Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Ramaphosa: G-20 ijihadhari na sera za Trump za

    Ramaphosa: G-20 ijihadhari na sera za Trump za "Marekani Kwanza"

    Dec 04, 2024 09:16

    Wakati dunia ikisubiri kuapishwa rais mteule wa Marekani, Donald Trump, Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ametahadharisha kuhusu sera za kiongozi huyo mpya za "Marekani Kwanza".

  • Polisi Afrika Kusini wavamia maghala ya chakula kusaka bidhaa zilizokwisha muda wake

    Polisi Afrika Kusini wavamia maghala ya chakula kusaka bidhaa zilizokwisha muda wake

    Nov 21, 2024 23:02

    Polisi wa Afrika Kusini wamegundua vyakula vinavyoshukiwa kuisha muda wake wakati walipovamia maghala kadhaa ya chakula mjini Durban.

  • Afrika Kusini imeanza kuwaondoa chini ya ardhi wanaochimba madini kinyume cha sheria

    Afrika Kusini imeanza kuwaondoa chini ya ardhi wanaochimba madini kinyume cha sheria

    Nov 20, 2024 08:18

    Wataalamu wa uokoaji wa Afrika Kusini wamefika katika mgodi wa Stilfontein nchini humo kuanza operesheni ya kuwatoa chini ya ardhi wachimba madini kinyume cha sheria.

  • Polisi wa Afrika Kusini wanapanga kuwaondoa wachimba madini haramu chini ya ardhi

    Polisi wa Afrika Kusini wanapanga kuwaondoa wachimba madini haramu chini ya ardhi

    Nov 19, 2024 23:07

    Msemaji wa Polisi ya Afrika Kusini, Athlenda Mathe, amesema kuwa wataalamu wa uokoaji wamekutana ili kutekeleza operesheni ya kuwatafuta wachimbaji haramu katika mgodi uliotelekezwa. Haya yanajiri huku kukiwa na mzozo kati ya wachimba migodi na polisi ya Afrika Kusini ambao umeendelea kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.

  • Walebanon waandamana nje ya ubalozi wa Israel mjini Pretoria

    Walebanon waandamana nje ya ubalozi wa Israel mjini Pretoria

    Nov 10, 2024 03:20

    Raia wa Lebanon wanaoishi nchini Afrika Kusini wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Israel mjini Pretoria, wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni unaendeleza vita na mashambulizi ya kinyama dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Ubunifu mpya wa kisheria wa Afrika Kusini katika kuwatetea Wapalestina

    Ubunifu mpya wa kisheria wa Afrika Kusini katika kuwatetea Wapalestina

    Oct 31, 2024 07:36

    Kuendelea mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza kumeifanya timu ya wanasheria wa Afrika Kusini kuwasilisha kesi inayokaribia kurasa 5,000 dhidi ya utawala katili wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).

  •  Ahmad Nourozi apongeza uungaji mkono wa Afrika Kusini kwa wananchi wa Palestina

    Ahmad Nourozi apongeza uungaji mkono wa Afrika Kusini kwa wananchi wa Palestina

    Oct 29, 2024 08:06

    Mkuu wa kitengo cha matangazo ya nje cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) amesema kuwa Afrika Kusini inang'aa kama nyota katika kuwaunga mkono na kuwatetea wananchi wa Palestina na imekuwa na mchango athirifu katika uwanja huo.

  • Afrika Kusini kuwasilisha hati kwa ICJ ya ushahidi wa kisayansi kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel

    Afrika Kusini kuwasilisha hati kwa ICJ ya ushahidi wa kisayansi kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel

    Oct 27, 2024 23:26

    Afrika Kusini kuwasilisha hati ya kina katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kutoa ushahidi wa kisayansi kuthibitisha mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza.

  • Pezeshkian: Mandela atakumbukwa kwa mapambano yake dhidi ya dhulma

    Pezeshkian: Mandela atakumbukwa kwa mapambano yake dhidi ya dhulma

    Oct 24, 2024 03:49

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amemuenzi na kumpongeza kiongozi wa zamani wa Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela kutokana na jitihada na mapambano yake dhidi ya dhulma na ukandamizaji.

  • Afrika Kusini: Tutafuatilia faili na mauaji ya kimbari ya Israel ICJ

    Afrika Kusini: Tutafuatilia faili na mauaji ya kimbari ya Israel ICJ

    Oct 18, 2024 04:29

    Afrika Kusini imetangaza azma yake ya kufuatilia kesi ya mauaji ya halaiki iliyowasilisha dhidi ya utawala ghasibu wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) "licha ya mashinikizo kutoka kwa baadhi ya nchi ya kuitaka kuondoa kesi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS