-
Watu 30 waaga dunia katika ajali ya barabarani Cameroon
Jul 07, 2018 07:15Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha katika ajali iliyotokea katika barabara inayouunganisha mji mkuu wa Cameroon, Yaounde na mji wa Bafoussam, makao makuu ya eneo la Magharibi.
-
9 waaga dunia katika ajali iliyotokea katika barabara ya Nairobi-Mombasa, Kenya
Jul 04, 2018 07:40Watu tisa wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea mapema leo katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mombasa nchini Kenya.
-
29 wakufa maji, 41 watoweka baada ya feri yao kuzama Indonesia
Jul 04, 2018 07:30Kwa akali watu 29 wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya feri kuzama karibu na kisiwa cha Sulawesi nchini Indonesia, huku hatima ya makumi ya wengi ikisalia kitendawili.
-
Watu 7 wafa maji katika ajali ya boti kusini mwa Somalia
Jun 13, 2018 02:41Watu saba wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya boti yao kuzama katika Mto Shabelle, kusini mwa Somalia.
-
Kenya yaomboleza ajali ya ndege ndogo iliyoua watu 10
Jun 07, 2018 15:35Rais Uhuru Kenyatta analiongoza taifa la Kenya katika kuomboleza vifo vya watu 10 waliopoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokea katika eneo la milima ya Aberdares mjini Kinangop kaunti ya Nyandarua, kaskazini mwa mji mkuu Nairobi.
-
Watu 49 waghariki katika ajali ya boti mtoni kaskazini mwa Kongo DR
May 25, 2018 06:56Watu 49 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya boti kuzama mtoni kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Rais wa Afrika Kusini atoa mkono wa pole kufuatia ajali ya ndege ya Iran
Feb 23, 2018 07:49Rais mpya wa Afrika Kusini ametoa mkono wa rambirambi kufuatia kuanguka ndege ya abiria Jumapili asubuhi hapa Iran na kuua watu wote 66 waliokuwemo kwenye ndege hiyo.
-
Zaidi ya 40 wauawa katika mkasa wa moto hospitalini Korea Kusini
Jan 26, 2018 07:23Kwa akali watu 41 wamepoteza maisha baada ya moto mkali kuteketeza sehemu ya jengo la hospitali moja nchini Korea Kusini mapema leo.
-
Basi lateketea na kuua abiria 52 nchini Kazakhstan
Jan 18, 2018 14:33Watu wasiopungua 52 wamepoteza maisha baada ya basi la abiria kuteketea moto kaskazini mwa Kazakhstan.
-
Watu 32 watoweka katika ajali ya meli mashariki mwa pwani ya China
Jan 07, 2018 08:00Raia 30 wa Iran na wawili wa Bangladesh wameripotiwa kutoweka baada ya meli ya mafuta na nyingine ya mizigo kugongana mashariki mwa pwani ya China.