Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Waendesha mashtaka wa Afrika Kusini kutangaza uamuzi kuhusu tuhuma za ufisadi zinazomkabili Zuma

    Waendesha mashtaka wa Afrika Kusini kutangaza uamuzi kuhusu tuhuma za ufisadi zinazomkabili Zuma

    Feb 26, 2018 10:54

    Waendesha mashtaka wa serikali ya Afrika Kusini wanatazamia kutangaza katika muda wa wiki mbili zijazo iwapo watazirejesha tena tuhuma zinazomkabili Jacob Zuma, rais wa nchi hiyo aliyejiuzulu hivi karibuni au la.

  • Rais Rouhani wa Iran ampongeza Ramaphosa, Rais mpya wa Afrika Kusini

    Rais Rouhani wa Iran ampongeza Ramaphosa, Rais mpya wa Afrika Kusini

    Feb 26, 2018 10:42

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia salamu za pongezi Cyril Ramaphosa kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Afrika Kusini.

  • Rais wa Afrika Kusini atoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Iran

    Rais wa Afrika Kusini atoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Iran

    Feb 23, 2018 04:19

    Rais mpya wa Afrika Kusini ametoa mkono wa rambirambi kufuatia kuanguka ndege ya abiria Jumapili asubuhi hapa Iran na kuua watu wote 66 waliokuwemo kwenye ndege hiyo.

  • Ramaphosa aahidi kuwapokonya mashamba wazungu, Afrika Kusini

    Ramaphosa aahidi kuwapokonya mashamba wazungu, Afrika Kusini

    Feb 22, 2018 23:32

    Rais mpya wa Afrika Kusini ameahidi kwamba atatwaa mashamba ya kilimo yanayomilikiwa na wazungu nchini humo tangu mwaka 1600 na kuyagawa kwa wazalendo wa nchi hiyo.

  • Kituo cha polisi chashambuliwa Afrika Kusini, polisi wauawa

    Kituo cha polisi chashambuliwa Afrika Kusini, polisi wauawa

    Feb 21, 2018 10:58

    Watu waliokuwa na silaha wameshambulia kituo cha polisi katika mji mdogo wa Nqcobo nchini Aftrika Kusini na kuua polisi wasiopungua 5 na mwanajeshi mmoja.

  • Ramaphosa kufanya mabadiliko baraza la mawaziri Afrika Kusini

    Ramaphosa kufanya mabadiliko baraza la mawaziri Afrika Kusini

    Feb 20, 2018 23:43

    Rais mpya wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amesema sasa umewadia wakati wa kufanya mabadiliko katika baraza la mawaziri huku kukiwa na tetesi kuhusu kuendelea au kutoendelea kubakia Waziri wa Fedha, Malusi Nkanyezi Gigaga.

  • Ramaphosa achaguliwa kuwa Rais mpya wa Afrika Kusini

    Ramaphosa achaguliwa kuwa Rais mpya wa Afrika Kusini

    Feb 15, 2018 12:51

    Bunge la Afrika Kusini limemchagua Cyril Ramaphosa ambaye ni Mwenyekityi wa chama tawala cha ANC kuwa rais mpya wa nchi hiyo.

  • Afrika Kusini yatangaza ukame kuwa janga la kitaifa

    Afrika Kusini yatangaza ukame kuwa janga la kitaifa

    Feb 13, 2018 23:23

    Afrika Kusini imetangaza ukame unaoikumba nchi hiyo kuwa janga la kitaifa kutokana na hali mbaya inayoikumba nchi hiyo baada ya mvua kukosa kunyesha ipasavyo kwa muda wa miaka mitatu mfululizo.

  • Chama tawala Afrika Kusini chamwamuru Rais Zuma aachie madaraka; atatangaza msimamo wake kesho

    Chama tawala Afrika Kusini chamwamuru Rais Zuma aachie madaraka; atatangaza msimamo wake kesho

    Feb 13, 2018 13:19

    Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimemwamuru Rais wa nchi hiyo Jacob Zuma ajiuzulu kama kiongozi wa nchi, baada ya mazungumzo marefu ya kuamua hatima ya kiongozi huyo ambaye kipindi cha uongozi wake kilichogubikwa na kashfa za ufisadi kimelitia doa na kuligawa taifa hilo katika enzi za baada ya utawala wa ubaguzi wa rangi wa Apatheidi.

  • Kupatiwa Rais Zuma wa Afrika Kusini masaa 48 ya kujiuzulu

    Kupatiwa Rais Zuma wa Afrika Kusini masaa 48 ya kujiuzulu

    Feb 13, 2018 09:38

    Kufuatia kushtadi mgogoro nchini Afrika Kusini, chama tawala cha cha ANC kimempatia Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo masaa 48 ili ajiuzulu au ajiandae kuachia ngazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS