Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Baada ya taabu nyingi hatimaye Algeria yakubali kuwapokea wakimbizi wa Syria kuingia nchini humo

    Baada ya taabu nyingi hatimaye Algeria yakubali kuwapokea wakimbizi wa Syria kuingia nchini humo

    Jun 02, 2017 03:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria imekubali kuwapokea wakimbizi wa Syria kuingia ardhi ya nchi hiyo, ikiwa ni baada ya wakimbizi hao kuteseka kwa muda mrefu katika mpaka wa taifa hilo na Morocco.

  • Mamia ya raia wa Algeria wajiunga na magenge ya kigaidi nchini Yemen

    Mamia ya raia wa Algeria wajiunga na magenge ya kigaidi nchini Yemen

    May 31, 2017 22:50

    Mtandao mmoja wa habari wa Algeria umetangaza kuwa, mamia ya vijana wa Algeria wamejiunga na magenge ya kigaidi yanayofanya mauaji nchini Yemen.

  • Algeria yaitaka Misri isimamishe mashambulio ya anga ndani ya ardhi ya Libya

    Algeria yaitaka Misri isimamishe mashambulio ya anga ndani ya ardhi ya Libya

    May 30, 2017 11:01

    Algeria imeitaka Misri isimamishe mashambulio ya anga inayofanya katika eneo la kaskazini mashariki mwa Libya ikisisitiza kuwa hatua hiyo haitotatua mgogoro wa kiusalama unaoikabili Misri.

  • Mfumo wa usomeshaji Qur'ani katika skuli za Algeria kufanyiwa marekebisho

    Mfumo wa usomeshaji Qur'ani katika skuli za Algeria kufanyiwa marekebisho

    May 22, 2017 22:48

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Masuala ya Dini na Waqfu katika mkoa wa Ghardaia nchini Algeria ametangaza kuwa mfumo wa usomeshaji Qur'ani katika skuli za nchi hiyo utafanyiwa marekebisho kwa ushirikiano na wadau wa masuala ya kidini nchini humo.

  • Algeria: Nguvu za kijeshi Syria, Yemen na Libya zmesababisha maafa

    Algeria: Nguvu za kijeshi Syria, Yemen na Libya zmesababisha maafa

    May 22, 2017 03:05

    Spika wa Bunge la Algeria ametangaza kuwa, kutumiwa nguvu za kijeshi katika nchi za Syria, Yemen na Libya kumesababisha kutokea maafa ya kibinadamu katika nchi hizo.

  • Alkhamisi, Mei 18, 2017

    Alkhamisi, Mei 18, 2017

    May 18, 2017 00:00

    Leo ni Alkhamisi tarehe 21 Shaaban 1438 Hijria mwafaka na tarehe 18 Mei mwaka 2017 Miladia.

  • Kikao cha kwanza cha Baraza Kuu la Taasisi ya Ushirikiano wa Polisi Afrika (AFRIPOL) chafanyika Algeria

    Kikao cha kwanza cha Baraza Kuu la Taasisi ya Ushirikiano wa Polisi Afrika (AFRIPOL) chafanyika Algeria

    May 14, 2017 22:02

    Kikao cha kwanza cha Baraza Kuu la Taasisi ya Ushirikiano wa Polisi Afrika (AFRIPOL) kimefanyika katika mji mkuu wa Algeria, Algiers kwa kuhudhuriwa na makamanda wa Polisi wa nchi za Kiafrika na maafisa mbalimbali wa jumuiya za kieneo na kimataifa.

  • Wananchi wa Algeria wajitokeza kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge

    Wananchi wa Algeria wajitokeza kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge

    May 04, 2017 09:44

    Wananchi wa Algeria waliotimiza masharti ya kupiga kura, leo Alkhamisi wamejitokeza katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge lijalo la nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria

    Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria

    Apr 23, 2017 03:24

    Serikali ya Morocco imeilaumu Algeria kwa kuwazingira wakimbizi wa Syria katika "mazingira yasiyo ya kibinadamu" kwenye mpaka wa kusini mwa Algeria.

  • Makumi ya Waislamu wajeruhiwa  baada ya msikiti kuchomwa moto Algeria

    Makumi ya Waislamu wajeruhiwa baada ya msikiti kuchomwa moto Algeria

    Apr 15, 2017 09:14

    Makumi ya Waislamu nchini Algeria wamejeruhiwa kwa moto, baada ya msikiti waliokuwa wakishwali ndani yake kuchomwa moto makusudi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS