Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Afrika Kusini yakanusha kutumba jeshi Nigeria kupambana na Boko Haram

    Afrika Kusini yakanusha kutumba jeshi Nigeria kupambana na Boko Haram

    Mar 09, 2016 23:12

    Jeshi la Afrika Kusini limekanusha habari kuwa litatatuma askari nchini Nigeria kupambana na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.

  • Rais wa Afrika Kusini anusurika kupigiwa na Bunge kura ya kutokuwa na imani na utendaji wake wa kiuchumi

    Rais wa Afrika Kusini anusurika kupigiwa na Bunge kura ya kutokuwa na imani na utendaji wake wa kiuchumi

    Mar 01, 2016 23:19

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amenusurika kwa mara ya pili katika kipindi cha mwaka mmoja kuondolewa madarakani kwa kura ya kutokuwa na imani naye, baada ya hoja iliyowasilishwa bungeni kutoungwa mkono na wabunge walio wengi.

  • Wanafunzi wateketeza kwa moto chuo kikuu Afrika Kusini

    Wanafunzi wateketeza kwa moto chuo kikuu Afrika Kusini

    Feb 26, 2016 12:47

    Wanafunzi waliogoma nchini Afrika Kusini wameteketeza kwa moto majengo kadhaa ya chuo kikuu.

  • Amnesty International yaikosoa Afrika Kusini kwa kushindwa kumkamata al-Bashir

    Amnesty International yaikosoa Afrika Kusini kwa kushindwa kumkamata al-Bashir

    Feb 25, 2016 04:32

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeikosoa serikali ya Afrika Kusini kwa kushindwa kumkamata Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir alipoitembelea nchi hiyo mwezi Julai mwaka jana.

  • Jacob Zuma kutembelea Iran karibuni hivi

    Jacob Zuma kutembelea Iran karibuni hivi

    Feb 22, 2016 04:22

    Mtandao mmoja wa habari wa Afrika Kusini umesema kuwa, Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo anatarajiwa kutembelea Iran mwishoni mwa mwezi huu wa Februari.

  • Afrika Kusini yaripoti kesi ya kwanza ya Zika

    Afrika Kusini yaripoti kesi ya kwanza ya Zika

    Feb 20, 2016 23:18

    Afrika Kusini imethibitisha kesi ya kwanza ya kirusi cha Zika ambacho kimeingia nchini humo kupitia raia wa Colombia.

  • Afrika Kusini yaripoti kesi ya kwanza ya Zika

    Afrika Kusini yaripoti kesi ya kwanza ya Zika

    Feb 20, 2016 10:00

    Afrika Kusini imethibitisha kesi ya kwanza ya kirusi cha Zika ambacho kimeingia nchini humo kupitia raia wa Colombia.

  • Balozi Mzayuni asababisha kufutwa mkutano Afrika Kusini

    Balozi Mzayuni asababisha kufutwa mkutano Afrika Kusini

    Feb 17, 2016 22:40

    Mkutano uliokuwa ufanyike mjini Johannesburg, kwa ajili ya kuzungumzia mgogoro wa maji nchini Afrika Kusini umefutwa kutokana na kulalamikiwa vikali kualikwa balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye mkutano huo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS