Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Angola

  • Jumapili 14 Mei

    Jumapili 14 Mei

    May 14, 2017 02:34

    Leo ni Jumapili tarehe 17 Sha'aban 1438 Hijria, sawa na tarehe 14 Mei 2017.

  • UN yatuma misaada kwa raia wa Kongo DR nchini Angola

    UN yatuma misaada kwa raia wa Kongo DR nchini Angola

    Apr 30, 2017 16:03

    Umoja wa Mataifa umelazimika kutumia usafiri wa ndege kutuma misaada yake ya kibinadamu kwa makumi ya maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Angola.

  • Rais wa Angola aafiki uchaguzi mkuu ufanyike Agosti 23

    Rais wa Angola aafiki uchaguzi mkuu ufanyike Agosti 23

    Apr 27, 2017 04:33

    Rais Jose Eduardo dos Santos wa Angola amesaini dikrii inayoruhusu tarehe 23 Agosti mwaka huu kuwa siku ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo.

  • Zaidi ya raia elfu 9 wa Kongo DR wakimbilia Angola kutafuta hifadhi

    Zaidi ya raia elfu 9 wa Kongo DR wakimbilia Angola kutafuta hifadhi

    Apr 18, 2017 15:37

    Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchi jirani ya Angola kwenda kuomba hifadhi kutokana na kushtadi machafuko nchini mwao.

  • Machafuko yashtadi Kongo DR, Angola yafunga mpaka wake na nchi hiyo

    Machafuko yashtadi Kongo DR, Angola yafunga mpaka wake na nchi hiyo

    Mar 31, 2017 14:55

    Serikali ya Angola imeamua kufunga mpaka wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na kushtadi machafuko katika mkoa wa Kasai, kusini mwa DRC.

  • Angola yailaumu Ureno, yasema hukumu dhidi ya Makamu wa Rais ni hujuma

    Angola yailaumu Ureno, yasema hukumu dhidi ya Makamu wa Rais ni hujuma

    Feb 25, 2017 07:55

    Serikali ya Angola imetangaza kuwa, uamuzi wa serikali ya Ureno wa kumtuhumu Makamu wa Rais wa nchi hiyo, Manuel Domingos Vicente kuwa ametoa rushwa na kutakatisha fedha chafu ni "hujuma nzito" na kwamba inatishia uhusiano kati ya nchi mbili.

  • Watu 17 wafariki dunia katika msongamano kwenye uwanja wa mpira nchini Angola

    Watu 17 wafariki dunia katika msongamano kwenye uwanja wa mpira nchini Angola

    Feb 11, 2017 07:23

    Watu 17 wamefariki dunia na makumi ya wengine kujeruhiwa nchini Angola baada ya kutokea msongamano mkubwa katika uwanja mmoja wa mpira kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Rais Dos Santos wa Angola hatagombea tena urais

    Rais Dos Santos wa Angola hatagombea tena urais

    Feb 03, 2017 14:19

    Rais Jose Eduardo do Santos wa Angola amethibitisha leo kuwa hatagombea tena urais katika uchaguzi wa mwaka huu na hivyo atahitimisha utawala wake wa miaka 38 katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Angola yaripoti kesi mbili za kwanza za ugonjwa wa Zika

    Angola yaripoti kesi mbili za kwanza za ugonjwa wa Zika

    Jan 12, 2017 07:25

    Angola jana ilitangaza kuwa imesajili kesi mbili za awali za kirusi cha Zika, ikiwa imepita miezi mitatu baada ya kudhibitiwa mlipuko wa ugonjwa wa homa ya manjano ambao umeuwa nchini humo watu wasiopungua 400.

  • Rais  Dos Santos wa Angola kuachia ngazi mwaka 2017

    Rais Dos Santos wa Angola kuachia ngazi mwaka 2017

    Dec 03, 2016 14:20

    Imedokezwa kuwa Rais Jose Eduardo dos Santos wa Angola, ambaye amekuwa madarakani tokea mwaka 1979, hatasimama tena katika uchaguzi wa rais utakaofanyika nchini humo mwakani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS