-
Al-Shabaab yateka mji wa kistratajia karibu na Mogadishu
Oct 15, 2019 23:25Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab la Somalia limeteka mji wa kistratajia ulioko karibu na mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Al-Shabaab yadai kuua watu 6 katika shambulizi la bomu Mogadishu
Oct 14, 2019 04:28Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwa limeua watu sita katika shambulizi la bomu lililolenga ofisi kuu za Kikosi cha Pamoja cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) zilizoko mjini Mogadishu.
-
Magaidi 30 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia, Lower Shabelle
Sep 26, 2019 08:48Makumi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la Lower Shabelle, kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Wanachama wa al-Shabaab wakamatwa wakipanga mashambulizi Ethiopia
Sep 22, 2019 04:15Serikali ya Ethiopia imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wakila njama za kutekeleza mashambulizi katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Watu kadhaa wauawa katika shambulizi la bomu Somalia
Sep 19, 2019 09:11Watu watatu wamethibitishwa kupoteza maisha katika shambulizi la bomu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Rais wa Burundi akabiliwa na tuhuma za kukiuka haki za binadamu
Sep 18, 2019 23:48Kamati ya Umoja wa Mataifa inayochunguza matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Burundi imetangaza kuwa, Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza amekuwa akihusika katika vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini humo.
-
Wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab waangamizwa na jeshi la Somalia
Jul 15, 2019 03:18Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limewaangamiza wanachama 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabab katika operesheni ya jeshi hilo katika siku za hivi karibuni.
-
Al-Shabaab yawachinja 'majasusi' 5, akiwemo ajenti wa CIA
Jul 04, 2019 09:07Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda limewaua kwa kuwakata vichwa watu watano wanaoshukiwa kuwa majasusi, kusini mwa Somalia.
-
Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16
Jun 15, 2019 22:52Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limetangaza kuwa limehusika na miripuko ya mabomu iliyoua watu 16 hapo jana Jumamosi katika nchi za Kenya na Somalia.
-
Magaidi wa al-Shabaab wateka mji muhimu katika eneo la Puntland, Somalia
Jun 10, 2019 03:40Kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab la Somalia limeteka mji mdogo lakini wa kistratajia ulioko kaskazini mashariki mwa eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland.