Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Angola

  • Wanadiplomasia wawili wa Angola waachishwa kazi kwa kuhudhuria dhifa ya ufunguzi wa ubalozi wa US Quds

    Wanadiplomasia wawili wa Angola waachishwa kazi kwa kuhudhuria dhifa ya ufunguzi wa ubalozi wa US Quds

    May 24, 2018 14:50

    Serikali ya Angola imewaachisha kazi wanadiplomasia wake wawili waandamizi kwa kuhudhuria dhifa ya kusherehekea ufunguzi wa ubalozi wa Marekani katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu iliyofanyika tarehe 13 Mei.

  • Jumatatu, Mei 14, 2018

    Jumatatu, Mei 14, 2018

    May 14, 2018 03:03

    Leo ni Jumatatu tarehe 27 Shaaban 1439 Hijria mwafaka na tarehe 14 Mei 2018 Miladia.

  • Mtoto wa rais wa zamani wa Angola azuiwa kuondoka nchini kwa tuhuma za ufisadi

    Mtoto wa rais wa zamani wa Angola azuiwa kuondoka nchini kwa tuhuma za ufisadi

    Mar 27, 2018 07:50

    Mtoto wa kiume wa rais wa zamani wa Angola, Jose Eduardo dos Santos amezuiwa kuondoka nchini kutokana na tuhuma za ufisadi zinazomuandama.

  • Jumamosi 11 Novemba, 2017

    Jumamosi 11 Novemba, 2017

    Nov 11, 2017 03:10

    Leo ni Jumamosi tarehe 22 Safar 1439 Hijria sawa na tarehe 11 Novemba 2017.

  • Angola yawatimua maelfu ya wahamiaji haramu wa Kongo DR

    Angola yawatimua maelfu ya wahamiaji haramu wa Kongo DR

    Nov 06, 2017 02:46

    Serikali ya Angola imewafukuza nchini humo maelfu ya wahamiaji haramu raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Vyama vya upinzani Angola vyaenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi

    Vyama vya upinzani Angola vyaenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi

    Sep 09, 2017 07:57

    Vyama vitatu vya upinzani nchini Angola vimewasilisha malalamiko mahakamani dhidi ya matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo hivi karibuni, ambapo chama tawala cha MPLA kilitangazwa kuibuka mshindi.

  • Upinzani Angola waitaka tume ya uchaguzi kufafanua matokeo yake

    Upinzani Angola waitaka tume ya uchaguzi kufafanua matokeo yake

    Aug 27, 2017 07:39

    Kinara wa chama kikuu cha upinzani nchini Angola ameitaka tume ya uchaguzi nchini humo kutoa ufafanuzi na maelezo ya kina kuhusu namna ilivyokipa ushindi wa kishindo chama tawala nchini humo.

  • Wananchi wa Angola washiriki katika uchaguzi wa Bunge huku Rais Dos Santos akistaafu

    Wananchi wa Angola washiriki katika uchaguzi wa Bunge huku Rais Dos Santos akistaafu

    Aug 23, 2017 13:51

    Wananchi wa Angola waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wameelekea katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuchagua wawakilishi wa Bunge ambao ndio watakaomchagua Rais mpya wa nchi hiyo katika Uchaguzi wa kihistoria, unaomaliza uongozi wa Rais Jose Eduardo Dos Santos aliyeongoza nchi hiyo kwa miaka 38.

  • EU haitatuma timu ya waangalizi wa uchaguzi nchini Angola

    EU haitatuma timu ya waangalizi wa uchaguzi nchini Angola

    Jul 29, 2017 02:22

    Umoja wa Ulaya umefuta mpango wa kutuma timu ya waangalizi wake katika uchaguzi wa Angola unaofanyika mwezi ujao, baada ya serikali ya Luanda kutokubali baadhi ya masharti yake.

  • UN inahitaji dola milioni 65 kwa ajili ya wakimbizi wa DRC

    UN inahitaji dola milioni 65 kwa ajili ya wakimbizi wa DRC

    Jun 14, 2017 04:19

    Umoja wa Mataifa umesema unahitaji makumi ya mamilioni ya dola kwa ajili ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliokimbilia nchi jirani ya Angola.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS