Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Kamanda mwingine mwandamizi wa al-Shabaab ajisilimisha kwa serikali Somalia

    Kamanda mwingine mwandamizi wa al-Shabaab ajisilimisha kwa serikali Somalia

    May 20, 2019 02:50

    Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kuparaganyika kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab, kamanda mwingine mwandamizi wa kundi hilo la ukufurishaji la Somalia amejisalimisha kwa serikali.

  • UN yatahadahrisha kuwa magaidi wa Al Shabab wamebadilisha mbinu

    UN yatahadahrisha kuwa magaidi wa Al Shabab wamebadilisha mbinu

    May 19, 2019 03:26

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa magaidi wa kundi la Al Shabab sasa wamebadilisha mbinu zao ili kuwawezesha kutekeleza mashambulizi mengi na hatari zaidi.

  • 'Al-Shabaab' yawateka nyara madaktari 2 wa Cuba nchini Kenya

    'Al-Shabaab' yawateka nyara madaktari 2 wa Cuba nchini Kenya

    Apr 12, 2019 10:30

    Watu waliojizatiti kwa silaha wanaosadikiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wamewateka nyara madaktari wawili wa Cuba katika mpaka wa Kenya na Somalia.

  • Kiongozi mwandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabab ajisalimisha Somalia

    Kiongozi mwandamizi wa kundi la kigaidi la Al Shabab ajisalimisha Somalia

    Mar 31, 2019 22:25

    Kiongozi wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la Al Shabab amejisalimishwa kwa askari wa serikali ya Somalia katika mji wa Marka katika eneo la kusni mwa nchi hiyo la Lower Shabelle.

  • Watu 15 wauawa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu, Somalia

    Watu 15 wauawa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu, Somalia

    Mar 28, 2019 10:38

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa garini, nje ya hoteli na mikahawa katika eneo lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Waziri ni miongoni mwa watu 15 waliouawa katika shambulizi la kigaidi Somalia

    Waziri ni miongoni mwa watu 15 waliouawa katika shambulizi la kigaidi Somalia

    Mar 23, 2019 22:42

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la kigaidi la jana Jumamosi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Magaidi 19 wa al-Shabaab waangamizwa nchini Somalia

    Magaidi 19 wa al-Shabaab waangamizwa nchini Somalia

    Mar 14, 2019 10:40

    Wanachama wasiopungua 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameuawa katika makabiliano baina ya kundi hilo na vikosi vya usalama katika eneo la Bar Sanguni na Jamame mkoani Lower Juba, kusini mwa Somalia.

  • Mlipuko wa bomu waua watu wanane katika soko la mnada wa mifugo Somalia

    Mlipuko wa bomu waua watu wanane katika soko la mnada wa mifugo Somalia

    Mar 14, 2019 04:37

    Kwa akali watu wanane wameuawa nchini Somalia na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko wa bomu katika soko la kuuza na kununua mifugo kusini magharibi mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Shambulizi la kigaidi karibu na Ikulu ya Rais laua watu kadhaa Somalia

    Shambulizi la kigaidi karibu na Ikulu ya Rais laua watu kadhaa Somalia

    Mar 08, 2019 04:24

    Kwa akali watu saba wameuawa huku wengine tisa wakijeruhiwa katika mripuko wa bomu na hujuma ya ufayatuaji risasi iliyofanywa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Al-Shabaab yateka mji Somalia baada ya Kenya kuondoa wanajeshi wake

    Al-Shabaab yateka mji Somalia baada ya Kenya kuondoa wanajeshi wake

    Mar 03, 2019 04:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeuteka mji mmoja wa kistratajia ulioko kusini magharibi mwa Somalia, baada ya jeshi la Kenya KDF kuwaondoa wanajeshi wake waliokuwa wanaudhibiti mji huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS