Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Hamas yakaribisha takwa la ANC la kupunguzwa uhusiano wa kidiplomasia wa Afrika Kusini na Israel

    Hamas yakaribisha takwa la ANC la kupunguzwa uhusiano wa kidiplomasia wa Afrika Kusini na Israel

    Dec 22, 2017 12:13

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imekaribisha kwa mikono miwili takwa la chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kwa serikali ya nchi hiyo la kupunguzwa kiwango cha ushirikiano wa kidiplomasia wa nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa atembelea Libya

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa atembelea Libya

    Dec 22, 2017 00:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Jean-Yves Le Drian ameyataka makundi hasimu nchini Libya kuheshimu juhudi za upatanishi za Umoja wa Mataifa na kujiandaa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2018

  • Afrika Kusini kuteremsha hadhi ya ubalozi wake huko Israel

    Afrika Kusini kuteremsha hadhi ya ubalozi wake huko Israel

    Dec 21, 2017 12:48

    Afrika Kusini imesema kuwa itateremsha hadhi ya mahusiano yake ya kidiplomasia huko Israel ikiwa ni radiamali kwa uamuzi wa Marekani wa kuutambua mji wa Quds kuwa ni mji mkuu wa Israel.

  • Mlipuko wa 'bacteria' waua makumi ya watu nchini Afrika Kusini

    Mlipuko wa 'bacteria' waua makumi ya watu nchini Afrika Kusini

    Dec 06, 2017 04:31

    Kwa akali watu 36 wamepoteza maisha kutoka na mlipuko wa vijidudumaradhi (bacteria) vinavyoathiri chakula nchini Afrika Kusini.

  • Afrika Kusini na Morocco kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia

    Afrika Kusini na Morocco kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia

    Dec 03, 2017 11:03

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema nchi hiyo itafufua uhusiano wa kidiplomasia na Morocco, baada ya kupita zaidi ya muongo mmoja tangu nchi hiyo ya Kiarabu imuondoe balozi wake mjini Pretoria.

  • Mnangagwa arejea Zimbabwe, kuapishwa Ijumaa kumrithi Mugabe

    Mnangagwa arejea Zimbabwe, kuapishwa Ijumaa kumrithi Mugabe

    Nov 22, 2017 13:02

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyepigwa kalamu nyekundu hivi karibuni na Rais Robert Mugabe aliyetangaza kujiuzulu hapo jana amerejea nchini akitokea Afrika Kusini.

  • Dakta Zarif: Wairani wanaoishi nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya Iran

    Dakta Zarif: Wairani wanaoishi nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya Iran

    Oct 25, 2017 01:07

    Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wairani walioko nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya taifa hili.

  • Zarif akutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini, wajadili uhusiano wa pande mbili

    Zarif akutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini, wajadili uhusiano wa pande mbili

    Oct 24, 2017 10:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini mjini Pretoria.

  • Iran na Afrika Kusini zaafikiana kuendelea kuimarisha uhusiano

    Iran na Afrika Kusini zaafikiana kuendelea kuimarisha uhusiano

    Oct 23, 2017 10:28

    Afrika Kusini na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeafikiana kuhusu kuimarisha uhusiano wa nchi mbili katika sekta mbali mbali.

  • Safari ya Zarif barani Afrika, hatua nyingine ya kustawisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi

    Safari ya Zarif barani Afrika, hatua nyingine ya kustawisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi

    Oct 23, 2017 04:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Muhammad Javad Zarif jana Jumapili aliwasili nchini Afrika Kusini akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi kwa shabaha ya kufanya mazungumzo na viongozi wa serikali ya Pretoria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS