Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika ya Kati

  • Mapambano ya wasimamia amani wa UN na wanamgambo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mapambano ya wasimamia amani wa UN na wanamgambo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Feb 28, 2017 13:46

    Mapigano na mashambulio ya makundi ya wabeba silaha katika Jamhuri ya Afrika ya Kati yangali yanaendelea kushuhudiwa.

  • Kiongozi wa kaskazini mwa CAR aitaka serikali kudhamini usalama wa Bocaranga

    Kiongozi wa kaskazini mwa CAR aitaka serikali kudhamini usalama wa Bocaranga

    Feb 08, 2017 07:28

    Mwakilishi wa mji wa Bocaranga, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati ameitaka serikali ya nchi hiyo kudhamini usalama wa eneo hilo la mpakani kutokana na hujuma za makundi ya wabeba silaha.

  • Zaidi ya watu 15 wauawa katika mapigano ya makundi ya wabeba silaha CAR

    Zaidi ya watu 15 wauawa katika mapigano ya makundi ya wabeba silaha CAR

    Feb 04, 2017 04:40

    Serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imetangaza kuwa, kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la makundi ya wabeba silaha katika mji wa Bukaranga uliopo kaskazini mwa nchi hiyo.

  • WFP: Huenda tukasita kupeleka misaada Jamhuri ya Afrika ya Kati

    WFP: Huenda tukasita kupeleka misaada Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Dec 29, 2016 03:52

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeonya kuwa kama litaendelea kukabiliwa na matatizo litalazimika kusimamisha upelekaji misaada kwa maelfu ya wakimbizi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Kikao cha Brussels cha msaada wa kifedha kwa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Kikao cha Brussels cha msaada wa kifedha kwa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Nov 18, 2016 14:23

    Rais Faustin Archang Touadera wa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kufungamana na kuwa karimu zaidi katika kuboresha hali ya kiuchumi ya nchi yake.

  • Jamhuri ya Afrika ya Kati yaomba msaada kuboresha hali ya nchi

    Jamhuri ya Afrika ya Kati yaomba msaada kuboresha hali ya nchi

    Nov 17, 2016 15:53

    Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametoa wito wa kuwepo mshikamamo na ukarimu wa jamii ya kimataifa kwa nchi yake ili kusaidia kuboresha hali ya mambo nchini humo.

  • Watu 11 wauawa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Watu 11 wauawa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 16, 2016 07:55

    Watu 11 wameuawa katika shambulio la watu wenye silaha kwenye kambi ya wakimbizi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Mamluki wa kundi lenye silaha watiwa mbaroni CAR

    Mamluki wa kundi lenye silaha watiwa mbaroni CAR

    Aug 15, 2016 03:43

    Askari jeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa waliopo Jamhuri ya Afrika ya Kati wametangaza kutiwa mbaroni mamluki kadhaa wa kundi moja lenye silaha nchini humo.

  • Jeshi la Uganda laamua kuondoa vikosi vyake CAR

    Jeshi la Uganda laamua kuondoa vikosi vyake CAR

    Jun 29, 2016 07:19

    Jeshi la Uganda limechukua uamuzi wa kuondoa wanajeshi wake huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ili kusaidia jitihada za kuwaangamiza waasi wa Uganda.

  • Taasisi za kimataifa zakaribisha kuidhinishwa matokeo ya uchaguzi wa CAR

    Taasisi za kimataifa zakaribisha kuidhinishwa matokeo ya uchaguzi wa CAR

    Mar 05, 2016 15:13

    Taasisi za kimataifa zimekaribisha hatua ya kuidhinishwa Rais mpya wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS