Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Al-Shabaab yateka mji wa kistratajia karibu na Mogadishu

    Al-Shabaab yateka mji wa kistratajia karibu na Mogadishu

    Oct 15, 2019 23:25

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab la Somalia limeteka mji wa kistratajia ulioko karibu na mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • Al-Shabaab yadai kuua watu 6 katika shambulizi la bomu Mogadishu

    Al-Shabaab yadai kuua watu 6 katika shambulizi la bomu Mogadishu

    Oct 14, 2019 04:28

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwa limeua watu sita katika shambulizi la bomu lililolenga ofisi kuu za Kikosi cha Pamoja cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) zilizoko mjini Mogadishu.

  • Magaidi 30 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia, Lower Shabelle

    Magaidi 30 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia, Lower Shabelle

    Sep 26, 2019 08:48

    Makumi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la Lower Shabelle, kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Wanachama wa al-Shabaab wakamatwa wakipanga mashambulizi Ethiopia

    Wanachama wa al-Shabaab wakamatwa wakipanga mashambulizi Ethiopia

    Sep 22, 2019 04:15

    Serikali ya Ethiopia imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wakila njama za kutekeleza mashambulizi katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu kadhaa wauawa katika shambulizi la bomu Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika shambulizi la bomu Somalia

    Sep 19, 2019 09:11

    Watu watatu wamethibitishwa kupoteza maisha katika shambulizi la bomu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Rais wa Burundi akabiliwa na tuhuma za kukiuka haki za binadamu

    Rais wa Burundi akabiliwa na tuhuma za kukiuka haki za binadamu

    Sep 18, 2019 23:48

    Kamati ya Umoja wa Mataifa inayochunguza matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Burundi imetangaza kuwa, Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza amekuwa akihusika katika vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini humo.

  • Wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Jul 15, 2019 03:18

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limewaangamiza wanachama 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab katika operesheni ya jeshi hilo katika siku za hivi karibuni.

  • Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' 5, akiwemo ajenti wa CIA

    Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' 5, akiwemo ajenti wa CIA

    Jul 04, 2019 09:07

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu watano wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.

  • Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16

    Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16

    Jun 15, 2019 22:52

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limetangaza kuwa limehusika na miripuko ya mabomu iliyoua watu 16 hapo jana Jumamosi katika nchi za Kenya na Somalia.

  • Magaidi wa al-Shabaab wateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia

    Magaidi wa al-Shabaab wateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia

    Jun 10, 2019 03:40

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab la Somalia limeteka mji mdogo lakini wa kistratajia ulioko kaskazini mashariki mwa eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS