-
Hamas yakaribisha takwa la ANC la kupunguzwa uhusiano wa kidiplomasia wa Afrika Kusini na Israel
Dec 22, 2017 12:13Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imekaribisha kwa mikono miwili takwa la chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kwa serikali ya nchi hiyo la kupunguzwa kiwango cha ushirikiano wa kidiplomasia wa nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa atembelea Libya
Dec 22, 2017 00:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Jean-Yves Le Drian ameyataka makundi hasimu nchini Libya kuheshimu juhudi za upatanishi za Umoja wa Mataifa na kujiandaa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2018
-
Afrika Kusini kuteremsha hadhi ya ubalozi wake huko Israel
Dec 21, 2017 12:48Afrika Kusini imesema kuwa itateremsha hadhi ya mahusiano yake ya kidiplomasia huko Israel ikiwa ni radiamali kwa uamuzi wa Marekani wa kuutambua mji wa Quds kuwa ni mji mkuu wa Israel.
-
Mlipuko wa 'bacteria' waua makumi ya watu nchini Afrika Kusini
Dec 06, 2017 04:31Kwa akali watu 36 wamepoteza maisha kutoka na mlipuko wa vijidudumaradhi (bacteria) vinavyoathiri chakula nchini Afrika Kusini.
-
Afrika Kusini na Morocco kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia
Dec 03, 2017 11:03Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema nchi hiyo itafufua uhusiano wa kidiplomasia na Morocco, baada ya kupita zaidi ya muongo mmoja tangu nchi hiyo ya Kiarabu imuondoe balozi wake mjini Pretoria.
-
Mnangagwa arejea Zimbabwe, kuapishwa Ijumaa kumrithi Mugabe
Nov 22, 2017 13:02Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyepigwa kalamu nyekundu hivi karibuni na Rais Robert Mugabe aliyetangaza kujiuzulu hapo jana amerejea nchini akitokea Afrika Kusini.
-
Dakta Zarif: Wairani wanaoishi nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya Iran
Oct 25, 2017 01:07Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wairani walioko nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya taifa hili.
-
Zarif akutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini, wajadili uhusiano wa pande mbili
Oct 24, 2017 10:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini mjini Pretoria.
-
Iran na Afrika Kusini zaafikiana kuendelea kuimarisha uhusiano
Oct 23, 2017 10:28Afrika Kusini na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeafikiana kuhusu kuimarisha uhusiano wa nchi mbili katika sekta mbali mbali.
-
Safari ya Zarif barani Afrika, hatua nyingine ya kustawisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi
Oct 23, 2017 04:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Muhammad Javad Zarif jana Jumapili aliwasili nchini Afrika Kusini akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi kwa shabaha ya kufanya mazungumzo na viongozi wa serikali ya Pretoria.