Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ajali

  • Miili ya watu 11 waliofariki dunia katika ajali ya ndege Tanzania yapatikana

    Miili ya watu 11 waliofariki dunia katika ajali ya ndege Tanzania yapatikana

    Nov 16, 2017 16:05

    Miili ya abiria 10 na rubani mmoja waliopoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokea jana nchini Tanzania imepatikana.

  • 8 waaga dunia na kujeruhiwa baada ya ndege ya mizigo kuanguka Kodivaa

    8 waaga dunia na kujeruhiwa baada ya ndege ya mizigo kuanguka Kodivaa

    Oct 15, 2017 07:54

    Raia wanne wa Moldova wamepoteza maisha huku wengine wanne wakijeruhiwa baada ya ndege ya mizigo iliyokodishwa na jeshi la Ufaransa kuanguka baharini, karibu na uwanja wa kimataifa wa ndege wa mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

  • Watu 30 waaga dunia katika ajali mbaya ya barabarani nchini Nigeria

    Watu 30 waaga dunia katika ajali mbaya ya barabarani nchini Nigeria

    Sep 15, 2017 14:02

    Kwa akali watu 30 wamepoteza maisha kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo kusini magharibi mwa Nigeria.

  • 34 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Madagascar

    34 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Madagascar

    Aug 02, 2017 08:06

    Kwa akali watu 34 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika kisiwa cha Madagascar.

  • Watu 26 waaga dunia baada ya mabasi 2 kugongana Nigeria

    Watu 26 waaga dunia baada ya mabasi 2 kugongana Nigeria

    May 07, 2017 13:17

    Kwa akali watu 26 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani katika mji wa Lagos magharibi mwa Nigeria.

  • 91 wahofiwa kuaga dunia baada ndege ya kijeshi ya Russia kuanguka baharini

    91 wahofiwa kuaga dunia baada ndege ya kijeshi ya Russia kuanguka baharini

    Dec 25, 2016 07:56

    Makumi ya watu wanahofiwa kupoteza maisha baada ya ndege ya kijeshi ya Russia kuanguka katika Bahari Nyeusi, muda mfupi baada ya kutoweka kwenye rada.

  • Watoto 11 wafariki dunia katika ajali ya basi kaskazini mwa Nigeria

    Watoto 11 wafariki dunia katika ajali ya basi kaskazini mwa Nigeria

    Dec 22, 2016 03:05

    Watoto 11 wamepoteza maisha baada ya kugongwa na basi walipokuwa wakishiriki zefe (matembezi) ya Maulid (kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume SAW) kaskazini mwa Nigeria.

  • Ndege yaanguka ikiwa na timu ya soka ya Brazil, 81 wahofiwa kuaga dunia

    Ndege yaanguka ikiwa na timu ya soka ya Brazil, 81 wahofiwa kuaga dunia

    Nov 29, 2016 07:25

    Ndege iliyokuwa imebeba watu 81, wakiwemo wachezaji wa timu moja ya mpira ya Brazil, imeanguka nchini Colombia.

  • Watu zaidi ya 90 waaga dunia katika ajali ya treni nchini India

    Watu zaidi ya 90 waaga dunia katika ajali ya treni nchini India

    Nov 20, 2016 08:05

    Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa katika ajali mbaya ya treni iliyotokea mapema leo kaskazini mwa India.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS