-
Waendesha mashtaka wa Afrika Kusini kutangaza uamuzi kuhusu tuhuma za ufisadi zinazomkabili Zuma
Feb 26, 2018 10:54Waendesha mashtaka wa serikali ya Afrika Kusini wanatazamia kutangaza katika muda wa wiki mbili zijazo iwapo watazirejesha tena tuhuma zinazomkabili Jacob Zuma, rais wa nchi hiyo aliyejiuzulu hivi karibuni au la.
-
Rais Rouhani wa Iran ampongeza Ramaphosa, Rais mpya wa Afrika Kusini
Feb 26, 2018 10:42Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia salamu za pongezi Cyril Ramaphosa kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Afrika Kusini.
-
Rais wa Afrika Kusini atoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Iran
Feb 23, 2018 04:19Rais mpya wa Afrika Kusini ametoa mkono wa rambirambi kufuatia kuanguka ndege ya abiria Jumapili asubuhi hapa Iran na kuua watu wote 66 waliokuwemo kwenye ndege hiyo.
-
Ramaphosa aahidi kuwapokonya mashamba wazungu, Afrika Kusini
Feb 22, 2018 23:32Rais mpya wa Afrika Kusini ameahidi kwamba atatwaa mashamba ya kilimo yanayomilikiwa na wazungu nchini humo tangu mwaka 1600 na kuyagawa kwa wazalendo wa nchi hiyo.
-
Kituo cha polisi chashambuliwa Afrika Kusini, polisi wauawa
Feb 21, 2018 10:58Watu waliokuwa na silaha wameshambulia kituo cha polisi katika mji mdogo wa Nqcobo nchini Aftrika Kusini na kuua polisi wasiopungua 5 na mwanajeshi mmoja.
-
Ramaphosa kufanya mabadiliko baraza la mawaziri Afrika Kusini
Feb 20, 2018 23:43Rais mpya wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amesema sasa umewadia wakati wa kufanya mabadiliko katika baraza la mawaziri huku kukiwa na tetesi kuhusu kuendelea au kutoendelea kubakia Waziri wa Fedha, Malusi Nkanyezi Gigaga.
-
Ramaphosa achaguliwa kuwa Rais mpya wa Afrika Kusini
Feb 15, 2018 12:51Bunge la Afrika Kusini limemchagua Cyril Ramaphosa ambaye ni Mwenyekityi wa chama tawala cha ANC kuwa rais mpya wa nchi hiyo.
-
Afrika Kusini yatangaza ukame kuwa janga la kitaifa
Feb 13, 2018 23:23Afrika Kusini imetangaza ukame unaoikumba nchi hiyo kuwa janga la kitaifa kutokana na hali mbaya inayoikumba nchi hiyo baada ya mvua kukosa kunyesha ipasavyo kwa muda wa miaka mitatu mfululizo.
-
Chama tawala Afrika Kusini chamwamuru Rais Zuma aachie madaraka; atatangaza msimamo wake kesho
Feb 13, 2018 13:19Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimemwamuru Rais wa nchi hiyo Jacob Zuma ajiuzulu kama kiongozi wa nchi, baada ya mazungumzo marefu ya kuamua hatima ya kiongozi huyo ambaye kipindi cha uongozi wake kilichogubikwa na kashfa za ufisadi kimelitia doa na kuligawa taifa hilo katika enzi za baada ya utawala wa ubaguzi wa rangi wa Apatheidi.
-
Kupatiwa Rais Zuma wa Afrika Kusini masaa 48 ya kujiuzulu
Feb 13, 2018 09:38Kufuatia kushtadi mgogoro nchini Afrika Kusini, chama tawala cha cha ANC kimempatia Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo masaa 48 ili ajiuzulu au ajiandae kuachia ngazi.