini.
-
Afrika Kusini yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran, yakosoa Marekani kujiondoa
May 10, 2018 23:33Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza kuwa nchi yake inaunga mkono mpatano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekeelzwaji, JCPOA, huku akikosoa uamuzi wa Marekani kujiondoa katika mapatnao hayo.
-
Imamu akatwa shingo na kuuawa katika hujuma msikitini Afrika Kusini
May 10, 2018 23:02Magaidi wakufurishaji wameuvamia msikiti karibu na mji wa Durban Afrika Kusini na kumua shahidi Imamu kwa kumkata shingo na kuwajeruhi waumini wengine kadhaa.
-
Mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Afrika Kusini yawekewa lengo la dola bilioni moja ifikapo mwaka 2020
May 06, 2018 22:30Mkurugenzi Mkuu wa masuala ya nchi za Kiarabu na Kiafrika wa Shirika la Ustawi wa Biashara la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini zimeweka lengo la kustawisha mabadilishano ya kibiashara baina yao na kufikia kiwango cha dola bilioni moja ifikapo mwaka 2020.